Nyerere alituuza na kuzalisha umasikini

Nyerere alituuza na kuzalisha umasikini

Unitman

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
511
Reaction score
671
Habari ndugu wanajamii. Aisee kwanza Mimi Sio mtanzania ni mtanganyika. Kama Zanzibar ipo iweje Tanganyika?

Je, mzanzibar ni mtanzania?? Hapa ndo utaona mwalimu Nyerere pamoja na sifa mnazompa ni batili. Huyu BABA alijenga mfumo wa nchiiii kutegemea mtu mmoja Yaani watu milioni 60 mnategemea mtu mmoja ataamkaje.

Haya Ni matunda ya uasisi wa mwalimu na ata hizi ishu za kuteka watu na kuwaua hazijaibuka ghafla zimeasisiwa.Sasa umasikini tulionao ni matunda ya mwalimu.

Hakujikita kujenga taasisi imara kwa Sababu taasisi ya uraisi ndo inaratibu kila kitu nchiiii ipo mateka.wale mnataka katiba ya mzee warioba nawaaambia ikifika kwenye muungano ndo mtajua sura halisi ya mwalimu.Huu muungano ulikuwa kwa masirahi ya nani?

Yaani nchi ya watu Mill 60 sasa hivi inaongozwa na mkoa wenye watu laki mbili.Hakika viongozi wa kiroho mnapaswa kuona miaka 15 ijayo itakuwaje vinginevyo naona machafuko
 
Kuna nyakati watu mnatoa makala bila exposure na mnakuwa shallow kweli.

Kenya wakifuata ubepari, nenda Kenya na ishi nao kwa week moja tu. Nimefika Kenya na nimeishi kwa muda, Wakenya masikini wana hali ngumu kuliko masikini wa Tanzania.

Nimefika Zambia, Zambia wana maisha magumu sana kuliko Tanzania.

Nyerere kuna makosa alifanya, ila alijenga viwanda na kuviacha vikifanya kazi.

Nyerere kaacha kiwanda cha maziwa Utegi (UHT) milk processing plant, ilikuwa ni kubwa kuliko brookside ya Kenyatt

Nyerere kaacha viwanda vya nguo na ginnery za kuchataka pamba, na plant za kuzalisha mafuta ya kula ya pamba.

Nyerere kaacha fuel refinery plant kubwa, ambayo hata Kenya waliofuata ubepari hawakuwa nayo.

Mnapotoa hoja, ni vema walau comparative analysis yako iwe objective.
Otherwise, pamoja na Kenya kuiba mali nyingi za East Africa baada ya jumuiya ya EA kufa, bado aliweza kuanzisha shirika la ndege na kuacha ndege zikiwa operating.

Nyerere kaacha viwanda vinne vya sukari,
Mtibwa,
Kilombero
Moshi
Kagera vikiwa ni Mali ya umma, mpaka vikabinafsishwa.

Unapomlaumu Nyerere kusababisha umasikini, tungeona neema Kenya, Zambia, South Africa, Nigeria; hoja ya muandishi ingekuwa na mashiko.
 
Kuna nyakati watu mnatoa makala bila exposure na mnakuwa shallow kweli.

Kenya wakifuata ubepari, nenda Kenya na ishi nao kwa week moja tu. Nimefika Kenya na nimeishi kwa muda, Wakenya masikini wana hali ngumu kuliko masikini wa Tanzania.

Nimefika Zambia, Zambia wana maisha magumu sana kuliko Tanzania.

Nyerere kuna makosa alifanya, ila alijenga viwanda na kuviacha vikifanya kazi.

Nyerere kaacha kiwanda cha maziwa Utegi (UHT) milk processing plant, ilikuwa ni kubwa kuliko brookside ya Kenyatt

Nyerere kaacha viwanda vya nguo na ginnery za kuchataka pamba, na plant za kuzalisha mafuta ya kula ya pamba.

Nyerere kaacha fuel refinery plant kubwa, ambayo hata Kenya waliofuata ubepari hawakuwa nayo.

Mnapotoa hoja, ni vema walau comparative analysis yako iwe objective.
Otherwise, pamoja na Kenya kuiba mali nyingi za East Africa baada ya jumuiya ya EA kufa, bado aliweza kuanzisha shirika la ndege na kuacha ndege zikiwa operating.

Nyerere kaacha viwanda vinne vya sukari,
Mtibwa,
Kilombero
Moshi
Kagera vikiwa ni Mali ya umma, mpaka vikabinafsishwa.

Unapomlaumu Nyerere kusababisha umasikini, tungeona neema Kenya, Zambia, South Africa, Nigeria; hoja ya muandishi ingekuwa na mashiko.
Mkuu umejenga hoja ya msingi Sana ila hatuwezi kukata ukweli kwamba Mwalimu alifanya vema Sana kwenye siasa na jamii lakini katika Uchumi alifeli Sana bado taifa hili linapitia katika nyakati ngumu ya kiuchumi kutokana na sera ya ujamaa ambayo ilizaa Azimio la Arusha.
 
Kuna nyakati watu mnatoa makala bila exposure na mnakuwa shallow kweli.

Kenya wakifuata ubepari, nenda Kenya na ishi nao kwa week moja tu. Nimefika Kenya na nimeishi kwa muda, Wakenya masikini wana hali ngumu kuliko masikini wa Tanzania.

Nimefika Zambia, Zambia wana maisha magumu sana kuliko Tanzania.

Nyerere kuna makosa alifanya, ila alijenga viwanda na kuviacha vikifanya kazi.

Nyerere kaacha kiwanda cha maziwa Utegi (UHT) milk processing plant, ilikuwa ni kubwa kuliko brookside ya Kenyatt

Nyerere kaacha viwanda vya nguo na ginnery za kuchataka pamba, na plant za kuzalisha mafuta ya kula ya pamba.

Nyerere kaacha fuel refinery plant kubwa, ambayo hata Kenya waliofuata ubepari hawakuwa nayo.

Mnapotoa hoja, ni vema walau comparative analysis yako iwe objective.
Otherwise, pamoja na Kenya kuiba mali nyingi za East Africa baada ya jumuiya ya EA kufa, bado aliweza kuanzisha shirika la ndege na kuacha ndege zikiwa operating.

Nyerere kaacha viwanda vinne vya sukari,
Mtibwa,
Kilombero
Moshi
Kagera vikiwa ni Mali ya umma, mpaka vikabinafsishwa.

Unapomlaumu Nyerere kusababisha umasikini, tungeona neema Kenya, Zambia, South Africa, Nigeria; hoja ya muandishi ingekuwa na mashiko.
Mkuu umejenga hoja ya msingi Sana ila hatuwezi kukata ukweli kwamba Mwalimu alifanya vema Sana kwenye siasa na jamii lakini katika Uchumi alifeli Sana bado taifa hili linapitia katika nyakati ngumu ya kiuchumi kutokana na sera ya ujamaa ambayo ilizaa Azimio la Arusha bila kusahau matokeo ya Vita ya kagera 1978-1979
 
Habari ndugu wanajamii.Aisee kwanza Mimi Sio mtanzania ni mtanganyika. Kama Zanzibar ipo iweje Tanganyika?

Je, mzaninzibar ni mtanzania??Hapa ndo utaona mwalimu Nyerere pamoja na sifa mnazompa ni batili. Huyu BABA alijenga mfumo wa nchiiii kutegemea mtu mmoja Yaani watu milioni 60 mnategemea mtu mmoja ataamkaje.

Haya Ni matunda ya uasisi wa mwalimu.na ata hizi ishu za kuteka watu na kuwaua hazijaibuka ghafla zimeasisiwa.Sasa umasikini tulionao ni matunda ya mwalimu.

Hakujikita kujenga taasisi imara kwa Sababu taasisi ya uraisi ndo inaratibu kila kitu nchiiii ipo mateka.wale mnataka katiba ya mzee warioba nawaaambia ikifika kwenye muungano ndo mtajua sura halisi ya mwalimu.Huu muungano ulikuwa kwa masirahi ya nani?

Yaani nchi ya watu Mill 60 sasa hivi inaongozwa na mkoa wenye watu laki mbili.Hakika viongozi wa kiroho mnapaswa kuona miaka 15 ijayo itakuwaje vinginevyo naona machafuko
Chukua nchi zote za kusini mwa Jangwa la Sahara, toa South Africa huko ambao wao walishaendelea chini ma makabulu, embu sasa linganisha Taifa lako na Mataifa yaliyobaki! Mnajiona ni tofauti? Kama Hapana kwanini? Nyerere alikuwepo huko?
 
Mwl Nyerere alipigania uhuru wa Tanganyika na kufanikiwa kumwondoa mkoloni.

Ajabu ni kwamba Mambo yote mabaya ya mkoloni alijirishisha yeye.

URais wa Mwl Nyerere na umalkia wa UK hauna tofauti,labda tofauti pekee ni mmoja alikuwa mweupe na mwingine mweusi.
 
Kuna nyakati watu mnatoa makala bila exposure na mnakuwa shallow kweli.

Kenya wakifuata ubepari, nenda Kenya na ishi nao kwa week moja tu. Nimefika Kenya na nimeishi kwa muda, Wakenya masikini wana hali ngumu kuliko masikini wa Tanzania.

Nimefika Zambia, Zambia wana maisha magumu sana kuliko Tanzania.

Nyerere kuna makosa alifanya, ila alijenga viwanda na kuviacha vikifanya kazi.

Nyerere kaacha kiwanda cha maziwa Utegi (UHT) milk processing plant, ilikuwa ni kubwa kuliko brookside ya Kenyatt

Nyerere kaacha viwanda vya nguo na ginnery za kuchataka pamba, na plant za kuzalisha mafuta ya kula ya pamba.

Nyerere kaacha fuel refinery plant kubwa, ambayo hata Kenya waliofuata ubepari hawakuwa nayo.

Mnapotoa hoja, ni vema walau comparative analysis yako iwe objective.
Otherwise, pamoja na Kenya kuiba mali nyingi za East Africa baada ya jumuiya ya EA kufa, bado aliweza kuanzisha shirika la ndege na kuacha ndege zikiwa operating.

Nyerere kaacha viwanda vinne vya sukari,
Mtibwa,
Kilombero
Moshi
Kagera vikiwa ni Mali ya umma, mpaka vikabinafsishwa.

Unapomlaumu Nyerere kusababisha umasikini, tungeona neema Kenya, Zambia, South Africa, Nigeria; hoja ya muandishi ingekuwa na mashiko.

Kilombero kilikuwepo kabla ya uhuru. Asilimia kubwa ya viwanda mnavyosema Nyerere alituachia vilikuwa vya watu binafsi baadaye Nyerere akataifisha. Na kama si vilitaifishwa, vilijengwa kwa msaada wa nchi zingine. Ni propaganda za CCM za kumfanya Nyerere mungu mtu ndiyo ziliwafanya wengi wasijue ukweli.
 
Inashangaza Mzanzibari anaruhusiwa kuwa Mbunge, Waziri, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, au Rais wa Tanganyika!

Halafu katika hali ya kushangaza na ya kustaajabisha, Mtanganyika haruhusiwi kwa namna yoyote ile kuwa Rais, au hata mbunge tu wa Zanzibar!! Nyerere huyu huyu akiwa na akili zake timamu, akaifanya CCM kuwa chama dola!! Matokeo yake ndiyo haya sasa; tuna policcm, tumeccm, tbccm, chawa wa kutosha, mataga, na kila aina ya takataka!

Ametumia fedha zetu nyingi kwenye kupigania uhuru wa Afrika huku kukiwa hakuna masharti/faida yoyote ile ambayo nchi ingenufaika baada ya kufanikisha hilo zoezi! Eti alifanya ili aonekane mmoja wa mashujaa wa Afrika! To me, hizi zilikuwa ni sifa tu za kijinga. Maana ilitakiwa kila nchi ipambane kivyake, na kwa jasho lake!

Hata kama marehemu hasemwi! Na nikiwa mmoja ya watu wanao mkubali sana kwa kuchukia ufisadi, rushwa, na ukabila! Ila tukubali katika haya madudu machache, huyu Mzee anastahili kabisa kuwajibika. Na kosa lake kubwa ni kutuletea ile sera yake ya uongo, mbovu, na ya kufikirika; ya Ujamaa na Kujitegemea.
 
Mwl Nyerere alipigania uhuru wa Tanganyika na kufanikiwa kumwondoa mkoloni.

Ajabu ni kwamba Mambo yote mabaya ya mkoloni alijirishisha yeye.

URais wa Mwl Nyerere na umalkia wa UK hauna tofauti,labda tofauti pekee ni mmoja alikuwa mweupe na mwingine mweusi.

Na usisahau mkoloni aliruhusu vyama vingi kwa mfano uchaguzi wa 1958-1959 lakini Nyerere alivyoingia madarakani aliminya demokrasia na upinzani wake akawafukuza wakina Kambona. Alitawala kama mfalme.
 
Mwl Nyerere alipigania uhuru wa Tanganyika na kufanikiwa kumwondoa mkoloni.

Ajabu ni kwamba Mambo yote mabaya ya mkoloni alijirishisha yeye.

URais wa Mwl Nyerere na umalkia wa UK hauna tofauti,labda tofauti pekee ni mmoja alikuwa mweupe na mwingine mweusi.
Kosa moja kubwa la kiufundi ni kung'atuka huku akiwa hajaibadili katiba ile inayotupatia mfalme badala ya Kiongozi wa kidemokrasia...Hilo kosa hadi huko aliko nadhani analijutia sana

La pili ni kuturithisha tabia ya kubebana pale mnapokuwa na huyo mtu mmoja mwenye mamlaka ya wengi, na kudhibiti wenye mawazo mbadala
 
Inashangaza Mzanzibari anaruhusiwa kuwa Mbunge, Waziri, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, au Rais wa Tanganyika!

Halafu katika hali ya kushangaza na ya kustaajabisha, Mtanganyika haruhusiwi kwa namna yoyote ile kuwa Rais, au hata mbunge tu wa Zanzibar!! Nyerere huyu huyu akiwa na akili zake timamu, akaifanya CCM kuwa chama dola!! Matokeo yake ndiyo haya sasa; tuna policcm, tumeccm, tbccm, chawa wa kutosha, mataga, na kila aina ya takataka!

Ametumia fedha zetu nyingi kwenye kupigania uhuru wa Afrika huku kukiwa hakuna masharti/faida yoyote ile ambayo nchi ingenufaika baada ya kufanikisha hilo zoezi! Eti alifanya ili aonekane mmoja wa mashujaa wa Afrika! To me, hizi zilikuwa ni sifa tu za kijinga. Maana ilitakiwa kila nchi ipambane kivyake, na kwa jasho lake!

Hata kama marehemu hasemwi! Na nikiwa mmoja ya watu wanao mkubali sana kwa kuchukia ufisadi, rushwa, na ukabila! Ila tukubali katika haya madudu machache, huyu Mzee anastahili kabisa kuwajibika. Na kosa lake kubwa ni kutuletea ile sera yake ya uongo, mbovu, na ya kufikirika; ya Ujamaa na Kujitegemea.
Huu ni moja ya upimbi wa kiwango cha SGR.Fikiria unaiua Tanganyika na kuizikilia mbali Zanzibar ipo pale pale.

Mzanzibar ni ruksa kuajiriwa Tanganyika.
Mzanzibar ni halali kumiliki ardhi Tanganyika
Mzanzibar ana haki ya kuchaguliwa nafasi ya udiwani,ubunge,uRais Tanganyika.

Huu ni ujinga ambao haujawahi kutokea tangu kumbwa kwa ulimwengu.

Mtanganyika kupewa hata ubalozi wa nyumba kumi ni kosa la jinai.
 
Kuna nyakati watu mnatoa makala bila exposure na mnakuwa shallow kweli.

Kenya wakifuata ubepari, nenda Kenya na ishi nao kwa week moja tu. Nimefika Kenya na nimeishi kwa muda, Wakenya masikini wana hali ngumu kuliko masikini wa Tanzania.

Nimefika Zambia, Zambia wana maisha magumu sana kuliko Tanzania.

Nyerere kuna makosa alifanya, ila alijenga viwanda na kuviacha vikifanya kazi.

Nyerere kaacha kiwanda cha maziwa Utegi (UHT) milk processing plant, ilikuwa ni kubwa kuliko brookside ya Kenyatt

Nyerere kaacha viwanda vya nguo na ginnery za kuchataka pamba, na plant za kuzalisha mafuta ya kula ya pamba.

Nyerere kaacha fuel refinery plant kubwa, ambayo hata Kenya waliofuata ubepari hawakuwa nayo.

Mnapotoa hoja, ni vema walau comparative analysis yako iwe objective.
Otherwise, pamoja na Kenya kuiba mali nyingi za East Africa baada ya jumuiya ya EA kufa, bado aliweza kuanzisha shirika la ndege na kuacha ndege zikiwa operating.

Nyerere kaacha viwanda vinne vya sukari,
Mtibwa,
Kilombero
Moshi
Kagera vikiwa ni Mali ya umma, mpaka vikabinafsishwa.

Unapomlaumu Nyerere kusababisha umasikini, tungeona neema Kenya, Zambia, South Africa, Nigeria; hoja ya muandishi ingekuwa na mashiko.
Viwanda alivyoachiwa na mkoloni , viwanda gani alijenga huyo nyerere wenu ,?
 
Nyerere namkubali kwa uzalendo wake kwa nchi yetu lakini alikosea kitu kimoja kwenye muungano kukubali kuwa mali ya Zanzibar ni ya zanzibar na ya tanganyika ni ya wote.mfano kunaununuzi wa meli za uvuvi NNE kwa pesa za Tanganyika lakini tunagawana mbili kwa mbili.yaani kitongoji kimoja kinataka kilingane mgawanyo na nchi yenye watu zaudi ya 60milion.Huu no muungano au tunatoa msaada
 
Kilombero kilikuwepo kabla ya uhuru. Asilimia kubwa ya viwanda mnavyosema Nyerere alituachia vilikuwa vya watu binafsi baadaye Nyerere akataifisha. Na kama si vilitaifishwa, vilijengwa kwa msaada wa nchi zingine. Ni propaganda za CCM za kumfanya Nyerere mungu mtu ndiyo ziliwafanya wengi wasijue ukweli.
Kuna mambo vijana hawafahamu kwa either kutokupata undani wa mambo.

Nyerere hakutaifisha mali ya mtu binafsi, Nyerere alitaifisha mali za Indians ambazo walipata mikopo toka serikalini (serikali wa wakoloni waangalizi) enzi ya Muingereza.

Indians walikuja kama wapagazi na technicians wa kujenga central line kumalizia kipande cha Tabora kwenda Mwanza. Baada ya Indians kumaliza kazi, walipewa uraia wa Uingereza na serikali iliyokuwa inakusa kodi kwenye ardhi ya Tanganyika ikawapa baadhi kufungua biashara na walitakiwa kurejesha mikopo. Wengi hawakurejesha.
Kutaifisha ilikuwa kisheria kama mkuu serikali kurejesha mali zilopatikana kwa fedha ya serikali ambayo hawakuwa wamerejesha. Ndio maana Indians hawakuweza kuishitaki serikali maana haikuwa imevunja sheria na hata waliokuwa wanaishi kwenye nyumba walizojenga kwa mikopo, nao walinyang'anywa ila wakapewa haki ya kuishi kwa kupangishiwa.
Nyerere alikuwa smart kuliko vijana wanavyodhani.

Ila tupeni scenario ya Kenya (Muingereza) nimefika Kenya na kuishi kwa muda kwenye makazi ya watu
Congo ya (Belgium)
Zambia (Muingereza) nimefika Zambia na kuishi kwa muda mfupi
Malawi (Muingereza)
Mozambique (Mreno)
Kama hali ya mataifa yaliyotunguka kiuchumi na hali ya maisha ya watu ingekuwa bora (good living standard) inge-justify Nyerere aliharibu.
Ila hao majirani wao wamechoka sana na wakiweza kupenya kuishi hapa hakuna anetamani kurejea kwao. Fika Iringa/Njombe kuna wakenya wengi wanafurahia fursa za huku kuliko msoto ambao upo Kenya.
Hamna la maana ambalo Jomo na Moi walifanya, au Kaunda alifanya, au Banda wa Malawi alifanya kuweza kum-outshine nyerere.

Ukiweza kufanya comparative analysis utaeleweka sana kuliko kukandia na kulaumu bila kuandika rejea unapokosoa au unaposifia.
 
Mpaka leo upinzani umekosa uti wa mgongo kabisa kwa sababu ya miongo mingi ya utawala wa chama kimoja.
Na usisahau mkoloni aliruhusu vyama vingi kwa mfano uchaguzi wa 1958-1959 lakini Nyerere alivyoingia madarakani aliminya demokrasia na upinzani wake akawafukuza wakina Kambona. Alitawala kama mfalme.
 
Back
Top Bottom