johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nautafakari sana huu unabii wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Awali tuliamini labda Mwalimu Nyerere alimaanisha hawa akina Dr. Lyatonga Mrema au Dr. Slaa au hata Mzee Lowassa kumbe siyo.
Ndio nafanya utafiti nione huo Upinzani utatokaje ndani ya CCM yenyewe?
Je, wahafidhina wa CCM ni kundi gani, na wahafidhina wa CHADEMA ndio akina nani na falsafa yao ni ipi?
Siasa ni mchezo wa kuzidiana Akili na Fikra!
Awali tuliamini labda Mwalimu Nyerere alimaanisha hawa akina Dr. Lyatonga Mrema au Dr. Slaa au hata Mzee Lowassa kumbe siyo.
Ndio nafanya utafiti nione huo Upinzani utatokaje ndani ya CCM yenyewe?
Je, wahafidhina wa CCM ni kundi gani, na wahafidhina wa CHADEMA ndio akina nani na falsafa yao ni ipi?
Siasa ni mchezo wa kuzidiana Akili na Fikra!