cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Tuishii na hii hapa.Nyerere;watanzania wanataka mabadiriko wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuishii na hii hapa.Nyerere;watanzania wanataka mabadiriko wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm,
Mmh ilikuwa ni kizaazaa !!Nyerere;watanzania wanataka mabadiriko wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm,
Huyu Nyerere kwa uchu wa madaraka ndiye alitutengenezea KATIBA hii mbovu, katunyima elimu matokeo yake ndo haya Msukuma kaishia la Saba kenda tembelea mwekezaji Dubai.Bado naitafakari hii kauli ya baba wa taifa Mwalimu Nyerere kwamba Wapinzani wa kweli Watatoka ndani ya CCM
Namfatilia kwa karibu Balozi Karume kwa sababu Wazanzibari ndio wanajua Siasa Tanganyika Wamejazana Chawa watupu😀
Mlale unono!
King Msukuma aka Bilionea wa dhahabu ya Mchongo 😂😂Huyu Nyerere kwa uchu wa madaraka ndiye alitutengenezea KATIBA hii mbovu, katunyima elimu matokeo yake ndo haya Msukuma kaishia la Saba kenda tembelea mwekezaji Dubai.
Kama aliharibu nani aliyerekebisha? Nyerere alistaafu 1985. Tunamsingizia tuKwani Nyerere alikuwa Mungu mkuu? Au Nabii ...
Kuna mambo aliharibu sana, hasa kudumaza akili za watu wake.
Nchi hii watu wenye akili wanakaa kimya kuhofia umafia wa mifumo aliyoasisi yeye ya kudumu madarakani.
Inawanufaisha wanaokuja....Kama aliharibu nani aliyerekebisha? Nyerere alistaafu 1985. Tunamsingizia tu
Inawanufaisha wanaokuja....
Taking charge was hindered big time by the founding father of this nation, we have had alot of good folks who tried but the consequences were so serious and damaging .We don't want to take charge of our own problems and destination
Karne ya 21 hii unatuletea falsafa za mtu wa karne ya 20, ww utakuwa ni mzee lazima.Bado naitafakari hii kauli ya baba wa taifa Mwalimu Nyerere kwamba Wapinzani wa kweli Watatoka ndani ya CCM
Namfatilia kwa karibu Balozi Karume kwa sababu Wazanzibari ndio wanajua Siasa Tanganyika Wamejazana Chawa watupu😀
Mlale unono!
Wapinzani nao hawaeleweki. Kina Zito na lissu hawana mwelekeo halisiAsingewaumiza wapinzani angefika mbali sana.
Wanaeleweka vizur sana.Wapinzani nao hawaeleweki. Kina Zito na lissu hawana mwelekeo halisi
Nyerere ni baba wa ubatizo wa mwenyekiti wa Chadema!Karne ya 21 hii unatuletea falsafa za mtu wa karne ya 20, ww utakuwa ni mzee lazima.
Unamkumbuka Himidi Mansoor mkwewe akina Ally na Amaan,Bado naitafakari hii kauli ya baba wa taifa Mwalimu Nyerere kwamba Wapinzani wa kweli Watatoka ndani ya CCM
Namfatilia kwa karibu Balozi Karume kwa sababu Wazanzibari ndio wanajua Siasa Tanganyika Wamejazana Chawa watupu😀
Mlale unono!
Hana uwezo wa kuongoza chama. Labda kwa kuwa waswahili wa huko zenji wanajuana kwa vilemba, basi wanaweza kumfuata tu kama nyumbu wale wengine.Namfatilia kwa karibu Balozi Karume
Kukiwa na tume huru , CCM imekwisha. Hili la bandari linaiondoa. hata huko nyuma Lowasa alishindaBado naitafakari hii kauli ya baba wa taifa Mwalimu Nyerere kwamba Wapinzani wa kweli Watatoka ndani ya CCM
Namfatilia kwa karibu Balozi Karume kwa sababu Wazanzibari ndio wanajua Siasa Tanganyika Wamejazana Chawa watupu😀
Mlale unono!
Nautafakari sana huu unabii wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Awali tuliamini labda Mwalimu Nyerere alimaanisha hawa akina Dr. Lyatonga Mrema au Dr. Slaa au hata Mzee Lowassa kumbe siyo.
Ndio nafanya utafiti nione huo Upinzani utatokaje ndani ya CCM yenyewe?
Je, wahafidhina wa CCM ni kundi gani, na wahafidhina wa CHADEMA ndio akina nani na falsafa yao ni ipi?
Siasa ni mchezo wa kuzidiana Akili na Fikra!