Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

Hatujiiti kama mtanganyika anavyoitwa japo mumefanywa mlikatae jina lakini haliondoki
Kama tumelikataa wewe inakuuma nini? Mbona "Jamhuri ya Watu wa Zanzibar" haipo tena na tunasikia kuna "Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar?" Hayo mabadiliko kwako sio issue ila issue ni "Utanganyika" tu ndio unaokuuma?
 
Historia ni historia, iwe ya Kanisa au ya Msikiti! Kinachosumbua akili yako ni kwamba unataka uone Mtu wa DINI uliyopo wewe akiwa pale Magogoni tu basi, whether anaperform au anasafiri nje ya nchi kuliko anavyoenda kumtembelea mama yake kijijini na kusababisha ufisadi au la, wewe hilo halikusumbui! Wengine wakikalia kiti pale unaona hawafai simply kwa hawana imani kama ya kwako!


hujajibu hoja wala swali

Hizo historia za kanisa na nyerere wenu kaziongelee kanisani .

Watu wanateswa kwa mfumo wake dubwana lenu na wanaendelea kuteseka hata tanganyika.

Hujamsikia Tundu lissu kaona kitu gani rumande??
 
Kama tumelikataa wewe inakuuma nini? Mbona "Jamhuri ya Watu wa Zanzibar" haipo tena na tunasikia kuna "Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar?" Hayo mabadiliko kwako sio issue ila issue ni "Utanganyika" tu ndio unaokuuma?


Zanzibar ipo na itakuwepo kwa uweza wake Mungu ingawa kijisiwa kidogo, hakiwapi usingizi watanganyika na zaidi kanisa .

Watu zaidi ya milioni 40 , hamwezi kujiendesha mpaka mkikimbatie kisiwa cha watu milioni 1 na nusu ???
 
Mbona mtume fulani kaua watu wengi sana katika dunia hii wewe husikitiki? Au kwa kuwa alikuwa anapigana kwa "njia ya mungu fulani?"


Aliyeuwa watu wengi ni yule aitwaye mungu aliyezaliwa na mwanamke.

japo unatafuta kuchukua funguo unifungie, ukweli nitakuambia

Wafuasi wake wamewaweka mpaka binadamu wenzao kwenye ma-zoo pamoja na wanyama
 
Andiko lako linataka haswa kutuambia nini ulichokikusudia? Issue inaonekana ni kujeruhiwa kwako na Mwalimu enzi hizo. Je, andiko lako halina uhusiano na mateso hayo uliyoyapitia? Ni vipi unajitenga na masimulizi yenye kutawaliwa na mateso yako na hisia hasi kwa Mwalimu ama za kupandikiziwa ama zitokanazo na mateso hayo?

Hakuna utawala usioacha madonda kwa watu fulani fulani. Kama ilikutokea ilipaswa iwe hivyo. Achana na maandiko ya kibaguzi baguzi. Nchi itajengwa kwa mawazo endelevu na si mawazo ya visasi visasi na chuki. Roho huyu mtaka fujo ashindwe na akalegee kwelikweli juu yako.

Waswahili wamesema , Mzigo wa mwenzako kwako ni kanda la usufi
 
hujajibu hoja wala swali

Hizo historia za kanisa na nyerere wenu kaziongelee kanisani .

Watu wanateswa kwa mfumo wake dubwana lenu na wanaendelea kuteseka hata tanganyika.

Hujamsikia Tundu lissu kaona kitu gani rumande??
Kama hutaki kusikia Historia ya Nyerere si ungenyamaza kimya usitaje hata jina lake? Watu hawateswi na mfumo bali wanateswa na inferiority complex! Na kwa staili hii mtateseka sana!
 
Aliyeuwa watu wengi ni yule aitwaye mungu aliyezaliwa na mwanamke.

japo unatafuta kuchukua funguo unifungie, ukweli nitakuambia

Wafuasi wake wamewaweka mpaka binadamu wenzao kwenye ma-zoo pamoja na wanyama

Zanzibar ipo na itakuwepo kwa uweza wake Mungu ingawa kijisiwa kidogo, hakiwapi usingizi watanganyika na zaidi kanisa .

Watu zaidi ya milioni 40 , hamwezi kujiendesha mpaka mkikimbatie kisiwa cha watu milioni 1 na nusu ???
Zanzibar ni miongoni mwa "mikoa" ya Tanzania, sasa kuna ajabu gani kuilinda? By the way, tunapotaja watu milioni 40 tunajumuisha na wenzetu milioni 1!
 
Zanzibar ni miongoni mwa "mikoa" ya Tanzania, sasa kuna ajabu gani kuilinda? By the way, tunapotaja watu milioni 40 tunajumuisha na wenzetu milioni 1!
Vile hujamsahau Rais Makonda wa mkoa wa Dsm akiwa na bendera yake na katiba yake na pia hutiliana mkataba na mikopo na nchi za nje??
 
Kama hutaki kusikia Historia ya Nyerere si ungenyamaza kimya usitaje hata jina lake? Watu hawateswi na mfumo bali wanateswa na inferiority complex! Na kwa staili hii mtateseka sana!
mbona unaumia kutajwa Mlaanifu wako. Si liambie kanisa lako limpe u saint apate kustarehe huko aliko
I
 
mbona unaumia kutajwa Mlaanifu wako. Si liambie kanisa lako limpe u saint apate kustarehe huko aliko
I
Kwa kuwa sio wa dini yako ndio maana inakuuma! Utakufa siku si zako na chuki zilizokujaa kifuani mwako!
 
Miongoni mwa aliyowahi kuyasema Nyerere ni kuwa ati iwapo Zanzibar itaachana na Tanganyika basi Tanganyika kutakuwa shuwari lakini Wazanzibari wataanza kubaguana baina ya Wapemba na Waunguja na halafu wataendelea kutafutana asili zao..

Ukitaka kujua ''unafiki wa wa wazanzibar'' soma habari hiyo kisha sikiliza hotuba hii

Kumbuka hii makala imeandikwa na mtu tunayemjua kutoka London na siyo Gavana

Nyerere aliongelea pande zote, znz na Tanganyika

Mwandishi amechukua sehemu tu na kuifanya ndiyo hotuba ili Nyerere aonekane anawafitini wznz. Kachukua kasehemu ili kutengeneza kesi dhidi ya Nyerere

Mwandishi alifanya hivyo akiwajua wznz, na anawapata kila siku
Anafahamu uwezo wao na wapi pa kuwalaghai.

Kitu kimoja ambacho hatusikii kutoka kwa kiongozi yoyote wa ZNZ iwe chama tawala au upinzani ni neno 'vunja muungano'.

Hata mwandishi hajawahi kuandika makala ya namna hiyo.
Wote siku zote wanataka muungano, nyuma ya pazia wanazungumza kinafiki

Walikuwa na fursa Dodoma, kwa unafiki wakakataa, leo wanalaani muungano

Mwaka 2010 wakandika katiba, hakuna aliyethubutu kusema hataki muungano.
Kusema znz ni nchi haitoshi, nchi ina sifa zake.

Nyerere si tatizo, tatizo ni wznz na mambo ya kinafiki wakimsingizia Nyerere
 
Ukitaka kujua ''unafiki wa wa wazanzibar'' soma habari hiyo kisha sikiliza hotuba hii

Kumbuka hii makala imeandikwa na mtu tunayemjua kutoka London na siyo Gavana

Nyerere aliongelea pande zote, znz na Tanganyika

Mwandishi amechukua sehemu tu na kuifanya ndiyo hotuba ili Nyerere aonekane anawafitini wznz. Kachukua kasehemu ili kutengeneza kesi dhidi ya Nyerere

Mwandishi alifanya hivyo akiwajua wznz, na anawapata kila siku
Anafahamu uwezo wao na wapi pa kuwalaghai.

Kitu kimoja ambacho hatusikii kutoka kwa kiongozi yoyote wa ZNZ iwe chama tawala au upinzani ni neno 'vunja muungano'.

Hata mwandishi hajawahi kuandika makala ya namna hiyo.
Wote siku zote wanataka muungano, nyuma ya pazia wanazungumza kinafiki

Walikuwa na fursa Dodoma, kwa unafiki wakakataa, leo wanalaani muungano

Mwaka 2010 wakandika katiba, hakuna aliyethubutu kusema hataki muungano.
Kusema znz ni nchi haitoshi, nchi ina sifa zake.

Nyerere si tatizo, tatizo ni wznz na mambo ya kinafiki wakimsingizia Nyerere






Nyerere alisahau kuwa Zanzibar haikuanza baada ya uvamizi wake 1964 .

hivi Kabla ya 1964 kulikuwa hakuna Unguja na Pemba ???

Msikilize huyu Sheikh Ilunga kaongea kila kitu


 
Kuna jambo moja tu linalobeba ujumbe wa Post zako zote, ni UDINI tu! Hayo mengine ni kujazia tu!



udini unao wewe kwani huishi kuwafungia waislamu kwa sababu za kipumbavu tu. Wakristo wenzako hata wakitukana matusi ya nguoni unazitoa post zao


zawadi yako hii


 
Kwa kuwa sio wa dini yako ndio maana inakuuma! Utakufa siku si zako na chuki zilizokujaa kifuani mwako!




Mwenye chuki ni huyu mlaanifu wako , Laanatullah

 
Nyerere alisahau kuwa Zanzibar haikuanza baada ya uvamizi wake 1964 .

hivi Kabla ya 1964 kulikuwa hakuna Unguja na Pemba ???

Msikilize huyu Sheikh Ilunga kaongea kila kitu


Sikiliza, usitake kubadilisha mada. Nimekuwekea kauli za Nyerere kukuonyesha kuwa Rajaabu kama walivyo wznz wengine unafiki ni utamaduni.

Nyerere hakusema Pemba na Unguja peke yake, alisema Tanganyika pia

Alikuwa anatoa maoni yake, sasa kama wznz hawaafikiani naye hilo si tatizo, kosa ni pale wanaposhindwa kumaliza tofauti zao za asili, wanaposhindwa kuwa wamoja na kutafuta mtu wa kumsingizia ambaye ni Nyerere

Nyerere akitajwa wao husema 'Laanatullah' laana ya mwenyezi iwe naye.

Na mungu huyo huyo kawadhihiri kwa unafiki, ningependa kusikia akitajwa Shenyy, Kikwe na Jechaa nao nisikie ''Laanatullah''

Sijasikia mahali, na nadhani ni mwendelezo ule ule wa unafiki.

Katika kuficha unafiki wa znz na wznz wanamtafuta Nyerere alipo.

Uchaguzi umevurugwa na wznz wenyewe, Nyerere alifariki miaka 15 iliyopita

Kama wznz hawataacha unafiki, inabidi wajitazame wakijilaani halafu wakimaliza wamlaani Nyerere.

Kwasasa Nyerere is pristine and rest in peace the great leader of our times

Na mwisho, mimi simsikilizi Ilunga! wewe endelea kumsikiliza
 
Mbona unapotosha.?
Mwalimu Alisema Atakayeanza kujitoa kati ya Tanganyika Na Zanzibar hatobaki salama
 
Back
Top Bottom