Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kama kuna kiongozi aliekuwa anawakemea watawala wanapoboronga tens hadharani, basi Nyerere alikuwa kiboko.
Kama kuna kiongozi aliekuwa anakemea rushwa ndani ya chama chake(CCM) tena hadharani, basi Nyerere alikuwa hana mfano
Nyerere alikemea wala rushwa, wauza mashirika ya umma, wanauza nchi na alisema kabisa tena hadharani: " All crooks must go".
Sasa tuambieni ni lini na wapi aliwahi kuitwa mropokaji?
Acheni unafiki na uzandiki, waropokajo mnawajua wakipewa mike(wakiwa live) wanavyoongea pumba.
Lissu kamata hapo hapo mpaka wanyooke.
Kama kuna kiongozi aliekuwa anakemea rushwa ndani ya chama chake(CCM) tena hadharani, basi Nyerere alikuwa hana mfano
Nyerere alikemea wala rushwa, wauza mashirika ya umma, wanauza nchi na alisema kabisa tena hadharani: " All crooks must go".
Sasa tuambieni ni lini na wapi aliwahi kuitwa mropokaji?
Acheni unafiki na uzandiki, waropokajo mnawajua wakipewa mike(wakiwa live) wanavyoongea pumba.
Lissu kamata hapo hapo mpaka wanyooke.