munkango
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 406
- 740
Mradi ulitakiwa kukamilika Nov. 2019 na Des. 2019 tulitakiwa kwenda Moro toka Dar kwa treni ya umeme. Kwa sasa hata tambo hamna na haijulikani ni mpaka lini. Kama kasi itakuwa hivi inaweza kufika 2025 ikiwa bado
Hivi si walisema kufikia September 2020 tungekuwa tunapanda treni ya SGR kwenda Morogoro?