Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

mngemiacha tu mzee wa watu wapumzike kwa Amani...
 
Unateswa na "inferiority complex!"


If wishes were horses, everybody could ride on!


Inferiority complex kwa wewe ambaye hujapata machungu ya hili dubwana. Wenzio kuna wazee wetu wameuliwa, wamenajisiwa wameikimbia nchi na wengine wanasota magerezani.wengine mpaka mali zao zimechukuliwa, mpaka watani wao umekwapuliwa na Laanatullahi huyu
 
Inferiority complex kwa wewe ambaye hujapata machungu ya hili dubwana. Wenzio kuna wazee wetu wameuliwa, wamenajisiwa wameikimbia nchi na wengine wanasota magerezani.wengine mpaka mali zao zimechukuliwa, mpaka watani wao umekwapuliwa na Laanatullahi huyu
Katika Historia ya mwanadamu hakuna ambaye hajawahi kupata machungu. Tukianza na wazee wetu walichukuliwa utumwani na waarabu na kuteswa vibaya, Wazungu wametutawala, n.k. Sasa tukifungwa na hizo Historia itatusaidia nini? After all mapinduzi matukufu ya Zanzibar yalifanywa na Wazanzibari wenyewe, lakini inaonesha kama vile wenye mawazo potofu kama ya kwako ni kwamba Nyerere alikuwa na mkono katika Mapinduzi hayo! Kama mtaendelea kuwa na mawazo kama hayo nawapeni pole sana!
 
Kwa sababu yake , kumbe huyu unamwona ndiye mungu wako ??? Laanatullah
Ni binadamu lakini ukweli ndio huo, mnajiita "Wazanzibari" kwa sababu ya Muungano! Endeleeni kufumba macho na kumlaumu Nyerere kwa kila jambo lisipowaendea vizuri!
 
Ni binadamu lakini ukweli ndio huo, mnajiita "Wazanzibari" kwa sababu ya Muungano! Endeleeni kufumba macho na kumlaumu Nyerere kwa kila jambo lisipowaendea vizuri!

Hatujiiti kama mtanganyika anavyoitwa japo mumefanywa mlikatae jina lakini haliondoki
 
Katika Historia ya mwanadamu hakuna ambaye hajawahi kupata machungu. Tukianza na wazee wetu walichukuliwa utumwani na waarabu na kuteswa vibaya, Wazungu wametutawala, n.k. Sasa tukifungwa na hizo Historia itatusaidia nini? After all mapinduzi matukufu ya Zanzibar yalifanywa na Wazanzibari wenyewe, lakini inaonesha kama vile wenye mawazo potofu kama ya kwako ni kwamba Nyerere alikuwa na mkono katika Mapinduzi hayo! Kama mtaendelea kuwa na mawazo kama hayo nawapeni pole sana!

Hizo historia za kanisa na nyerere wenu kaziongelee kanisani .watu wanateswa kwa mfumo wake dubwana lenu na wanaendelea kuteseka hata tanganyika.Hujamsikia Tundu lissu kaona kitu gani rumande??
 
Ndugu kwako ww kwa hii copy uliyocopy iliyoandikwa wakati wa kikwete naona inamshutumu mwasisi wetu kuwa ni mkandamizaji na mfitini hayo, naona umeipenda na kuamua kuipost Nyerere hakuwa hivyo hata kidogo.
Kitu kingine nilichogundua kwenye hii post ni kwamba, mwandishi ni mtu wa visiwani na hapendi Muungano na ni mfitini na mdhandiki.
Mwandishi wa hiyo post anaona kama Zanzibar haina uhuru wa kuamua mambo yake,
Ongea kingine lakini kuhusu Nyerere Nyamaza ww mwana wa kizazi cha nyoka.
 
Ndugu kwako ww kwa hii copy uliyocopy iliyoandikwa wakati wa kikwete naona inamshutumu mwasisi wetu kuwa ni mkandamizaji na mfitini hayo, naona umeipenda na kuamua kuipost Nyerere hakuwa hivyo hata kidogo.
Kitu kingine nilichogundua kwenye hii post ni kwamba, mwandishi ni mtu wa visiwani na hapendi Muungano na ni mfitini na mdhandiki.
Mwandishi wa hiyo post anaona kama Zanzibar haina uhuru wa kuamua mambo yake,
Ongea kingine lakini kuhusu Nyerere Nyamaza ww mwana wa kizazi cha nyoka.


Pole sana wewe mtoto wa pengo .Umesoma kwenye maskani ni nani Nyerere.??? Pole sana . Watu wamefungwa kwa kukutwa na dola 5 tu za kimarekani mfukoni. Mbeya watu wakibadilisha dhahabu kwa chumvi. Huko jela ndiyo usiseme .
 
Ww gavana naona unataka kueneza itikadi za ajabu kwa watanzania kama watu walifungwa kawafunguwe co kuja na post za ajabu ajabu hapa kama unachukia kilichofanywa na nyerere kunywa sumu ili usahau kabisa hv bado unakuwa na visasi vya ajabu hafu unasema mwanadini gana biblia au kitabu chako unachokiamin cha dini yako ndio kinakufundisha hvyo hebu hacha mambo ya kizaman tena tunakuonyo maswala ya kutuenezea habari za kutugawa hatutaki kama unashindwa kuandika vtu vya maana kaa kmya

Hv unavyolete mambo uzanzibar unafikilia kunamtu anakusuport kama mnataka kujitenga jitengeni tu haba mwezimungu hangekuwa wa visasi cdhan ungekuwa hapo ss hv
 
Katika Historia ya mwanadamu hakuna ambaye hajawahi kupata machungu. Tukianza na wazee wetu walichukuliwa utumwani na waarabu na kuteswa vibaya, Wazungu wametutawala, n.k. Sasa tukifungwa na hizo Historia itatusaidia nini? After all mapinduzi matukufu ya Zanzibar yalifanywa na Wazanzibari wenyewe, lakini inaonesha kama vile wenye mawazo potofu kama ya kwako ni kwamba Nyerere alikuwa na mkono katika Mapinduzi hayo! Kama mtaendelea kuwa na mawazo kama hayo nawapeni pole sana!


Walichukuliwa utumwani na waarabu , ni kweli kama ulivyosema wazungu wakristo , waliwatawala hivi kwenye picha

African-girl-in-human-zoo-e1392748580716.jpg



Deep Racism: The Forgotten History Of Human Zoos

Human-Zoo-or-Negro-Village-e1392751461282.jpg





Ota Benga at Bronx Zoo
 
Andiko lako linataka haswa kutuambia nini ulichokikusudia? Issue inaonekana ni kujeruhiwa kwako na Mwalimu enzi hizo. Je, andiko lako halina uhusiano na mateso hayo uliyoyapitia? Ni vipi unajitenga na masimulizi yenye kutawaliwa na mateso yako na hisia hasi kwa Mwalimu ama za kupandikiziwa ama zitokanazo na mateso hayo?

Hakuna utawala usioacha madonda kwa watu fulani fulani. Kama ilikutokea ilipaswa iwe hivyo. Achana na maandiko ya kibaguzi baguzi. Nchi itajengwa kwa mawazo endelevu na si mawazo ya visasi visasi na chuki. Roho huyu mtaka fujo ashindwe na akalegee kwelikweli juu yako.
 
Walichukuliwa utumwani na waarabu , ni kweli kama ulivyosema wazungu wakristo , waliwatawala hivi kwenye picha

African-girl-in-human-zoo-e1392748580716.jpg



Deep Racism: The Forgotten History Of Human Zoos

Human-Zoo-or-Negro-Village-e1392751461282.jpg





Ota Benga at Bronx Zoo

Mbona mtume fulani kaua watu wengi sana katika dunia hii wewe husikitiki? Au kwa kuwa alikuwa anapigana kwa "njia ya mungu fulani?"
 
Pole sana wewe mtoto wa pengo .Umesoma kwenye maskani ni nani Nyerere.??? Pole sana . Watu wamefungwa kwa kukutwa na dola 5 tu za kimarekani mfukoni. Mbeya watu wakibadilisha dhahabu kwa chumvi. Huko jela ndiyo usiseme .
Huyu aliyesababisha ufisadi wa kufa mtu awamu ya nne mbona humsemi? Au kwa kuwa ni wa upande mwingine?
 
Mimi si mzanzibar lakini sikubaliani na hayo unayoyasema eti wanajiita wazanzibar kwa sababu ya muungano
Hata Wazanzibari wenyewe mbona wanakubali hilo? Ni wewe tu ufahamu wako uko short sighted!
 
Hizo historia za kanisa na nyerere wenu kaziongelee kanisani .watu wanateswa kwa mfumo wake dubwana lenu na wanaendelea kuteseka hata tanganyika.Hujamsikia Tundu lissu kaona kitu gani rumande??
Historia ni historia, iwe ya Kanisa au ya Msikiti! Kinachosumbua akili yako ni kwamba unataka uone Mtu wa DINI uliyopo wewe akiwa pale Magogoni tu basi, whether anaperform au anasafiri nje ya nchi kuliko anavyoenda kumtembelea mama yake kijijini na kusababisha ufisadi au la, wewe hilo halikusumbui! Wengine wakikalia kiti pale unaona hawafai simply kwa hawana imani kama ya kwako!
 
Back
Top Bottom