Unakusudia vipi kusema kuwa nchi ya uislam? Je umekusudia dola ya kiislam? Kama ni dola ya kiislam basi hakuna duniani nzima ndio mana kila kona kuna fujo tu, sio nchi za syria tu na kwengine hata nchi za wazungu nao zinavurugu, tena wao ndo wakubwa hasa, hebu chungulia world war 1 na 2 walioshiriki ni kina nani? Naomba unijibu
Naendelea na kipengele chako sasa cha kwanza, kama umekusidia nchi ya waislam kwa maana ya kuwa na waislam wengi, basi mfano mzuri kuliko yote ni nchi ya oman, hakuna vurugu, lakini sio oman peke ake, UAE nayo iko salama sana tu..... Tatizo sio uislam, tatizo ni hii mifumo ya utawala ya kikafiri, eti demokrasia, dictatorship, monarchy, totalitarian, anarchy (kama somali) hii mifumo ni ya kikafiri ndio maana kutwa ugomvi na vurugu! HUWEZI KABISAAAAAA KUULAUMU UISLAM, huwezi kusema eti Syria mbona waislam lakini vuruguso it means uislam vurugu la hasha ndugu, kwanza tizama tatizo lao ni nini hao wasyria? Ni Assad, haya Assad amewekwa kwa mfumo gani? Hili nakuachia ujijibu mwenyeo!
Mfumo wa uongozi katika uislam ni wa Ukhalifa, huo ndio mfumo ambao ingeweza ukaleta lawama za kuulaumu uislam.....
Lakini uongozi wa kikafiri ndo huzalisha yote! Au wewe unaona mifumo nlokutajia ni ya uislam? Ni kina nani wameileta? Ebu nijibu basi ili nijue uelewa wako umefikia wapi kati ya kutenganisha uislam na matukio yanayotokea.
Mana kama unakumbula juzi UK kulikua na fujo kubwa sana, sasa tukisema ukiristo dini ya fujo tutakua tumefanya haki kweli?
Kidogo chuki zako weka pembeni japo kidogo tu ili ukweli uujue, wewe hujiulizi mbona katika tawala za makhalifa wawili wa mwanzo wa uislam ulikua stable na hakukua na resistance?