Nyerere alikuwa ni mlevi wa madaraka

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Yaani katika watu ninaowachukia Tanzania hii ni Nyerere, ndiye aliingia madarakani na akakaa miaka 25 mwisho wa siku akawarithisha watanzania ujinga na umasikini yaani huyu mzee Mimi natamani nichape maiti take viboko mia sababu alikuwa ni mlevi wa madaraka ila nashangaa kuna mijitu inamuita baba wa taifa.

Hivi jamani baba Gani anarithisha wanae ujinga na umasikini, hivi baba Gani ni muongo muongo kama huyu mzee yaani yeye ndio mzizi wa umasikini sababu kakaa kwenye nchi miaka 25 hamna alichokifanya, kazidiwa na Magufuli aliyekaa miaka 5 tu.
 
Umevuta bangi ya wapi ?. LOH hata wanaovuta bangi ya Arusha wanaishia kuweka rasta na kuimba hipop

Wewe utakuwa umevuta ya bangi ya Malawi.

Nenda kwanza kapige fimbo kaburi la baba yako ambaye alikuzaa kwa nyege zake wakati hakupanga kukuzaa
 
Umevuta bangi ya wapi ?. LOH hata wanaovuta bangi ya Arusha wanaishia kuweka rasta na kuimba hipop

Wewe utakuwa umevuta ya bangi ya Malawi.

Nenda kwanza kapige fimbo kaburi la baba yako ambaye alikuzaa kwa nyege zake wakati hakupanga kukuzaa
Nyie wazee ni washamba Nyerere alikua anawazarau sana ndio m11na mlikua mnampigia magoti
 
Wakati unaendelea kupata milo mitatu kwa siku hapo alipoolewa dada ako, usisahahu kwamba siku moja na wewe utakuwa mzee then wajukuu wako watakuwa wanakuona ulivokuwa unalamba lamba lips kwenye akaunti yako ya tiktok. Ndio utakapojua maswali magumu kutoka kwa wajukuu yanakuwaje?
 
Nyie mizee mlikua mnaramba miguu ya nyerere siwezi kuwashangaa
 
Mbaka
Mnaojibishana na uyu kijana aliye changanyikiwa na nyie mna matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…