Nyie kuna uhuni nimewanyia 1xbet sasa najuta naomba msaada

Nyie kuna uhuni nimewanyia 1xbet sasa najuta naomba msaada

Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Kwanza hujazingatia vigezo na masharti kwa kufanya sivyo ndivyo

Pili kama kweli umekiuka masharti na vigezo hutaweza kutoa hizo hela ukizingatia kwamba 1xbet haijasajiliwa kutoa huduma Tz

Mwisho, unataka tu upewe namna ya kutoa lakini wewe hutaki kutoa connection ya ulivyo fanya

Kwa ninavyojua mimi so far hakuna namna unaweza kupata kiurahisi tobo la kuwapiga mahela ya maana bookies kiujanja ujanja ........ I stand to be corrected
 
Maelezo yako bado hayajanyooka. Iyo hela unayotaka kuitoa umepiga kihalali au kijanja janja? Kama umeipiga kijanja ulitutakiwa kuitoa fasta halafu usitumie tena app yako ila kama washakushtukia ipotezee tu, kama umepiga kihalali ifatilie kwenye ofisi zao.
 
Kwanza hujazingatia vigezo na masharti kwa kufanya sivyo ndivyo

Pili kama kweli umekiuka masharti na vigezo hutaweza kutoa hizo hela

Mwisho, unataka tu upewe namna ya kutoa lakini wewe hutaki kutoa connection ya ulivyo fanya

Kwa ninavyojua mimi so far hakuna namna unaweza kupata kiurahisi tobo la kuwapiga mahela ya maana bookies kiujanja ujanja ........ I stand to be corrected
Kamba hii hamna kitu hapa ..kwa ninavyowajua 1xbet hawapigwi kizembe
 
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisa

Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Nicheck nikusaidie mboka kazi simple tu iyo
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Nicheck nikusaidie mbona kazi simple tu iyo
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Nicheck nikusaidie mbona kazi simple tu iyo
 
Nicheck nikusaidie mboka kazi simple tu iyo

Nicheck nikusaidie mbona kazi simple tu iyo

Nicheck nikusaidie mbona kazi simple tu iyo
nimeshatoaga
ASANTE mkuu.
 
Yani hiyo njiaa ya kulaa hela kiurahisiii tupe maujanja hapa ufundishwe namna ya kutoa
 
Back
Top Bottom