Gavana kwanza nishukuru mjadala wa Nyerere kama ulivyoandikwa na Rajaaab nimeuweka sawa
Hakuna chochote alichosema kuhusu znz pekee, amesema na Tanganyika.
Kilichofanyika ilikuwa kukata sehemu ili kumbambikia ubaya. Na kosa hilo umelirudia katika video ya Nyerere kwa sekunde chache. Hotuba hiyo naijua, Nyerere alikuwa anazungumza hali na kusema malalamiko yatapelekea baadhi ya watu kusema 'tumechoka na znz na uislam'
Ndiyo maana umekata kasehemu au umechukua kasehemu ka sekunde chache.
Ukitaka kujua jinsi gani uwezo wako wa kutafakuri unahitaji kunolewa na pale unapomsikiliza Ilunga.
Huwa simsikiliza lakini kwavile umeomba nimsikilize nimefanya hivyo.
Kwanini nakuambia usisikilize habari za Ilunga, katika video anasema Salim Amour alianzisha suala la OIC na kuita Dodoma na kuambiwa alifute. Rejea suala la OIC uone akina nani walikuwa viongozi wa JMT na ZNZ
Leo wznz wanaosema Nyerere lanatullah wanakukumbatia muungano kwa nguvu zote. Tumewaona Dodoma bunge la katiba, tumewaona Majuzi n.k.
Wapo wanakuja Dodoma, wanachukua kila senti wanaoyopewa kutoka nchi ya Nyerere!
Te te teh
Unafiki umezungumzwa katika vitabu vya dini.
Ni jambo baya sana. Unafiki na wanafiki wamesemwa~! bi utamaduni pia wa wenzetu