SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Hivi kweli unategemea mimi niingie na wewe katika mjadala wa sampuli hii?
Hapana haja.
Hatuwezi kupata tija wala wanaukumbi hawawezi kunufaika.
Muhimu kwako katika ile post ni kuwa na tabia njema.
Nyerere ni kweli alikuwa mdini sana, hata ukichunguza kwa umakini utagundua vita ya Kagera ilisukumwa sana na udini!,
Na si kweli kuwa hapa TZ waislam na wakristo wanaishi kwa amani NO NO NO sema tu wakristo kwa asili ni waoga ila wanachuki mbaya sana dhidi ya uislam , mi binafsi kabla sijasilimu nilikuwa hivyo hivyo na tulikuwa tufundishwa kuuchukia na kudharau UISLAM!
Mahali popote pale duniani ukiona hakuna amani basi UKRISTO unatafuta njia ya kujipenyeza, mfano SOMALIA ilikuwa 100% ni waislam lakini baada ya miongo 2 ya vita sasa kunakadiriwa Wasomali wakristo 2,000 na zaidi. Tafakari
Umeniuliza swali nami nimelipokea ila sijui kwa nini uaniwekea masharti jinsi ya kujibu.
Inaelekea unaniamini sana kiasi cha kutaka fikra zangu pasi na kufanya rejea za vitabu vya wasomi.
Insha Allah nitajitahidi kujibu.
Okello.
Kwanza hebu ngoja tumuweke pembeni Insha Allah wakati wake utakapofika tutamzungumza.
Ningependa tuanze na watu, sehemu na matokeo muhimu katika mapinduzi ya Zanzibar.
Kulikuwa na kambi Kipumbwi iliyokuwa imewekwa rasmi kwa kuwafunza mam
hujajibu swali hata moja kati ya hayo mawili ulioulizwa
Ningeshangaa kama Mohamed Said asingetia mguu ndani ya hii thread ha ha ha ha ha ha.
Wanajamvi, kabla ya kueleza jambo nililokusudia nimeiweka makala hii iliyotoka katika gazeti la Rai Mwema tole 227 la tarehe 22 feb 2012 makusudi kabisa.
Mwandishi wa Makala hii ni Ahmed Rajab ambaye hana tatizo la kidini na Mohamed Said litakalo kwaza mjadala.
Mohamed Said atufahamishe haya yafuatayo
1. Je, naye alifanya mahojiano na Wna mapinduzi kama alivyodai mwenzake Ahmed Rajab
2. Je, anaikubali au kuikataa makala hii kwa ukweli au uongo wake?
Kwanza naanza kwa kumnukuu
Ni kwa msingi wa maandishi haya Mohamed Said anaweza kutusaidia kubainisha kwa kuyakubali au kuyakanusha.
Mambo mengi aliyosema kuhusu Nyerere na Tanganyika, mwandishi mwenzake Ahmed Rajab ambaye hana ''doa'' ameyakanusha.
Hapa hakuna bias kwasababu wote ni waislam, na wana hulka ya kuishambulia Tanganyika na Nyerere.
Kwanini jambo hili wametofautiana kiasi cha kutiana madole machoni?
Kuna data zaidi zinakuja.
By Nguruvi3
Mohamed Said, kwa vile kila siku tunapata ufahamu mpya kuhusu yaliyojiri Zanzibar na Afrika Mashariki kwa ujumla, ningekuuliza maswali haya mawili:
1. Je, bado unaamini kuwa Okello alitumwa na Wakristo kwenda kufanya mapinduzi ZNZ
2. Je,Nyerere ndiye chanzo cha mapinduzi ya ZNZ
Ningependa unijibu kwa maoni yako na wala si nukuu za kitabu au vitabu kwasababu ninazo na nimezisoma sana.
kwel mohamed the facts speak by themselves, kama umetoa ushahd na bado m2 anatukana badala ya kujibu hoja
mnasubiri afe ndio mumshambulie, people like Mohamed Said are simply spineless b.astards/
Ukiona wanaanza matusi ujuwe hawana hoja na wamelielewa somo lakini hawataki kulikubali kwa ubaguzi wa ujinga tu.
Bwana jadiliana na akina Mohamed Said, my time is too valuable for this nonsense/Kwa kauli yako hii, umetudhihirishia kuwa wewe ni mtu wa aina gani. Usije sahau kuwa ukimnyooshea mtu kidole kimoja, vitatu vyakuelekea wewe mwenyewe. Bwana Mohammed Said atafanya ihsani kubwa sana akikujibu na kwa mujibu nilivyomsoma mimi, si hasha kashakuonyesha huo ustaarabu!
Nimeona umenitukana.
Hata hivyo nitakujibu.
Mimi kila nilichoandika kuhusu Nyerere nina ushahidi.
Kitabu changu "The Life and Times of Abdulwahid Sykes..." kimechapwa London mwaka 1998.
Nyerere yu hai na alikisoma.
Sikusuburi afe ndiyo nizungumze habari zake.
Ikiwa hupendi darsa zangu sitakuudhi.
Nieleze nami sitachangia.
Sasa inasaidia nini kumjadili marehemu au ndiyo mwendelezo wa kupandikizana chuki za kidini? Kuna watu walikuwa wadini tangu zamani,Mwl Nyerere alikuwa anauchukia sana udini ili kudumisha amani.Hivi angekuwa mdini kwa kiwango mnachomchafua angeweza hata kukabidhi madaraka kwa Mwinyi? Acheni udini tulijenge taifa kwani kwa namna mnavyoenenda ni kuishiwa hoja.
Mwl, angekuwa mdini naamini Mwinyi na Jk wasingekuwa Maraisi.Ali taifisha shule za wamishenari na kuziweka zikawa za umma na kuhakikisha elimu inakuwa bure.Hapo ndio waislamu wajanja walipowapeleka watoto wao shule.Hoja nyingine watu wanaozileta ni za kipuuzi na unafiki tu.Wamepewa madaraka wameshindwa kuperform wanaanza kumtafuta mchawi.
Kwakuwa article ni ndefu na inaweza kuwasumbua watumiaji wa simu, ukiweza bofya hapa Mwalimu Nyerere - Articles, Transcripts and Legacies | Nyerere Against Islam in Zanzibar and Tanganyika
Lakini inshort, yaliyopo kwenye article hiyo baadhi yake ni haya
When the former Tanzanian President Julius Kambarage Nyerere made the above address to his National Assembly that "the union between Zanzibar and Tanganyika is the most misunderstood aspects of Tanzanian's political development" proved that he is the only Tanzanian who knows "the manner and the implications of the union" after British colonialism in East Africa.
During the British colonialism, Zanzibar was the only intellectual center for Islamization of East African countries under the Zanzibar Sultanate. The Gofu and the Barza Mosques allowed students from the East African countries for the Islamic education. The Zanzibar Muslim Academy also offered the greatest hope for the vibrancy of Islam in East Africa.
Nyerere, a devout Catholic saw that the Islamic Zanzibar state, a threat to Christianity. He masterminded a clandestine movement for the so called Zanzibar Revolution under the leadership of John Okello, a radical Christian from Uganda. It was not only a prelude to the creation of Tanzania, but a continuation of crusade against Islam and extension of Christian colonialism.
When Zanzibar gained independence on December 10, 1963 from the British government, it became a member of the Commonwealth nations. It joined the United Nations on December 16, 1963 and was represented by Hilal bin Muhammed bin Hilal. But when the new Zanzibar Government declared to form the model of the Islamic State, it was orchestrated by Afro-Christian Crusaders as reincarnation of Arabisation and revivalism of Islamization.
They invaded Zanzibar in the midnight of January 11, 1964 under the self-appointed "Field Mashal" John Okello, a militant Christian from Uganda. The objective of the Zanzibar revolution was a Crusade against Islam as Okello stated in his book entitled Revolution in Zanzibar that God appointed him to make revolution for the sake of Christianity. He then quoted the following Biblical passage for his justifications: