Nyerere alituuza na kuzalisha umasikini

Nyerere alituuza na kuzalisha umasikini

Kilombero kilikuwepo kabla ya uhuru. Asilimia kubwa ya viwanda mnavyosema Nyerere alituachia vilikuwa vya watu binafsi baadaye Nyerere akataifisha. Na kama si vilitaifishwa, vilijengwa kwa msaada wa nchi zingine. Ni propaganda za CCM za kumfanya Nyerere mungu mtu ndiyo ziliwafanya wengi wasijue ukweli.
Hivyo viwanda vilikuwa vya watu binafsi, sana sana wahindi na wazungu na vilikuwa vinazalisha vizuri tu kabla ya kutaifishwa
Nyerere akawapora hivyo viwanda na kuvifanya vya serikali, serikali ikashindwa kiviendesha vikafa, ndio Mkapa akajaribu tena kuvikabidhi kwa watu binafsi lakini ikawa too late
 
Na usisahau mkoloni aliruhusu vyama vingi kwa mfano uchaguzi wa 1958-1959 lakini Nyerere alivyoingia madarakani aliminya demokrasia na upinzani wake akawafukuza wakina Kambona. Alitawala kama mfalme.
Karume na Nyerere walikuwa worse kuliko wakoloni ila tunavyowaabudu sasa

Karume mwenyewe alipopindua serikali kule Zenj akafuta vyama vyote vya siasa na kusema hakuna uchaguzi, kitu ambacho hata mkoloni hakufanya
 
Karume na Nyerere walikuwa worse kuliko wakoloni ila tunavyowaabudu sasa

Karume mwenyewe alipopindua serikali kule Zenj akafuta vyama vyote vya siasa na kusema hakuna uchaguzi, kitu ambacho hata mkoloni hakufanya
Kwani, nani alikuambia kuwa mkoloni alikuwa mtu mbaya?
Mkoloni hakuwa mtu mbaya na Wala hakuwa na nia mbaya na ndio maana alifanya mambo mengi mazuri kwa muda mfupi na pia wanaendelea kutusaidia hadi leo.
Sababu, kubwa ya kudai huru ni kujitawala wenyewe na kupata manufaa mapana yaliyokuwa yanashikiliwa na wakoloni( Mfano: Elimu, afya, makazi, maeneo ya starehe, nafasi za kisiasa na kitaalamu).
 
Back
Top Bottom