DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
- Thread starter
- #21
Fursa gani utafanya bila mtaji au unataka kusema kuchoma mahidi ndo fursaUmasikini hauondolewi kwa kukaa darasani tu.
Umasikini ni upeo Mdogo kuhusu kuona fursa katika mazingira yako na kuzigeuza kuwa pesa.
Wabongo ni watu wa ajabu Sana