Nyerere tutakukumbuka na kuenzi kila kitu isipokuwa CCM!


We bibie ukianzisha bendi ya taarabu utaimudu vizuri sana. Kipaji unacho. Hongera sana kwa kujaaliwa hicho kipaji. Ni ushauri tu......
 
Halafu eti wasomali ni wengi Kenya kwa vile hizi nchi zimepakana,hivi Somalia haipakani na nchi nyingine zaidi ya Kenya huyu demu haeleweki.
 
Humu kuna great thinkers kweli na wamehusha nondo hasa ingawa kuna harufu ya udini pia!
 
Halafu eti wasomali ni wengi Kenya kwa vile hizi nchi zimepakana,hivi Somalia haipakani na nchi nyingine zaidi ya Kenya huyu demu haeleweki.
Siyo kupakana tu ila kuna mikoa ni wasomali watupu na wala hawajahamia kama vile Mandera, Wajir, Isiolo, Garissa na Ijara. hivyo hapo wabunge, madiwani na hata mchimba mtaro ni msomali.

 
Hapana
Amezaliwa Butiama, lakini wakati akija Dar alikuwa akitokea Edinburg University Uingereza (UK) baada ya kuhitimu shahada ya uzamili (Masters degree).
Kwa hiyo Nyerere tunayemjadili hapa ni Mzanaki au Mzungu?
 
Nirekebishe nini mkuu, Nyerere kwa mara ya kwanza kukanyaga Dar ilikuwa mwaka 1952 akitokea Tabora.
 
Nirekebishe nini mkuu, Nyerere kwa mara ya kwanza kukanyaga Dar ilikuwa mwaka 1952 akitokea Tabora.

Huoni umemerekebisha?? mwanzo uliandika alikuja akitokea Butiama, sasa hivi umesema alikuja akitokea Tabora. .
 
Kwani mtoa mada kasema kimeletwa na Nyerere? Au amesema tutamkumbuka kwa mengi ikiwamo kiswahili? Kubali au ukatae Nyerere anao mchango wake hasa kisera kwenye kukifanya kiswahili kutumika kama lugha rasmi Tanzania

Kwani kabla ya Nyerere kilikuwa hakitumiki rasmi? ni nani alikudanganya, nilikuwepo kabla ya Uhuru na ndiyo lugha ikitumika Tanganyika.
 
We bibie ukianzisha bendi ya taarabu utaimudu vizuri sana. Kipaji unacho. Hongera sana kwa kujaaliwa hicho kipaji. Ni ushauri tu......



Punguza kashfa! Hapo Mkuu FaizaFoxy amekupa hoja nzito...nakhis huna uwezo wa kumjibu kwayo,au!?

Hii iwe fundisho/somo kwa wale wafia Unyerere wangine woote wasio na hoja zenye mantik!

Wakiongozwa na yule garasa lao kuu!...yaani yule kilaza ajiitae ati Mwanakijiji! Daah!

Huo ushauri wako baki nao tu, au kampe yule msukule wa Kihehe aka Yericko Nyerere!

Ahsanta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…