Nyasi za Juncao: Suluhusho la malisho ya ng'ombe, mbuzi na kondoo

Nimekuza sana, hope mwakani nitaweza kupanda hata eka tatu.

Nilichukua mbegu kidogo naona zimekubali sana sema natuma picha zinagoma.
Umepanda eneo la kawaida au kwenye ardhi ya majimaji?

Ulipanda kipindi cha mvua au ulipanda kwa kumwagilia maji??
 
Bosii hii mimea Ina madhara gani kwa ardhi, pia kama Eka Moja inaweza kulisha mbuzi 60 kwa mwaka ni kwa namna gani? Maana nilivyoelewa ni kwamba inavunwa kwa mara moja au Kuna namna ya kuhifadhi majani yaliyovunwa kwa matumizi ya baadae?
 
Bosii hii mimea Ina madhara gani kwa ardhi, pia kama Eka Moja inaweza kulisha mbuzi 60 kwa mwaka ni kwa namna gani? Maana nilivyoelewa ni kwamba inavunwa kwa mara moja au Kuna namna ya kuhifadhi majani yaliyovunwa kwa matumizi ya baadae?
Haina madhara,mimi navuna kila baada ya siku 30,namwagilia na kuweka mbolea ya samadi,yanahifadhika kwa njia ya silage.

Hizi chini ni picha za mwezi Septemba 2023 wakati huu wa ukame.

Mawasiliano:0756625286

.
 
Mkuu mbona hayo yamejaa Rungwe tele.
Shuleni huyapanda kama mpaka. Hata shule niliopo yapo.
 
Yapo mengi tu bongo yanastawi vizuri eneo lenye maji.
Ula kwa bongo yakijazana hivyo yatakuwa makao makuu ya nyoka
 
Mbegu unauza bei gani mkuu?
 
Hii tayari fanyia Kazi mkuu usilielie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…