Mnafki huyo! na ikumbukwe tayari too late to catch the train na anajua ...mwl. Nyerere aliwambia watz wakikosa uongozi bora ccm watautafta nje ya ccm na watz wengi washaanza kuutafuta nje ya ccm na kurudi nyuma hapana, sababu ni moja tu haya mabadiliko wanayosema CCM hayana lengo la kutusaidia sisi watanzania bali yana lengo la wao kuendelea kututawala na kuendeleza umangi meza wao, kulindana na kujilimbikizia mali, tumeshawastukia hatudanganyiki tena! Washatudanganya sana kwa muda mrefu