Nyerere 1995 Mjini Iringa: Rais mchagueni Mhe. Mkapa lakini Mbunge chagua Mgombea atakayewafaa Jimboni

Jamani eee ,kweli huu ni mzaha mtupu.Halafu mmoja hapo ni mwoga kwelikweli hajiamini ,sura ya uso inajieleza.Eti kwa mfano ndiyo imeshakuwa na inaripotiwa kwamba kwenye vyombo vya habari kuwa, 'Rais wa JMT Tundu liissu akiwa na makamu wake Salum Mwalimu'.Tumuombe Mwenyezi Mungu atuepushe na utani huu mbaya.
 
Acha asindikize!
Anasindik
Kuepusha hili ungeomba Tundu Lissu asingezaliwa, midhali amezaliwa na anaishi hili halikwepeki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…