Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Katiba ya Warioba ilikuwa ni utashi tu Kikwete na ndio maana ilikwama kutokana na hulka ya Kikwete mwenyewe kupenda kumsikiliza kila mtu.Sio kweli, wanaotuangusha ni viongozi wetu na CCM hawapendi mabadiliko, unaikumbuka katiba ya Warioba ilikuwa kwenye hatua za mwisho watawala wakiongozwa na CCM wakaikwamisha.
Lakini hakuna shinikizo wala mapambano yoyote kutoka kwa wananchi wenyewe yaliyopelekea hali hiyo kama ilivyotokea kwa Zanzibar au Kenya.