Nyerere alianzisha CCM akawapisha wengine

Nyerere alianzisha CCM akawapisha wengine

Amekuwa kama ccm chama kinachokaa madarakani kwa shuruti.
Anadai hakuna mwenye uzoefu wa kumzidi yeye hapo CHADEMA anahofia Lissu mweney jazba na asiye na breki katika maongezi yake anaweza kukifanya chama kikafa mapema sana.

CCM wana uzoefu mkubwa wa mbinu zote, ukitaka za kistaarabu wanazo, ukitaka za kihuni wanazo pia.
 
Anadai hakuna mwenye uzoefu wa kumzidi yeye hapo CHADEMA anahofia Lissu mweney jazba na asiye na breki katika maongezi yake anaweza kukifanya chama kikafa mapema sana.

CCM wana uzoefu mkubwa wa mbinu zote, ukitaka za kistaarabu wanazo, ukitaka za kihuni wanazo pia.
Sio ccm, sema dola. Hakuna ustaarabu kwa ccm, maana ustaarabu kwao ni ww kuwaacha wafanye watakavyo na kukutupia makombo. Kuliko chama kiendelee kuwa hai, lakini kisicho na meno kama TLP, ni bora kife.
 
Sio ccm, sema dola. Hakuna ustaarabu kwa ccm, maana ustaarabu kwao ni ww kuwaacha wafanye watakavyo na kukutupia makombo. Kuliko chama kiendelee kuwa hai, lakini kisicho na meno kama TLP, ni bora kife.
CCM kuwa na uhusiano na historia tangu uhuru kinakipa uzoefu mkubwa wa uendeshaji wa nchi hii achana na upungufu wa hapa na pale.

Huwezi kukilinganisha na hivyo vyama ambavyo ni mali binafsi za watu fulani. CCM inao mfumo wa kuachiana madaraka kutoka kizazi kimoja kwenda kingine pia ipo nidhamu kubwa ya miaka mingi tofauti na hivyo vyama vya kihuni.
 
CCM kuwa na uhusiano na historia tangu uhuru kinakipa uzoefu mkubwa wa uendeshaji wa nchi hii achana na upungufu wa hapa na pale.

Huwezi kukilinganisha na hivyo vyama ambavyo ni mali binafsi za watu fulani. CCM inao mfumo wa kuachiana madaraka kutoka kizazi kimoja kwenda kingine pia ipo nidhamu kubwa ya miaka mingi tofauti na hivyo vyama vya kihuni.
Hata makada wa KANU hapo Kenya walikuwa na misamiati kama hii yakwako, leo hii KANU iko mortuary, na Kenya ina uchumi mzuri kuliko wa Tanzania chini ya nyie majizi ya ccm.
 
Hata makada wa KANU hapo Kenya walikuwa na misamiati kama hii yakwako, leo hii KANU iko mortuary, na Kenya ina uchumi mzuri kuliko wa Tanzania chini ya nyie majizi ya ccm.
Msingi wa Kenya NI vita ya MAUMAU miaka ya 50 msingi wa Tanzania ni nchi kukabidhiwa kwa Mungu siku moja kabla ya uhuru makanisani na misikitini, hatukupigana vita sisi tofauti na Kenya.

Amani imekuwa sifa ya uwepo wa taifa hili.
 
Back
Top Bottom