Nyasi za Juncao: Suluhusho la malisho ya ng'ombe, mbuzi na kondoo

Nyasi za Juncao: Suluhusho la malisho ya ng'ombe, mbuzi na kondoo

Tukuyu majani haya ......kila mwenye ng'ombe ...
Lazima apande ...coz husaidia Sana kwenye ulishaji wetu ( zero grazing)

Maajabu yake majani haya hustawi zaidi kipindi Cha kiangazi heavyweight [emoji23][emoji23]

Tukuyu majani haya tunaita ( kigugu).......
Siyo hayo, Ila yanaweza kuwa yanafanana kwa sababu Juncao ni matokeo ya utafiti kati ya nyasi jamii ya napier zinazopatikana Afrika .Juncao yamefanyiwa utafiti China,Afrika yameanza kuingia 2019.
Sifa yake kubwa ni kutoa malisho mengi katika eneo dogo,urefu,upana wa majani na kiwango kikubwa cha vitamin kilichopo katika nyasi hizo.
 
mbegu zinapatikana Kibaha,mtu anayehitaji tuwasiliane 0756625286,yanatumwa sehemu yoyote ya Tanzania.
Ni nyasi zinazotoa malisho mengi katika eneo dogo.Zinafanana na majani tembo lakini zenyewe ni matokeo ya mchanganyiko wa napier tofauti tofauti.
  • Tunapandia na kukuzia mbolea?
  • Zinahitaji kumwagiliwa maji mara ngapi kwa wiki?
  • Nitapaswa kupanda mbegu mpya baada ya muda gani?
 
  • Tunapandia na kukuzia mbolea?
  • Zinahitaji kumwagiliwa maji mara ngapi kwa wiki?
  • Nitapaswa kupanda mbegu mpya baada ya muda gani?

  • Tunapandia na kukuzia mbolea?
  • Zinahitaji kumwagiliwa maji mara ngapi kwa wiki?
  • Nitapaswa kupanda mbegu mpya baada ya muda gani?
Unaweza kuweka mbolea ya kupandia ya samadi ya kukuzia itategemea na ubora wa ardhi yako,mimi siweki ya kukuzia.
Maji inategemea ardhi yako,mimi namwagilia mara 2 kwa wiki(kipindi cha ukame)ardhi ya shamba langu ni tifutifu,mche ukiwa mdogo naweka nusu lita kwa kila mche kwahiyo kwa wiki ni Lita moja, kadri machipukizi yanavyoongezeka naongeza na kiwango cha maji.
Zinapandwa mara moja tu,utakuwa unavuna kwa kuzikata na zitaendelea kuchipua.
 
Unaweza kuweka mbolea ya kupandia ya samadi ya kukuzia itategemea na ubora wa ardhi yako,mimi siweki ya kukuzia.
Maji inategemea ardhi yako,mimi namwagilia mara 2 kwa wiki(kipindi cha ukame)ardhi ya shamba langu ni tifutifu,mche ukiwa mdogo naweka nusu lita kwa kila mche kwahiyo kwa wiki ni Lita moja, kadri machipukizi yanavyoongezeka naongeza na kiwango cha maji.
Zinapandwa mara moja tu,utakuwa unavuna kwa kuzikata na zitaendelea kuchipua.
Hapo kwenye maji majira ya kiangazi ndio ishu mzee
 
Hapo kwenye maji majira ya kiangazi ndio ishu mzee

..unatakiwa uwe na mfumo wa kupanda, kuvuna, na kuhifadhi.

..idea ni kuachana na mfumo wa kutembeza mifugo kutafuta malisho.

..juncao, napier, brachiaria, ni majani ya kupanda, kuvuna na kupeleka kwa mifugo, na ziada inahifadhiwa.
 
..unatakiwa uwe na mfumo wa kupanda, kuvuna, na kuhifadhi.

..idea ni kuachana na mfumo wa kutembeza mifugo kutafuta malisho.

..juncao, napier, brachiaria, ni majani ya kupanda, kuvuna na kupeleka kwa mifugo, na ziada inahifadhiwa.
Kumbe somo linahitajika zaidi, nilidhani kama tulivyozoea kukatia ng'ombe majani na kuwapelekea kila siku
 
Kumbe somo linahitajika zaidi, nilidhani kama tulivyozoea kukatia ng'ombe majani na kuwapelekea kila siku

..unaweza kukatia mifugo majani kila siku.

..challenge ni wakati wa kiangazi hivyo unalazimika kuhifadhi majani ya kutosha.
 
..unaweza kukatia mifugo majani kila siku.

..challenge ni wakati wa kiangazi hivyo unalazimika kuhifadhi majani ya kutosha.
Joka Kuu mbegu za Brachiaria imepatikana, nitafute 0756625286.
 
Mmeandikaa weee ila bei sijaona kwa ujazo wa nusu hekta au heka!?
Kwanini biashara za kibongo tunapenda bei mpaka nije inbox!?
Bei ya mbegu ni tsh 500.Mbegu unaweza kupanda ya chipukizi au cuttings.
Eka moja mbegu 1000,hekta moja mbegu 2500.Unaweza kununua chache halafu baada ya miezi 2 unapanda machipukizi yaliyotokana na mbegu ulizopanda.

Picha ya shina la Juncao ambalo machipukizi yake ni mbegu.

IMG_20220912_160812_891.jpg


Cuttings, mbegu hizi za pingili ili uweze kuzipanda(zilizotokana na shamba lako) zinatakiwa shina liwe na miezi 6 kwa sababu zinatakiwa ziwe zimekomaa .
IMG_20220705_124706_407.jpg

Kwa mawasiliano zaidi 0756625286.
 
Pia kuna vitabu vya softcopy,bei Tsh 5000 (elfu tano).

Screenshot_20220926-143246_1.jpg
Screenshot_20220926-143148_1.jpg

Mawasiliano:0756625286.
 
Siyo hizo.
Kuna aina nyingi za napier na zinafanana mf.bana grass, elephant grass nk.
Juncao pia ni napier lakini tofauti Juncao inatoa machipukizi mengi na malisho mengi katika eneo dogo.
Google: Juncao grass.
Kwa sisi wafugaji wa open grazing itakuaje? Nikapanda heka 4 halafu nikaachia Ng'ombe 60 wakawa wanachunga kila siku yatafika?
 
Sio masteria haya!
Hata mie nimeona kama masteria tu maana hata upandaji wake upo kama wa masteria.Tokea nakua naona yanapandwa kwa Bibi yangu Arusha.Yanakatwa yanalishiwa mifugo then yanachipua tena.Walikua wanayakuza kwa kunyweshea maji ya mfereji.
 
Siyo masteria, Google Juncao utapata elimu kubwa kuhusu Juncao
Hata mie nimeona kama masteria tu maana hata upandaji wake upo kama wa masteria.Tokea nakua naona yanapandwa kwa Bibi yangu Arusha.Yanakatwa yanalishiwa mifugo then yanachipua tena.Walikua wanayakuza kwa kunyweshea maji ya mfereji.
 
Haitakiwi kulisha shambani,Ni ya kukata na kulisha mifugo, hayo ni majani ya kudumu (unapanda mara moja tu na kuendelea kuvuna)ukilisha shambani hayatachipua vizuri.
Kwa sisi wafugaji wa open grazing itakuaje? Nikapanda heka 4 halafu nikaachia Ng'ombe 60 wakawa wanachunga kila siku yatafika?
 
Back
Top Bottom