Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

Makala hii ya Ahmed Rajab Mzanzibari Mzalendo ilitoka kitambo kiasi cha kuwa historia, lakini kukumbushanda ni wajibu kwa mtu mwenye kusikia. Lakini katika makala hiyo kuna chumvi mwandishi ilio mponyoka kidogo.
1."Mfano mzuri ni Sheikh Msellem ambaye mbali na kuwa gwiji wa tafsiri ya Qur’an pia alisomea taaluma ya hali ya hewa" Msellem hakusomea wala si mtaalamu wa Hali ya hewa ila anafanya kazi Mamlaka ya Hali ya Hewa
2."viongozi wa Uamsho ni wasomi waliohitimu masomo ya chuo kikuu na wana shahada za juu za uzamili katika fani mbalimbali kama vile za uhandisi, sayansi na jiografia. Ni wasomi wa nyanja zote" Lakini amesahau kusema kuwa pia kuna wachunga Punda waliobobea.
You talking like fool, nani punda hapa
 
Baadhi ya wandishi ukiwemo wewe ni kanjanja wazee wa kucopy na kupest
 
Sikiliza, usitake kubadilisha mada. Nimekuwekea kauli za Nyerere kukuonyesha kuwa Rajaabu kama walivyo wznz wengine unafiki ni utamaduni.

Nyerere hakusema Pemba na Unguja peke yake, alisema Tanganyika pia

Alikuwa anatoa maoni yake, sasa kama wznz hawaafikiani naye hilo si tatizo, kosa ni pale wanaposhindwa kumaliza tofauti zao za asili, wanaposhindwa kuwa wamoja na kutafuta mtu wa kumsingizia ambaye ni Nyerere

Nyerere akitajwa wao husema 'Laanatullah' laana ya mwenyezi iwe naye.

Na mungu huyo huyo kawadhihiri kwa unafiki, ningependa kusikia akitajwa Shenyy, Kikwe na Jechaa nao nisikie ''Laanatullah''

Sijasikia mahali, na nadhani ni mwendelezo ule ule wa unafiki.

Katika kuficha unafiki wa znz na wznz wanamtafuta Nyerere alipo.

Uchaguzi umevurugwa na wznz wenyewe, Nyerere alifariki miaka 15 iliyopita

Kama wznz hawataacha unafiki, inabidi wajitazame wakijilaani halafu wakimaliza wamlaani Nyerere.

Kwasasa Nyerere is pristine and rest in peace the great leader of our times

Na mwisho, mimi simsikilizi Ilunga! wewe endelea kumsikiliza


Kumbe hukumsikiliza Ilunga hata sentensi moja . Kama ulimsikiliza usingalikuja na haya uliyoyaandika.

Nimekuletea clip ya maneno ya Nyerere namna alivyokuwa mfitinishaji hukuisikiliza




Nakuwekea clip ya ilunga tena wataisikiliza wanaotafuta ukweli , lakini wabishi kama wewe endelea kukata mbuga








Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC". Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.
 
Gavana kwanza nishukuru mjadala wa Nyerere kama ulivyoandikwa na Rajaaab nimeuweka sawa
Hakuna chochote alichosema kuhusu znz pekee, amesema na Tanganyika.

Kilichofanyika ilikuwa kukata sehemu ili kumbambikia ubaya. Na kosa hilo umelirudia katika video ya Nyerere kwa sekunde chache. Hotuba hiyo naijua, Nyerere alikuwa anazungumza hali na kusema malalamiko yatapelekea baadhi ya watu kusema 'tumechoka na znz na uislam'

Ndiyo maana umekata kasehemu au umechukua kasehemu ka sekunde chache.

Ukitaka kujua jinsi gani uwezo wako wa kutafakuri unahitaji kunolewa na pale unapomsikiliza Ilunga.
Huwa simsikiliza lakini kwavile umeomba nimsikilize nimefanya hivyo.

Kwanini nakuambia usisikilize habari za Ilunga, katika video anasema Salim Amour alianzisha suala la OIC na kuita Dodoma na kuambiwa alifute. Rejea suala la OIC uone akina nani walikuwa viongozi wa JMT na ZNZ

Leo wznz wanaosema Nyerere lanatullah wanakukumbatia muungano kwa nguvu zote. Tumewaona Dodoma bunge la katiba, tumewaona Majuzi n.k.

Wapo wanakuja Dodoma, wanachukua kila senti wanaoyopewa kutoka nchi ya Nyerere!
Te te teh

Unafiki umezungumzwa katika vitabu vya dini.
Ni jambo baya sana. Unafiki na wanafiki wamesemwa~! bi utamaduni pia wa wenzetu
 
Gavana kwanza nishukuru mjadala wa Nyerere kama ulivyoandikwa na Rajaaab nimeuweka sawa
Hakuna chochote alichosema kuhusu znz pekee, amesema na Tanganyika.

Kilichofanyika ilikuwa kukata sehemu ili kumbambikia ubaya. Na kosa hilo umelirudia katika video ya Nyerere kwa sekunde chache. Hotuba hiyo naijua, Nyerere alikuwa anazungumza hali na kusema malalamiko yatapelekea baadhi ya watu kusema 'tumechoka na znz na uislam'

Ndiyo maana umekata kasehemu au umechukua kasehemu ka sekunde chache.

Ukitaka kujua jinsi gani uwezo wako wa kutafakuri unahitaji kunolewa na pale unapomsikiliza Ilunga.
Huwa simsikiliza lakini kwavile umeomba nimsikilize nimefanya hivyo.

Kwanini nakuambia usisikilize habari za Ilunga, katika video anasema Salim Amour alianzisha suala la OIC na kuita Dodoma na kuambiwa alifute. Rejea suala la OIC uone akina nani walikuwa viongozi wa JMT na ZNZ

Leo wznz wanaosema Nyerere lanatullah wanakukumbatia muungano kwa nguvu zote. Tumewaona Dodoma bunge la katiba, tumewaona Majuzi n.k.

Wapo wanakuja Dodoma, wanachukua kila senti wanaoyopewa kutoka nchi ya Nyerere!
Te te teh

Unafiki umezungumzwa katika vitabu vya dini.
Ni jambo baya sana. Unafiki na wanafiki wamesemwa~! bi utamaduni pia wa wenzetu


Unahangaika bure na masuali ambayo Ilunga ameyAjibu yote kwenye ile clip niliyokuwekea .

Wewe unaniambia huwezi kumuangalia , sasa maneno haya yametoka wapiiiiiiii?????

Kwanini nakuambia usisikilize habari za Ilunga, katika video anasema Salim Amour alianzisha suala la OIC na kuita Dodoma na kuambiwa alifute. Rejea suala la OIC uone akina nani walikuwa viongozi wa JMT na ZNZ


HIVI WEWE NI PROFESSOR KAMA LIPUMBA ???? UMECHANGANYIKIWA ??? AU NAWE UMEANZA KULALA OFISINI ???
 
Unahangaika bure na masuali ambayo Ilunga ameyAjibu yote kwenye ile clip niliyokuwekea .

Wewe unaniambia huwezi kumuangalia , sasa maneno haya yametoka wapiiiiiiii?????

Kwanini nakuambia usisikilize habari za Ilunga, katika video anasema Salim Amour alianzisha suala la OIC na kuita Dodoma na kuambiwa alifute. Rejea suala la OIC uone akina nani walikuwa viongozi wa JMT na ZNZ


HIVI WEWE NI PROFESSOR KAMA LIPUMBA ???? UMECHANGANYIKIWA ??? AU NAWE UMEANZA KULALA OFISINI ???
Mjadala wa Nyerere kufitinisha wznz tumeumaliza. Video ya Nyerere imewekwa, kila neno limesikika.

Huu ndio unafiki tunaosema. Mjadala umefungwa rasmi mada haina mashiko isipokuwa kwa walioamua kutoelewa na wanafiki wanaochanganisha watu kwa kumbambikizia Nyerere maneno kama mnafiki aliyeandika mada.

Sasa zinaafutwa video za sekunde ili kuhalalisha uongo! Debunked

Hayo ya Ilunga nakuachia wewe!
 
Mjadala wa Nyerere kufitinisha wznz tumeumaliza. Video ya Nyerere imewekwa, kila neno limesikika.

Huu ndio unafiki tunaosema. Mjadala umefungwa rasmi mada haina mashiko isipokuwa kwa walioamua kutoelewa na wanafiki wanaochanganisha watu kwa kumbambikizia Nyerere maneno kama mnafiki aliyeandika mada.

Sasa zinaafutwa video za sekunde ili kuhalalisha uongo! Debunked

Hayo ya Ilunga nakuachia wewe!


THAT IS YOUR CHOICE

UNAJARIBU KUKIMBIA KI STYLE BAADA YA KUKUSHTUKIZIA KUWA UMEIANGALIA CLIP YA ILUNGA LAKINI UKWELI UMEKUCHANGANYA , UMEGEUKA PROFESSOR

ENDELEA KUMUABUDU SAINT WAKO NYERERE
 
Mkuu unataka kusema kwamba muungano ulikuwa ni wa lazima na siyo hiyari kati ya wale viongozi wetu wawili?
 
Unaweza kumpenda na kuandika utakavyo maana hakuna lilokuathiri katika familia yako. Kwa hao wanaohangaika kwa zaidi ya miaka 50 ,walioteswa , kuuliwa, kunajisiwa, kuchukuliwa kwa nguvu mali zao , kunyimwa haki zao , kuhama nchi yao waipendayo , Nyerere anabaki ni Mfitini mkuu
Ni lini watz na wazanzibar mtaacha kutafuta mchawi na wa kumtupia lawama!? Zanzibar shida yenu ipo ndani yenu na nyie wenyewe ndio mtaitatua. Na fyi Watanganyika hatuihitaji Zanzibar saana. Mwanzoni mlidhani nyie mna mafuta na mkatumia hayo kama njia ya ktenga na kusema mafuta sio sehemu ya Muungano na ilipo gundulika kua Bara ndio kuna Mafuta na Gesi ñyiingi kuliko zenji mkakaa Kimnya. The glory days za Zanzibar are gone for good. Biashara zilizo iinua Zanzibar kwa sasa haziwezi tena kuiinua. Biashara za Utumwa, Pembe za faru na meno ya tembo sio Biashara halali tena. Na Zanzubar kua lango kuu ĺa meli zote zaiingiazo East Africa itabakia kua historia tu. Kwa sasa ni nyie kujipanga na kuangalia namna ya kujikwamua kwakua hata mafuta hayaña thamani yaliyo kua nayo miaka mitano iliyopita.
 
THAT IS YOUR CHOICE

UNAJARIBU KUKIMBIA KI STYLE BAADA YA KUKUSHTUKIZIA KUWA UMEIANGALIA CLIP YA ILUNGA LAKINI UKWELI UMEKUCHANGANYA , UMEGEUKA PROFESSOR

ENDELEA KUMUABUDU SAINT WAKO NYERERE
Article uliyoleta tume 'debunk' Nyerere hakufanya fitna kama wanavyosema. Clip ya pili tume debunk, huwezi kutuwekea sekunde 10 tukafikia hitimisho

Baada ya ku debunk tumeeleza matatizo ya unafiki wa wznz hayaletwi na Nyerere
Katiba waliyoandika 2010 wanaifumua wenyewe, Nyerere kapumzika kaburini.
Wakimaliza wanamtafuta Nyerere kama mbaya wao

Matatizo ya znz hayakuanza baada ya muungano. Yalianza miaka mingi na mwaka 1957 unajieleza
Abdurahman Babu siku ya uhuru alizungumza maneno, leo tunajua yalimaanisha nini

Wakati wanamlaani Nyerere na muungano, wameshindwa kuwalaani wenzao waliokwenda Dodoma katika bunge la katiba na kuipiga chini rasimu waliyotaka wao

Na unafiki ni pale wanaposema 'wanataka muungano lakini...'

Watanganyika wanasema hivi, itisheni kura ya maoni kama mnavyoruhusiwa na katiba yenu na mlivyofanya 2010 na Juzi kutafuta muafaka wa hatma yenu. Mkiona hamtaki muungano, safari njema

Unafiki wa wznz usihusishwe na Nyerere, ubaki kama unafiki na wanafiki tu
 
Mwenye chuki ni huyu mlaanifu wako , Laanatullah


Teh teheeeee....! Hiyo tape ninayo yote. Naona umeamua kufanya editing ili uweze kuendeleza nia ovu uliyo nayo! Endelea tu mzee, lakini hila zako hazitafanikiwa!
 
Teh teheeeee....! Hiyo tape ninayo yote. Naona umeamua kufanya editing ili uweze kuendeleza nia ovu uliyo nayo! Endelea tu mzee, lakini hila zako hazitafanikiwa!


Si ndio umeileta kwa kicheko
 
Article uliyoleta tume 'debunk' Nyerere hakufanya fitna kama wanavyosema. Clip ya pili tume debunk, huwezi kutuwekea sekunde 10 tukafikia hitimisho

Baada ya ku debunk tumeeleza matatizo ya unafiki wa wznz hayaletwi na Nyerere
Katiba waliyoandika 2010 wanaifumua wenyewe, Nyerere kapumzika kaburini.
Wakimaliza wanamtafuta Nyerere kama mbaya wao

Matatizo ya znz hayakuanza baada ya muungano. Yalianza miaka mingi na mwaka 1957 unajieleza
Abdurahman Babu siku ya uhuru alizungumza maneno, leo tunajua yalimaanisha nini

Wakati wanamlaani Nyerere na muungano, wameshindwa kuwalaani wenzao waliokwenda Dodoma katika bunge la katiba na kuipiga chini rasimu waliyotaka wao

Na unafiki ni pale wanaposema 'wanataka muungano lakini...'

Watanganyika wanasema hivi, itisheni kura ya maoni kama mnavyoruhusiwa na katiba yenu na mlivyofanya 2010 na Juzi kutafuta muafaka wa hatma yenu. Mkiona hamtaki muungano, safari njema

Unafiki wa wznz usihusishwe na Nyerere, ubaki kama unafiki na wanafiki tu

Hizo sababu zako zote amezidebunk Ilunga, na wewe unajifanya kumkimbia,

Nyerere alikuwa anaendeleza kazi aliyopewa na kanisa ya kufitini. Zanzibar ilikuwepo tokea kabla ya huo muungano na hakuna mahali tulisikia fitna hiyo ya uunguja na upemba

kwa anayetafuta ukweli amsikilize Ilunga kaanika kila kitu


 
Mbona ile ya Sheikh Ilunga aliyedai kuwa akamatwe Kasisi mmoja aning'inizwe mtaroni hujaileta? Au kwa kuwa ni wa dini yako?


Tunamzungumza Nyerere , usichanganyikiwe, au ulitaka nikuwekee clip zote za Ilunga ???
 
zanzibar kwanza fitina baadae
Nasikia mnadai kwamba hata Kisiwa cha Mafia ni cha Zanzibar! Mmeshashtukia hako kanchi hakatoshi mnataka mkaongezee kidogo? Huyu Sheikh Ilunga naye ni mchokozi sana, eti anadai "Zanzibar ni Mkoa!" Angekuwa sio "mwenzetu" pangekuwa hapatoshi kwa kweli!
 
Tunamzungumza Nyerere , usichanganyikiwe, au ulitaka nikuwekee clip zote za Ilunga ???
Wewe mwenyewe umeleta clip ya Sheikh ILUNGA, kama hutaki tumuongelee mbona unaleta clip zake hapa? Mbona unamtetea sana, huku ukijua kwamba alikuwa anahamashisha Makasisi wauawe?
 
...katika watu wanaonekana weh* ni wale wanamponda nyerere kwa udini,mpaka leo nchi haijawahi kuwa na vita vya kidini kwa sababu ya umoja tangu uhuru....mnaoleta uchonganishi wa kidini mungu anawaona!!
 
Back
Top Bottom