Nyasi za Juncao: Suluhusho la malisho ya ng'ombe, mbuzi na kondoo

Nyasi za Juncao: Suluhusho la malisho ya ng'ombe, mbuzi na kondoo

IMG_20220722_090849_831.jpg

Hili Shina lina wiki mbili lakini tayari lishatoa machipukizi 10.Sifa mojawapo ya Juncao ni kutoa machipukizi mengi na haya machipukizi ndiyo yanayotengeneza majani na mbegu.
 
Hapa naona watu wengi wanachanganya,mbegu za Juncao zimeingia nchini 2019/2020 kutokea China,Rwanda ndiyo nchi ya kwanza Afrika kulima Juncao kwao mbegu zimeingia 2006.Huku Afrika China inatoa msaada wa mbegu wao ndiyo wanaosambaza.Watu wengi wanafananisha na elephant grass(mabingobingo)au matete.

Juncao ni aina ya napier,aina nyingine ya napier ni Bana grass, Elephant grass, Pakchong 1 nk.
Tofauti ya Juncao na hizo napier za aina nyingine ni uwezo wa kutoa malisho (majani)mengi.
Juncao inatoa machipukizi mengi,majani mengi na yanakuwa marefu.Hizo aina nyingine ya napier hazina sifa hizo,ingawa zinafanana kwa kiwango kikubwa kwa muonekano.
Mimi ninalima Bana grass,Juncao, Elephant grass na Buffel grass Ila hayo yote hayawezi kufikia ubora wa Juncao kwenye kutoa majani mengi na kiwango cha protini, Juncao yana kiwango kikubwa cha protini kuliko napier zote,yanatoa malisho mengi kuliko napier zote,yanakuwa marefu kuliko napier zote.
Unaweza kwenda Google andika tu Juncao grass utapata elimu kubwa.
Unalima wap mkuu
 
mbegu zinapatikana Kibaha,mtu anayehitaji tuwasiliane 0756625286,yanatumwa sehemu yoyote ya Tanzania.
Ni nyasi zinazotoa malisho mengi katika eneo dogo.Zinafanana na majani tembo lakini zenyewe ni matokeo ya mchanganyiko wa napier tofauti tofauti.
Kias gan unauza ili tuandae bajeti
 
Kwa anayehitaji mbegu za Juncao na mbegu za nyasi kama Buffel na Rhodes,mbegu za mikunde na miti malisho tuwasiliane 0756625286.

..unayo mbegu ya majani yanayoitwa brachiaria?

..huyu jamaa hapa chini ni Mghana lakini amepata brachiaria toka Kenya.
Utangulizi:



Kupanda:



Kuvuna:



Kuhifadhi:



Cc wakaliwetu , CHASHA FARMING, Malila
 
Tukuyu majani haya ......kila mwenye ng'ombe ...
Lazima apande ...coz husaidia Sana kwenye ulishaji wetu ( zero grazing)

Maajabu yake majani haya hustawi zaidi kipindi Cha kiangazi heavyweight [emoji23][emoji23]

Tukuyu majani haya tunaita ( kigugu).......
 
Back
Top Bottom