Nyie mnaonaje kuhusu hili

Nyie mnaonaje kuhusu hili

Pole sana ana tabia zote za wanaume mashortiii gubu za kipuuzi na uchoyo cha kufanya jikatae mdogomdogo

Nb; wanajuaga sana kukamua hao watu lkn tabia zao kijamii zinaleta chefuo
 
Kweli ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu

ninavyokuona mjanja humu kumbe kuna kidume kimekugeuza
'demu wa kupita njia'..

yaani jamaa anazumgumza akitaka sex tu na bado hujamuelewa anavyokuchukulia?
na hataki mjulikane?

The truth huyo jamaa anapenda tu mwili wako but hakupendi na anaona
aibu kuwa na wewe hadharani.....na hana future na wewe...
but sex ni tamu naona so anaenda na wewe kihivyohivyo....

wewe ndo bado hujui unatumika......pole sana
 
Kweli ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu

ninavyokuona mjanja humu kumbe kuna kidume kimekugeuza
'demu wa kupita njia'..

yaani jamaa anazumgumza akitaka sex tu na bado hujamuelewa anavyokuchukulia?
na hataki mjulikane?

The truth huyo jamaa anapenda tu mwili wako but hakupendi na anaona
aibu kuwa na wewe hadharani.....na hana future na wewe...
but sex ni tamu naona so anaenda na wewe kihivyohivyo....

wewe ndo bado hujui unatumika......pole sana
Its hard to tell mana kuna mda naona ananipenda tu na hajaonesha dalili za kucheat...
But again maybe am blinded kwa kumpenda idk
 
Haya mambo huwa cwez toa ushauri lakin leo ngoja ni jaribu kwan mlianza kama frends 4benefit au manake mchizi kila saa yupo offside usishangae mpira umeisha na wwe huna pamoja kushika
 
Hii ID ndo wewe au picha tu?
Ukitoa jibu nitapata cha kukushauri.
 
Its hard to tell mana kuna mda naona ananipenda tu na hajaonesha dalili za kucheat...
But again maybe am blinded kwa kumpenda idk

Kutoku cheat haina maana anakupenda
ha cheat kwa sababu anaowataka pengine watam cost pesa na pesa hana
kwako anapata sex free na kumsaidia unamsaidia...

wewe anakuona 'sio wife material' ndo maana hataki watu wakujue
anakuchukulia 'kicheche fulani'...but hawezi kukuonesha sababu
he needs sex unayompa for now..
nahisi utakuwa na sexy body...but kuna tabia hivi zinamfanya awe anakufanya
'mzigo wake wa kimyakimya'...sio wife mtarajiwa
 
Kutoku cheat haina maana anakupenda
ha cheat kwa sababu anaowataka pengine watam cost pesa na pesa hana
kwako anapata sex free na kumsaidia unamsaidia...

wewe anakuona 'sio wife material' ndo maana hataki watu wakujue
anakuchukulia 'kicheche fulani'...but hawezi kukuonesha sababu
he needs sex unayompa for now..
nahisi utakuwa na sexy body...but kuna tabia hivi zinamfanya awe anakufanya
'mzigo wake wa kimyakimya'...sio wife mtarajiwa
I got you...thanks
 
Back
Top Bottom