SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Hivi kweli unategemea mimi niingie na wewe katika mjadala wa sampuli hii?
Hapana haja.
Hatuwezi kupata tija wala wanaukumbi hawawezi kunufaika.
Muhimu kwako katika ile post ni kuwa na tabia njema.
nilichokisema ni ukweli na sifa ya ukweli kwamba huwa haujadiliwi ni utupu kazi yako ni kuona na kuelewa
