JS Dairy Farm
JF-Expert Member
- Feb 13, 2022
- 331
- 744
- Thread starter
-
- #61
Toka upande mpaka kuvuna kwa mara ya kwanza siku 60,baada ya hapo itakuwa unavuna kila baada ya siku 45.Kadri unavyoendelea kuwa shambani na machipukizi yanaongezeka.Yanakaa muda gani mpaka uanze kuvuna kwa ajili ya chakula cha ng'ombe
Haya majani kama nayafahamu. Nimekutana nayo Mbeya sehemu flani.....ngoja nikayaibe.View attachment 2301131
Hili Shina lina wiki mbili lakini tayari lishatoa machipukizi 10.Sifa mojawapo ya Juncao ni kutoa machipukizi mengi na haya machipukizi ndiyo yanayotengeneza majani na mbegu.
Unalima wap mkuuHapa naona watu wengi wanachanganya,mbegu za Juncao zimeingia nchini 2019/2020 kutokea China,Rwanda ndiyo nchi ya kwanza Afrika kulima Juncao kwao mbegu zimeingia 2006.Huku Afrika China inatoa msaada wa mbegu wao ndiyo wanaosambaza.Watu wengi wanafananisha na elephant grass(mabingobingo)au matete.
Juncao ni aina ya napier,aina nyingine ya napier ni Bana grass, Elephant grass, Pakchong 1 nk.
Tofauti ya Juncao na hizo napier za aina nyingine ni uwezo wa kutoa malisho (majani)mengi.
Juncao inatoa machipukizi mengi,majani mengi na yanakuwa marefu.Hizo aina nyingine ya napier hazina sifa hizo,ingawa zinafanana kwa kiwango kikubwa kwa muonekano.
Mimi ninalima Bana grass,Juncao, Elephant grass na Buffel grass Ila hayo yote hayawezi kufikia ubora wa Juncao kwenye kutoa majani mengi na kiwango cha protini, Juncao yana kiwango kikubwa cha protini kuliko napier zote,yanatoa malisho mengi kuliko napier zote,yanakuwa marefu kuliko napier zote.
Unaweza kwenda Google andika tu Juncao grass utapata elimu kubwa.
Unalima wap mkuu
Sua pia yapo
Aisee umesema sawaUkanda wa tukuyu yapo miaka mingi
Kias gan unauza ili tuandae bajetimbegu zinapatikana Kibaha,mtu anayehitaji tuwasiliane 0756625286,yanatumwa sehemu yoyote ya Tanzania.
Ni nyasi zinazotoa malisho mengi katika eneo dogo.Zinafanana na majani tembo lakini zenyewe ni matokeo ya mchanganyiko wa napier tofauti tofauti.
Yanatumikaje Mzee tupe darasa kidogoHata kutengenezea gas au mafuta ya kupikia au kuendesha mashine ni mazuri
Sasa mtu ana hiyo mbegu kapiga picha mkuu si maana yake ni mbegu ya anachosemauna uhakika hii ni juncao mkuu.
Chukua shule hio ya kutengeneza petrol kwa kutumia nyasi.inaitwa white petrolYanatumikaje Mzee tupe darasa kidogo
ushamba mkuu nilijichanganya nikajua miwa.Sasa mtu ana hiyo mbegu kapiga picha mkuu si maana yake ni mbegu ya anachosema
Sio masteria haya!
Kwa anayehitaji mbegu za Juncao na mbegu za nyasi kama Buffel na Rhodes,mbegu za mikunde na miti malisho tuwasiliane 0756625286.
Hapana, kuna shamba la malisho nitaenda kuulizia kama wanazo nitakupa mrejesho...unayo mbegu ya majani yanayoitwa brachiaria?
..huyu jamaa hapa chini ni Mghana lakini amepata brachiaria toka Kenya.
Utangulizi:
Kupanda:
Kuvuna:
Kuhifadhi:
Cc wakaliwetu , CHASHA FARMING, Malila
But haifai kwa ng'ombe wa maziwaaHivi mianzi inaweza kutumika kama malisho ya ng'ombe?