Aisee, mbona kanji analiwa kila leo na hajasanuka?mkuu utafungiwa account yako.
Labda tunatofautiana levels.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, mbona kanji analiwa kila leo na hajasanuka?mkuu utafungiwa account yako.
Ya mtaji?nina 200K nitakupa ya mtaji serious nicheki whatsapp namba 0625283642
Wanapigika. Ila usiwe na tamaa ya hela kubwa ya pamoja.kuna bomu namuandalia baada ya hili kufeli
Kwanza hujazingatia vigezo na masharti kwa kufanya sivyo ndivyoWakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...
Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane
Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc
Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Na wewe ukawapige au sioTuambie kwanza hilo tobo huko xbet
Kamba hii hamna kitu hapa ..kwa ninavyowajua 1xbet hawapigwi kizembeKwanza hujazingatia vigezo na masharti kwa kufanya sivyo ndivyo
Pili kama kweli umekiuka masharti na vigezo hutaweza kutoa hizo hela
Mwisho, unataka tu upewe namna ya kutoa lakini wewe hutaki kutoa connection ya ulivyo fanya
Kwa ninavyojua mimi so far hakuna namna unaweza kupata kiurahisi tobo la kuwapiga mahela ya maana bookies kiujanja ujanja ........ I stand to be corrected
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...
Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane
Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc
Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisa
Nicheck nikusaidie mboka kazi simple tu iyoWakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...
Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane
Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc
Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Nicheck nikusaidie mbona kazi simple tu iyoWakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...
Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane
Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc
Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Nicheck nikusaidie mbona kazi simple tu iyoWakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...
Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane
Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc
Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Tuelekeze ulifanyaje huo uhuni na sisi tukafanyenimeshatoaga
ASANTE mkuu.