Nyegere wanamaliza kuku bandani, je nitawadhibitije?

Nyegere wanamaliza kuku bandani, je nitawadhibitije?

Mnaomshauri jamaa afuge mbwa labda nyegere (honey badger) hamumjui vizuri. Kama simba hafui dafu sembuse kijibwa koko.
 
Dawa fuga mbwa, ukishindwa jenga banda la Cement, ukishindwa acha kufuga kuku ukishindwa na hapo sasa lala na kuku dani.

Kumbuka hawa nyegere wanazaliana nao ukiua mmoja kesho anakuja mwingine sio rahis kuwamaliza ila mbwa wanaogopa kuja.
 
Mnaomshauri jamaa afuge mbwa labda nyegere (honey badger) hamumjui vizuri. Kama simba hafui dafu sembuse kijibwa koko.
The Honey Badger has an enormous brain. They can undo locks, unwrap wires and climb out of enclosures. They are one of only a few critters on Earth known to use a variety of tools: not only one or two they discovered by accident. 🤣🤣🤣🤣 Kumbe wajanja hivi!
 
Nyegere huyu huyu? Weka mtego wa panya
 
Dawa fuga mbwa, ukishindwa jenga banda la Cement, ukishindwa acha kufuga kuku ukishindwa na hapo sasa lala na kuku dani.

Kumbuka hawa nyegere wanazaliana nao ukiua mmoja kesho anakuja mwingine sio rahis kuwamaliza ila mbwa wanaogopa kuja.
Mbwa? Acha masihara mzee humjui nyegere wewe 😂
 
The Honey Badger has an enormous brain. They can undo locks, unwrap wires and climb out of enclosures. They are one of only a few critters on Earth known to use a variety of tools: not only one or two they discovered by accident. 🤣🤣🤣🤣 Kumbe wajanja hivi!
Huyo kiumbe wa ajabu sana asee. Yani huyo anapambana na pride ya simba zaidi ya 10 na hawamuwezi.
 
Mbwa? Acha masihara mzee humjui nyegere wewe [emoji23]
Ukijua kazi ya mbwa usinge uliza, tatizo mnafuga mbwa kama wale wa wema sepetu vilamba K, kazi ya mbwa ni kukupa viashiria vya tatizo, na kuzuia hata kupambana ili wewe uamke ukamsaidie
 
Mnaomshauri jamaa afuge mbwa labda nyegere (honey badger) hamumjui vizuri. Kama simba hafui dafu sembuse kijibwa koko.
Huyu nyegere mnampaisha mnoo.. Simba huwa anakaona kama kadubwasha kaajabu kadogo kanajidai kudindisha.. Ila simba aamue lake nyegere jeuri anaipatia wapi.. [emoji23]
 
Huyu nyegere mnampaisha mnoo.. Simba huwa anakaona kama kadubwasha kaajabu kadogo kanajidai kudindisha.. Ila simba aamue lake nyegere jeuri anaipatia wapi.. [emoji23]
Simba anamwangusha nyati eti sembuse nyegere wa kg 20 hadi 30, sema simba hawezi kukala sbb kana harufu mbaya sana na manyoya mengi
 
Simba anamwangusha nyati eti sembuse nyegere wa kg 20 hadi 30, sema simba hawezi kukala sbb kana harufu mbaya sana na manyoya mengi

Ila wakuu kuna viumbe vikijilinda ni vya ajabuu. Mfano rahisi tu wewe unaweza ukamzibiti ng'ombe wa kilo 400 ila amini nakwambia Paka wa kilo 5 akikuamulia hautafua dafu. So usilinganishe uzito wa kiumbe kupima balaa lake mkuu. Nyoka tu wa nusu kilo anaweza kukutoa uhai chapu sana.
 
Ila wakuu kuna viumbe vikijilinda ni vya ajabuu. Mfano rahisi tu wewe unaweza ukamzibiti ng'ombe wa kilo 400 ila amini nakwambia Paka wa kilo 5 akikuamulia hautafua dafu. So usilinganishe uzito wa kiumbe kupima balaa lake mkuu. Nyoka tu wa nusu kilo anaweza kukutoa uhai chapu sana.
Sawa ila unaweza kuamini Nungu nungu na miba yake yote hadi karibia na kichwa kizima ila anauwawa na viumbe vinavyo kula nyama yake.

Kila kitu kina mbabe wake ila sio nyegere kumvimbia pride ya simba 10, wakat mbwa tu anamuua nyegere ukibisha utakuwa hujawinda sungura, nyani kwa mbwa
 
Ila wakuu kuna viumbe vikijilinda ni vya ajabuu. Mfano rahisi tu wewe unaweza ukamzibiti ng'ombe wa kilo 400 ila amini nakwambia Paka wa kilo 5 akikuamulia hautafua dafu. So usilinganishe uzito wa kiumbe kupima balaa lake mkuu. Nyoka tu wa nusu kilo anaweza kukutoa uhai chapu sana.

Waambie hao nyegere ni mgumu sana majoka tu kama cobra [emoji216] koboko hafui dafu
 
Back
Top Bottom