Nyerere Against Islam in Zanzibar and Tanganyika

Nyerere Against Islam in Zanzibar and Tanganyika

Hivi kweli unategemea mimi niingie na wewe katika mjadala wa sampuli hii?
Hapana haja.

Hatuwezi kupata tija wala wanaukumbi hawawezi kunufaika.
Muhimu kwako katika ile post ni kuwa na tabia njema.

nilichokisema ni ukweli na sifa ya ukweli kwamba huwa haujadiliwi ni utupu kazi yako ni kuona na kuelewa
 
Nyerere ni kweli alikuwa mdini sana, hata ukichunguza kwa umakini utagundua vita ya Kagera ilisukumwa sana na udini!,
Na si kweli kuwa hapa TZ waislam na wakristo wanaishi kwa amani NO NO NO sema tu wakristo kwa asili ni waoga ila wanachuki mbaya sana dhidi ya uislam , mi binafsi kabla sijasilimu nilikuwa hivyo hivyo na tulikuwa tufundishwa kuuchukia na kudharau UISLAM!
Mahali popote pale duniani ukiona hakuna amani basi UKRISTO unatafuta njia ya kujipenyeza, mfano SOMALIA ilikuwa 100% ni waislam lakini baada ya miongo 2 ya vita sasa kunakadiriwa Wasomali wakristo 2,000 na zaidi. Tafakari

wakristo ni waoga?,wanaogopa nini na kwa nini? nahisi ubongo wako umeumbwa kwa tende, vipi wewe unaupenda ukristo?
 
Umeniuliza swali nami nimelipokea ila sijui kwa nini uaniwekea masharti jinsi ya kujibu.
Inaelekea unaniamini sana kiasi cha kutaka fikra zangu pasi na kufanya rejea za vitabu vya wasomi.

Insha Allah nitajitahidi kujibu.

Okello.

Kwanza hebu ngoja tumuweke pembeni Insha Allah wakati wake utakapofika tutamzungumza.

Ningependa tuanze na watu, sehemu na matokeo muhimu katika mapinduzi ya Zanzibar.

Kulikuwa na kambi Kipumbwi iliyokuwa imewekwa rasmi kwa kuwafunza mam



hujajibu swali hata moja kati ya hayo mawili ulioulizwa
 
Ningeshangaa kama Mohamed Said asingetia mguu ndani ya hii thread ha ha ha ha ha ha.

Yaongelewe maandiko yake humu na kutukanwa juu na yeye ni member wa JF halafu ayaone halafu asije? hiyo si sifa ya "cowards". Mohamed Said kisha kwambia kitabu chake kakiandika wakati Nyerere yu hai na kakiona na hakungoja afe ndio akiandike. Wala hakutafuna maneno, ni nini kinachokushangaza ewe mjivuni?
 
Wanajamvi, kabla ya kueleza jambo nililokusudia nimeiweka makala hii iliyotoka katika gazeti la Rai Mwema tole 227 la tarehe 22 feb 2012 makusudi kabisa.
Mwandishi wa Makala hii ni Ahmed Rajab ambaye hana tatizo la kidini na Mohamed Said litakalo kwaza mjadala.
Mohamed Said atufahamishe haya yafuatayo

1. Je, naye alifanya mahojiano na Wna mapinduzi kama alivyodai mwenzake Ahmed Rajab
2. Je, anaikubali au kuikataa makala hii kwa ukweli au uongo wake?

Kwanza naanza kwa kumnukuu



Ni kwa msingi wa maandishi haya Mohamed Said anaweza kutusaidia kubainisha kwa kuyakubali au kuyakanusha.
Mambo mengi aliyosema kuhusu Nyerere na Tanganyika, mwandishi mwenzake Ahmed Rajab ambaye hana ''doa'' ameyakanusha.

Hapa hakuna bias kwasababu wote ni waislam, na wana hulka ya kuishambulia Tanganyika na Nyerere.
Kwanini jambo hili wametofautiana kiasi cha kutiana madole machoni?

Kuna data zaidi zinakuja.

Wewe ni mtu wa ajabu na kigeugeu sana, unapomuomba mtu asinukuu kitabu halafu wewe hoja zako unanukuu< sijui ueleweke vipi?

jikumbushe halafu tazama ulichoandika hapo juu:
quote_icon.png
By Nguruvi3
Mohamed Said, kwa vile kila siku tunapata ufahamu mpya kuhusu yaliyojiri Zanzibar na Afrika Mashariki kwa ujumla, ningekuuliza maswali haya mawili:
1. Je, bado unaamini kuwa Okello alitumwa na Wakristo kwenda kufanya mapinduzi ZNZ
2. Je,Nyerere ndiye chanzo cha mapinduzi ya ZNZ

Ningependa unijibu kwa maoni yako na wala si nukuu za kitabu au vitabu kwasababu ninazo na nimezisoma sana.
 
kwel mohamed the facts speak by themselves, kama umetoa ushahd na bado m2 anatukana badala ya kujibu hoja

Ukiona wanaanza matusi ujuwe hawana hoja na wamelielewa somo lakini hawataki kulikubali kwa ubaguzi wa ujinga tu.
 
Katika uchunguzi nilioufanya juu ya jambo hili nimegundua kuwa kuna sababu nne kuu zilizowapelekea waislamu wajenge hisia za kuwapo udini hapa nchini, na pia wajitokeze kulalamika na kudai haki zao. 1. KITABU CHA DR. JOHN C. SIVALON Kwanza, kitabu kilichoandikwa na Dr. John C. Sivalon, alichokiita "KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA BARA - 1953 HADI 1985" kimekuja kuwafunua macho waislam na kuwahakikishia kuwa zile hisia za udini ndani ya serikari, dhidi ya uislamu, ni zakweli Kitabu hicho kimedhihirisha wazi wazi kuwa kanisa katoliki, Tanzania chini ya uangalizi wa Vatikano, katika kipindi chote cha utawala wa awamu ya kwanza, chini ya uongozi wa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere, lilikuwa likichanganya dini na siasa, limekuwa likishirikiana na Serikari katika kulipendelea kanisa hilo na kuudhibiti uislamu waislamu na waislumu kwa jumla.
-MWANDISHI: MAALIMU ALLY BASSALEH
 
Ukweli unamuuma nani? unaelewa kwamba Zanziba hamna kitu hatakimoja mbacho kwacho mnatusaidia Bara wala kutuzidi zaidi ni kutuongezea wategemezi tu,hivyo hatuoni faida ya Muunggano hasa kwetu bara,nyie kupe ndio muunganomnautaka kwa sababu umeme unatoka bara hamlipi mnapewa bure wakati wabara wanapandishiwa bili kulipia gap lililoko kati ya umeme mnaotumia halafu mnasema ukweli unamuuma nani? hatulali tukaota kwamba kuna sehemu inaitwa Zanzibar sababu wanaofaidika nao huo muungano wapo lakini sio sisi
 
Air Cadet
Mara nyingi huwa nawashngaa sana watu kam wewe ambao badala ya kufikiria mambo ya maendeleo badala yake unakuwa kama mwanamke anayetafuta mume,kila mara mmekua mkilalamika kwamba waislamu munaonewa kitu cha ajabu sana kwa mwanaume kama wewe kuandika kitu kama hicho means that wewe sio mwanaume ni kike sana,
hivi uthibitisho gani unaothibitish hayo malalamiko yenu? saana ni ufinyu wa akili na akili za kushikiwa. wewe kama mtu mwenye akili nyie mmekalia kupeleka watoto wenu kuwakaririsha kiarabu ili waje wasome qurhani {kiarabu} ili baadae wawe wganga wa kienyeji unashindana na mtu anayekwenda shuleni kuongeza elimu halafu kwenye ajira unataka wote mpewe nafasi sawa hivi hiyo ipo kweli? mtalia sana tangu mwanzo wakristo waliwatangulia walifungua shule na kuwapeleka watoto wao shule na wakasoma sana huwezi kujilinganisha nao labda usome sana ndipo mtawafikia,shule nyingi za kikristo zilichukuliwa na serikali lakini bado zipo nyingi na zinazotoa elimu bora,tofauti na shule za kiislamu ambazo wao wamekalia kuwafundisha kuchukia wenzao badala ya masomo
Angalia shule zinazoongoza kwenye mitihani ya kitaifa anzia darasa la saba,zinazoongoza ni za kikristo tu,nenda O-level shule zinazofanya vizuri ni za Kikristo,nenda A-level i hizo hizo tu,wakristo wana vyuo vikuu vingapi hapa Tanzania? na j waislamu wanavyo vingapi? Chuo cha Morogoro walipewa msaada na Serikali kilikuwa chuo cha Tanesco,sasa sema kwa mtaji huo humkuti mkristo hata kama utapiga kelele nyamaza tu na ukubali matokeo kwmba kakusinda
 
mnasubiri afe ndio mumshambulie, people like Mohamed Said are simply spineless b.astards/

Kwa kauli yako hii, umetudhihirishia kuwa wewe ni mtu wa aina gani. Usije sahau kuwa ukimnyooshea mtu kidole kimoja, vitatu vyakuelekea wewe mwenyewe. Bwana Mohammed Said atafanya ihsani kubwa sana akikujibu na kwa mujibu nilivyomsoma mimi, si hasha kashakuonyesha huo ustaarabu!
 
Kwa kauli yako hii, umetudhihirishia kuwa wewe ni mtu wa aina gani. Usije sahau kuwa ukimnyooshea mtu kidole kimoja, vitatu vyakuelekea wewe mwenyewe. Bwana Mohammed Said atafanya ihsani kubwa sana akikujibu na kwa mujibu nilivyomsoma mimi, si hasha kashakuonyesha huo ustaarabu!
Bwana jadiliana na akina Mohamed Said, my time is too valuable for this nonsense/
 
Nimeona umenitukana.
Hata hivyo nitakujibu.

Mimi kila nilichoandika kuhusu Nyerere nina ushahidi.
Kitabu changu "The Life and Times of Abdulwahid Sykes..." kimechapwa London mwaka 1998.

Nyerere yu hai na alikisoma.
Sikusuburi afe ndiyo nizungumze habari zake.

Kama una uhakika kuwa alikisoma, alikuwa na maoni gani baada ya kukisoma?
 
Sasa inasaidia nini kumjadili marehemu au ndiyo mwendelezo wa kupandikizana chuki za kidini? Kuna watu walikuwa wadini tangu zamani,Mwl Nyerere alikuwa anauchukia sana udini ili kudumisha amani.Hivi angekuwa mdini kwa kiwango mnachomchafua angeweza hata kukabidhi madaraka kwa Mwinyi? Acheni udini tulijenge taifa kwani kwa namna mnavyoenenda ni kuishiwa hoja.

Mwl, angekuwa mdini naamini Mwinyi na Jk wasingekuwa Maraisi.Ali taifisha shule za wamishenari na kuziweka zikawa za umma na kuhakikisha elimu inakuwa bure.Hapo ndio waislamu wajanja walipowapeleka watoto wao shule.Hoja nyingine watu wanaozileta ni za kipuuzi na unafiki tu.Wamepewa madaraka wameshindwa kuperform wanaanza kumtafuta mchawi.
 
Mwl, angekuwa mdini naamini Mwinyi na Jk wasingekuwa Maraisi.Ali taifisha shule za wamishenari na kuziweka zikawa za umma na kuhakikisha elimu inakuwa bure.Hapo ndio waislamu wajanja walipowapeleka watoto wao shule.Hoja nyingine watu wanaozileta ni za kipuuzi na unafiki tu.Wamepewa madaraka wameshindwa kuperform wanaanza kumtafuta mchawi.

Changa la macho!
 
Kwakuwa article ni ndefu na inaweza kuwasumbua watumiaji wa simu, ukiweza bofya hapa Mwalimu Nyerere - Articles, Transcripts and Legacies | Nyerere Against Islam in Zanzibar and Tanganyika

Lakini inshort, yaliyopo kwenye article hiyo baadhi yake ni haya

When the former Tanzanian President Julius Kambarage Nyerere made the above address to his National Assembly that "the union between Zanzibar and Tanganyika is the most misunderstood aspects of Tanzanian's political development" proved that he is the only Tanzanian who knows "the manner and the implications of the union" after British colonialism in East Africa.

During the British colonialism, Zanzibar was the only intellectual center for Islamization of East African countries under the Zanzibar Sultanate. The Gofu and the Barza Mosques allowed students from the East African countries for the Islamic education. The Zanzibar Muslim Academy also offered the greatest hope for the vibrancy of Islam in East Africa.

Nyerere, a devout Catholic saw that the Islamic Zanzibar state, a threat to Christianity. He masterminded a clandestine movement for the so called Zanzibar Revolution under the leadership of John Okello, a radical Christian from Uganda. It was not only a prelude to the creation of Tanzania, but a continuation of crusade against Islam and extension of Christian colonialism.


When Zanzibar gained independence on December 10, 1963 from the British government, it became a member of the Commonwealth nations. It joined the United Nations on December 16, 1963 and was represented by Hilal bin Muhammed bin Hilal. But when the new Zanzibar Government declared to form the model of the Islamic State, it was orchestrated by Afro-Christian Crusaders as reincarnation of Arabisation and revivalism of Islamization.

They invaded Zanzibar in the midnight of January 11, 1964 under the self-appointed "Field Mashal" John Okello, a militant Christian from Uganda. The objective of the Zanzibar revolution was a Crusade against Islam as Okello stated in his book entitled Revolution in Zanzibar that God appointed him to make revolution for the sake of Christianity. He then quoted the following Biblical passage for his justifications:

Maneno Yapo juu ya mstari
 
Back
Top Bottom