Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

Mwandishi wa hii makala una upeo mdogo sana. Pole sana. Nakushauri utumie upeo finyu ilio nao katika kuwasaidia wazanzibari kufanya kazi na bidii katika elimu ili kuondokana na umasikini walionao badala ya kusukuma lawama zote kwa Mzee wetu ambaye tunamjua na kumuheshimu.
 
Nani alikulazisha kusoma??
Wewe ndiye mtu ambaye unaweka kichwa katika mchanga na matako yanabaki nje. Mimi in Nyerere,ukiandika kuhusu Nyerere ninayo sababu ya kusoma. Matatizo ya Pemba,Mwigulu Nchemba amesema Jana alipokuwa Pemba:no wanasiasa wanawachochea wananchi wapenda a man I.
Kulipokuwa hakuna Muungano ilipotokea vutumaa balaa kule,Karume na Thabit Kombo wakapanda jahazi kuja Dar kushitakikwa Mwalimu. Nani aliwalazimisha kuja? Nakupa historia,from the horse's mouth. Thabit Kombo ameelezea uhasama ulikuwepo kati ya Waarabu na Waafrika Unguja. Inakuwajeje huyu mtu ameibuka na thesis kwamba ugomvi na Waarabu kule umechochewa na Nyerere.
Wakibaki wenyewe watapatana vipi? Watawaza tu:"Yule mtu ndiye aliwaua wazazi wangu katika Mapinduzi"
 


Hebu tulia uandike ufahamike , wewe tunakujua vizuri , tukiyaanika hayo ya mtoto wa nyerere utapata ugonjwa wa moyo na picha tunazo.

Matatizo ya Zanzibar yameletwa na kanisa katoliki huku likimtumia huyo nyerere .Kanisa katoliki bado linaendelea kuitesa Zanzibar kama mnavyoambiwa muulinde kwanjia zote muungano kwa vile ameuleta Mungu.

Kwa taarifa yako hebu msome Kardinali Pengo anaongea kitu gani???

Hakuna ugomvi wowote kati ya Unguja na Pemba .

Wapemba wengi wameowa na kuolewa na watu wa unguja .

Kama Nyerere anavipenda visiwa vya unguja na Pemba angaliingiza dhahabu na almasi kwenye muungano na asingaliyaingiza mafuta ya Znz kwenye muungano kinyemela.
 
Wewe unatokea visiwani?
 
SIri ya kudumisha amani,kama wanavyosema Unguja ni kwamba usikubali kuchokozeka. Kama unafahamu mtu anayeongea anayeongea na wewe amekunywa viroba,usikasirike. Kama unafahamu mtu amekunywa viroba jana au atakunywa viroba leo usiku.kwa mini ukubali kuchokozwa na huyo? Wanaleta udini mahali ambapo haihusiki. Race War imetokea. Zanzibar Revolution ilikuwa Race War. Karume alipelekwa mahakamani NA British Colonists. Wakamuuliza"Unajua zile fujo ulizoanzisha walikufa Waarabu 75?" Karume akajibu"Ulitaka wafe nani? Ulitaka wafe Waafrika 75?"
 
Hizo ss ni chuki binafsi au alikuchukulia mke nin


Mwenye chuki ni huyu


Jumatatu, 2 Mei 2016

Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu



Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.

Kardinali Pengo anasema ni jambo la kushangaza jinsi Mungu anavyotenda mambo yake kwa wanadamu kwani alileta Imani Katoliki kupitia Zanzibar na kwamba baada ya Uhuru Mungu aliwapatia neema watu wake wa pande mbili za Zanzibar na Tanganyika kuungana na kuwa kitu kimoja.

Anasema wakati Kanisa likijiandaa kwa adhimisho la Jubilei ya miaka 150 ya uwepo wa Kanisa Katoliki katika eneo la Afrika Mashariki ifikapo 2018 Zanzibar haiwezi kuwekwa pembeni.
 



Anayeleta udini ni huyu na kanisa lake

Jumatatu, 2 Mei 2016
Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu



Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.

Kardinali Pengo anasema ni jambo la kushangaza jinsi Mungu anavyotenda mambo yake kwa wanadamu kwani alileta Imani Katoliki kupitia Zanzibar na kwamba baada ya Uhuru Mungu aliwapatia neema watu wake wa pande mbili za Zanzibar na Tanganyika kuungana na kuwa kitu kimoja.

Anasema wakati Kanisa likijiandaa kwa adhimisho la Jubilei ya miaka 150 ya uwepo wa Kanisa Katoliki katika eneo la Afrika Mashariki ifikapo 2018 Zanzibar haiwezi kuwekwa pembeni.
 
Kama mafia ni bara utajua mwenyewe, suka au nyoa

tupitie baadhi ya facts badala ya kubishana tu na kupiga ngonjera zisizo na maana.

1. muungano wa nchi yoyote ukahusisha kisiwa au visiwa ni lazima utakuwa na changamoto nyingi na matatizo sana. hata taifa kubwa kama china wameshindwa kuidhibiti taiwani. maridhiano na maelewano yasiyotumia nguvu ndio mbadala mzuri.

truth and reconciliation ni muhimu sana kwa zanzibar ...watu wana madonda na majeraha ya miaka mingi sana. si rahisi kuyatibia kwa kufunika kombe au kutumia mabavu.

watu wengi wa visiwani ni wakarimu sana . mfano wabara au watanganyika wengi hawajawahi kufika pemba . mimi nimefika mara kadhaa na inasikitisha sana kuona tofauti kubwa ya unguja na pemba. pemba wapo nyuma kimaendeleo na ustawi wa jamii ingawa wao ni wazalishaji zaidi ,kwa mazao ya chakula na biashara.

2. visiwa vina landmarks zake za asili ...natural landmarks ...na nadharia inasema hivyo, watu wa visiwa watakuwa na utaifa zaidi au patriotism zaidi....

3. zanzibar ina historia kubwa zaidi na ni maarufu duniani kuliko Tanganyika au Tanzania.

nitaendelea
 


Umeongea kistaarabu , nakuheshimu

Ukweli ni kuwa watu wa bara na visiwani wana maingiliano makubwa sana kabla hata huu uitwao muungano.

Siasa za uwindakumili za Nyerere kwa utashi wake wa kidini ndio unaojaribu kuvuruga huu muungano ambao si wa kisiasa.

Kikwete alikuja na suluhisho la kudumu la ku-solve hizi tofauti na migongano lakini kutokana na pressure za akina Lukuvi na genge lake haikuwezekana na akalazimika kufanya yaliyofanyika kuongeza chumvi kwenye kidonda.

hali tuliyofika inaeleweka . Bara na visiwani hatujui tunakoelekea
 



CRUSADE AFTER INDEPENDENCE



It was not until recently when the study of Islam in East Africa has attracted much attention of contemporary scholars. But most of them neglect the Crusades against Islam in East Africa, and Zanzibar in particular. It is neglected because such a religious conflict seems to belong to the Middle East, despite the Crusade against Islam is ecumenical imperative in any Muslim country, including Zanzibar. In case of the Catholic Crusade in Zanzibar, Nyerere worked hand in glove with Oscar Kambona, his close confidante and schoolmate at the Edinburgh University, where in 1910, the Second World Conference of Churches (WCC) discussed the threat to Islam in East Africa. It was unanimously agreed that an African Christian is better (for leadership) than an African Muslim. Every sort of assistance was therefore given to Nyerere in order to combat Islam in East Africa after the demise of the British Colonialism.

When Tanganyika gained its independence in 1961, Jomo Kenyatta of Kenya, Milton Obote of Uganda and Julius Nyerere of Tanganyika had a Summit Meeting at Nairobi on June 5, 1963. In this conspiracy of the Christian leaders, Zanzibar was neither represented nor mentioned in this Summit. These leaders unanimously pledged their selfish regional Declaration under the spirit of Pan-Africanism:


We (Nyerere, Obote and Kenyatta), the leaders of the people and Governments of East Africa (i.e. Tanganyika, Uganda and Kenya)...pledge ourselves to the political federation of East Africa and we are prompted by the spirit of Pan-Africanism, and not by mere selfish regional interests. (p. 1).



When Zanzibar gained independence on December 10, 1963 from the British government, it became a member of the Commonwealth nations. It joined the United Nations on December 16, 1963 and was represented by Hilal bin Muhammed bin Hilal. But when the new Zanzibar Government declared to form the model of the Islamic State, it was orchestrated by Afro-Christian Crusaders as reincarnation of Arabisation and revivalism of Islamization. They invaded Zanzibar in the midnight of January 11, 1964 under the self-appointed "Field Mashal" John Okello, a militant Christian from Uganda. The objective of the Zanzibar revolution was a Crusade against Islam as Okello stated in his book entitled Revolution in Zanzibar that God appointed him to make revolution for the sake of Christianity. He then quoted the following Biblical passage for his justifications:


Go now, you rich men, weep and howl for your miseries that shall come upon you! Your riches are corrupted, and your garments are moth-eaten. Your gold and silver is cankered, and rust of them shall be a witness against you, and shall eat your flesh as if were fire. You have reaped down your fields in cries of them which have reaped are entered into ears of the Lord of Sabbath. You have lived in pleasure on the earth and been wanton. You have nourished your hearts as in a day of slaughter. You have not, you kill and desire to have and cant obtain fight and war, yet you have not asked, and receive not, because you ask amiss, that you consume it upon your lusts (James 5:1-6).


Okello also said that his "Freedom Fighters" came from Tanganyika, Kenya, Uganda, Rhodesia (Zimbabwe), Nyasaland (Malawi) and Mozambique. They killed 13,635 Muslims and 21,462 were detained. He failed to tell us that his Zaznibar Revolution under the auspices of Nyerere, reminiscent of the Spanish Inquisition which led to the last stronghold of the Muslim State in Spain. On January 11, 1964 Okello commanded the Crusaders that all Arabs (Muslims) between the age of 18 and 55 must be killed. In the next day, the Muslim holocaust began when Okello said in the Radio Zanzibar the following:


I am Fidel Marshal! Okello! You imperialists, there is no longer an imperialist government on this Island. This is now the government of the Freedom Fighters. Wake up you black men. Let everyone of you take a gun and ammunition and start to fight against any remnants of imperialism in this islands. (p. 143).


In the same morning, Okello issued an ultimatum to Jamshid bin Abdullah bin Khalifah bin Haroub (1963-1964), the Zanzibar Sultan: "You are allowed twenty minutes to kill your children and wives and then kill yourself." (p. 145) but he escaped through Mombasa, Kenya. The mainland Africans' support to overthrow the Zanzibar Government was due to the fact that the Crusaders had a large number of modern arms from Kenya and or Tanganyika from where 600 Crusaders invaded Zanzibar Keith Kyle, a British correspondent for East Africa in his articles in the Spectator of entitled "Gideon's (Okello) Voices" (February 7, 1964) and "How it Happened" (February 14, 1964) said that "certain (Christian) members of the Tanganyika Government were involved in Revolution" (Crusade) of Zanzibar.

It is known that the holocaust was so horrendous that 100 Muslims were baked to death in tanuri (the copra-kiln) at Bambi. Following the Muslims holocaust, Abeid Karume (1905-1972), born in Nyasaland (now Malawi) became the President of the People's Republic of Zanzibar. Karume secretly collaborated with the former Tanganyikan President Nyerere, an Islamophobic for the merger of Zanzibar and Tanganyika. Similar situation took place in Mindanao, an Islamic State founded by Sultan Sayyid bin Abu Bakr al-Hadhramy over 400 years before the ascendancy of the Roman Catholic Church in the Philippines and Tanganyika.
 





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…