nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,408
- 2,196
Teh teh teh!!! msome tena hapa chini kiduchu.
Hakuna aliyekataa kuwa alikuwa siyo msomi hawa wazee walikuwa waungwana sana pamoja nyie kuwatukana kuwakejeli lakini angalia alivyokuwa wanaishi na hawa wazee, wala hawa wazee walikuwa hawaitaji sifa walikuwa wanaishi nae kama kijana wao tu, haya maneno Nyerere kayesama mwaka 1985 wakati wengi hawa wazee walikuwa wameishatangulia mbele ya haki, sasa hizi falsafa unazotuambia alikuwa anamwabia nani.
Tatizo lako Ritz unataka ushinde kila kitu hata kwa kuchakachua ni jadi yako sikulaamu ni msimamo wenu haya mkuu najiandaa kuingia kwenye malumbano ya hoja.