Nyerere alisema Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM lakini CHADEMA haitakufa!

Nyerere alisema Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM lakini CHADEMA haitakufa!

Kwani Nyerere alikuwa Mungu mkuu? Au Nabii ...

Kuna mambo aliharibu sana, hasa kudumaza akili za watu wake.

Nchi hii watu wenye akili wanakaa kimya kuhofia umafia wa mifumo aliyoasisi yeye ya kudumu madarakani.
Sahihi kabisa, kila Taifa lililoendelea kuna muasisi alifanya kazi ya ziada, kitu alichokiweza ni kutuunganisha kwa lugha moja na kutoa dhana ya ukabila pamoja na kulinda raslimali tuu mengine yaliyobaki yeye ndio katuletea shida..

Katiba mbovu ya kifalme na yeye alilalamika hakuchukua hatua, tabia ya mtu akiharibu anahamishwa badala kupelekwa jela, watu wenye akili timam kuwa nje ya system kwa kuogopa challenges na kukaa na narrow minded people wanaojua kusifu na kuabudu...
 
Taking charge was hindered big time by the founding father of this nation, we have had alot of good folks who tried but the consequences were so serious and damaging .
That is an excuse. Nothing serious has been achieved without the will to do it.
If he hindered things as you say, what things were you doing to advance your cause? Expecting free lunch is the approach of lazi and mediocre minds
 
Sahihi kabisa, kila Taifa lililoendelea kuna muasisi alifanya kazi ya ziada, kitu alichokiweza ni kutuunganisha kwa lugha moja na kutoa dhana ya ukabila pamoja na kulinda raslimali tuu mengine yaliyobaki yeye ndio katuletea shida..

Katiba mbovu ya kifalme na yeye alilalamika hakuchukua hatua, tabia ya mtu akiharibu anahamishwa badala kupelekwa jela, watu wenye akili timam kuwa nje ya system kwa kuogopa challenges na kukaa na narrow minded people wanaojua kusifu na kuabudu...

Ni kweli kuna makosa kadhaa awamu ya kwanza. Ilibidi awamu ya pili na zilizofuatia ziyarekebishe.
Badala yake, mambo yanazidi kuwa mabaya. Kwahiyo tunapomsema, hatuna reference ya maana toka alipoacha.
Rushwa na wizi wa mali ya umma....matumizi mabaya ya ofisi za umma....ukosefu wa uwajibikaji....etc etc ndio yamefuata baada ya kutoka madarakani
 
Asingewaumiza wapinzani angefika mbali sana.
Tanzania hakuna Upinzani kaka Tanzania kuna vibaraka na machawa. Magufuli Aliwajua nje ndani. Na Alipenda Uzalendo na sio unafiki.

Kumpoteza yule Bwana Nchi inayumba sana Kaka. Mungu Amsaidie mama maana hata wao hawakumwelewa Magufuli ila sasa nadhani wanamwelewa na nia Yake nzuri juu ya Tanzania na watu wake.
 
Tanzania hakuna Upinzani kaka Tanzania kuna vibaraka na machawa. Magufuli Aliwajua nje ndani. Na Alipenda Uzalendo na sio unafiki.

Kumpoteza yule Bwana Nchi inayumba sana Kaka. Mungu Amsaidie mama maana hata wao hawakumwelewa Magufuli ila sasa nadhani wanamwelewa na nia Yake nzuri juu ya Tanzania na watu wake.
Kwamba hakuna upinzani mkuu? Kweli?

Upinzani kwa Tanzania sio rahisi mkuu, tena ukiwa radical sana kuonja umauti ni kugusa...

Tuombe sana tupate katiba mpya.
 
Nautafakari sana huu unabii wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Awali tuliamini labda Mwalimu Nyerere alimaanisha hawa akina Dr. Lyatonga Mrema au Dr. Slaa au hata Mzee Lowassa kumbe siyo.

Ndio nafanya utafiti nione huo Upinzani utatokaje ndani ya CCM yenyewe?

Je, wahafidhina wa CCM ni kundi gani, na wahafidhina wa CHADEMA ndio akina nani na falsafa yao ni ipi?

Siasa ni mchezo wa kuzidiana Akili na Fikra!
Lisemalo lipo kama halipo linakuja
 
Back
Top Bottom