Nyegere wanamaliza kuku bandani, je nitawadhibitije?

Nyegere wanamaliza kuku bandani, je nitawadhibitije?

Wapige kuku chanjo ya covid nasikia iliiua nyegere kwenye majaribio🤣
 
Huyu mdudu sielewagi kwa nini hushambulia eneo hilo tu.....!/nadhani hujua lina maumivu makali.
Hii inanikumbusha enzi hizo nipo kijijini Urambo kuna dogo walimjaza upepo, alikuwa anataka kumkamata nyegere, aling'olewa korodani zake dogo ali-RIP wazazi walishindwa kumpeleka hospitali ndani ya muda
 
Wakuu mnabisha nini hata wanyama wanaowinda wanasalenda nitaweka video hivi punde
 
Dawa yake ni risasi au sumu tuu, mbwa nao watageuzwa kitoweo, ukikiona kimbia au kiache kipite tuu hakishindwi vita hicho
 
Usijaribu kufuga mbwa ataliwa na nyegere nilishawah kushuhudia nyegere wakimla fisi wa mganga simiyu
 
Nyegele ni mnyama hatari sana. Tena akiwa mwanaume ndio kabisa. Na ukikumbana naye kuwa makini. Wana meno makali na lazima waondoke na kende zako. Dawa ya kupambana na Nyegele ni kujenga banda la juu. Kuku wako walale juu kwenye chanja. Kibaka hawezi kuchimba shimo kama la sungura na kuiba kuku. Pia hakuku hawezi kupiga kelele anapokamatwa na nyegele kutokana na namna ya ukamataji wao. Na hapo ulipo lazima watakuwa wanakuja Mke na mume.
 
Nyegele ni mnyama hatari sana. Tena akiwa mwanaume ndio kabisa. Na ukikumbana naye kuwa makini. Wana meno makali na lazima waondoke na kende zako. Dawa ya kupambana na Nyegele ni kujenga banda la juu. Kuku wako walale juu kwenye chanja. Kibaka hawezi kuchimba shimo kama la sungura na kuiba kuku. Pia hakuku hawezi kupiga kelele anapokamatwa na nyegele kutokana na namna ya ukamataji wao. Na hapo ulipo lazima watakuwa wanakuja Mke na mume.
Hahaha tena kama wanakuja na dem wake ndo akitaka kupambana nae mwamba nyegere atakua na hasira balaa anadhani anataka kuibiwa demu na mwanadamu. Lazima amle makende yang

Kale kajamaa kwa demu wake usiombee
 
Huyo ni mwizi binadamu ndiye anayewaiba hao kuku ndio maana kesho yake waliendelea kulala umo bandani maana Kuku wanatabia ya kipekee sana mfano wanyama wengine wavamizi kama jamii ya kicheche n.k wakiingia kwenye Banda lao na kuwashambulia basi kesho yake wasingeweza kulala tena kwenye Banda ilo wanakuwa na uoga sana

Mie kwangu ilitokea mnyama fulani jamii hiyo ya kicheche aliwavamia na kuwauwa baadhi ya kuku, Basi kesho yake kuku wote waligoma kuingia bandani na kuja kulala jiko la ndani tena wakiwa na uoga sana mpaka nilipojenga Banda lingine imara zaidi, ndipo nikagundua kumbe inawezekana hawa wanyama wakufuga walimfata binadamu kwaajiri ya ulinzi wao
 
Hahaha tena kama wanakuja na dem wake ndo akitaka kupambana nae mwamba nyegere atakua na hasira balaa anadhani anataka kuibiwa demu na mwanadamu. Lazima amle makende yang

Kale kajamaa kwa demu wake usiombee
Yeah, ana wivu kupitiliza na anajua kulinda mwenza wake
 
Huyo ni mwizi binadamu ndiye anayewaiba hao kuku ndio maana kesho yake waliendelea kulala umo bandani maana Kuku wanatabia ya kipekee sana mfano wanyama wengine wavamizi kama jamii ya kicheche n.k wakiingia kwenye Banda lao na kuwashambulia basi kesho yake wasingeweza kulala tena kwenye Banda ilo wanakuwa na uoga sana

Mie kwangu ilitokea mnyama fulani jamii hiyo ya kicheche aliwavamia na kuwauwa baadhi ya kuku, Basi kesho yake kuku wote waligoma kuingia bandani na kuja kulala jiko la ndani tena wakiwa na uoga sana mpaka nilipojenga Banda lingine imara zaidi, ndipo nikagundua kumbe inawezekana hawa wanyama wakufuga walimfata binadamu kwaajiri ya ulinzi wao
Mkuu nimekuelewa vyema,ukiweza kuwasoma vizur Hawa wanyama wakufugwa kuna mambo mengi Sana sisi kujifunza kupitia wao,mm binafs nimetokea kuipenda Sana elimu ya wanyama napenda Sana kuwajua Zaid na kujifuna kuhusu wao
 
Back
Top Bottom