Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
kama tungekuwa tunabonga ngeli vzur,tusingekuwa wajinga hvMkuu, kiswahili Kina tatizo gani? Tueleweshe.
Hii nchi ina diaspora wachache kwasababu ya hili lilugha letu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama tungekuwa tunabonga ngeli vzur,tusingekuwa wajinga hvMkuu, kiswahili Kina tatizo gani? Tueleweshe.
Laiti angeanza kama unavyoandika wewe kwa nidhamu, ningetumia muda wangu kumuelimisha. Lakini ameanza kwa "kufuru na kejeli: ya kupiga kaburi!!Kijana mtoa hoja asikilizwe na kujibiwa hoja zake ili aelewe, asitukanwe na kubezwa sababu sio wote wanafahamu umuhimu wa Nyerere katika taifa hili.
Mzee mwenzangu Huihui2 muelimishe kijana kwa hekima atakuelewa tu.
Kweli kabisa mkuu, upo sahihi.Laiti angeanza kama unavyoandika wewe kwa nidhamu, ningetumia muda wangu kumuelimisha. Lakini ameanza kwa "kufuru na kejeli: ya kupiga kaburi!!
How do you educate a sociopath?
Kumbe!kama tungekuwa tunabonga ngeli vzur,tusingekuwa wajinga hv
Hii nchi ina diaspora wachache kwasababu ya hili lilugha letu
Cuba,russia,china,north korea na wajamaa wengine mbona wameshindwa na wameingia kwenye ubepari kiaina?ujamaa ni utu tatizo la hii dunia kuuishi utakatifu ni vigumu.Ujamaa was a failure.