Nyie mnaonaje kuhusu hili

Nyie mnaonaje kuhusu hili

Ukishakuwa na wasiwasi na mtu sepa fasta.
 
Toka siku zote izo mnazini tu lakini hujamsoma mzinzi mwenzako kuna shida shida kidogo hapo, ushauri wakati anaficha hisia zake kwako na wewe usijiingize tu kichwa kichwa nawewe ficha zako,
Panapohitaji faraja we chukulia utani flani, akiwa kwenye shida ya pesa mwambie mbona ww wa kishua ivo unaniombaje tena mtoto wa mlala hoi aaf pozea flani ivi,
Hizo njia zikishindika njoo kwangu kabsa tupange mbinu mpya kwa pamoja.
 
Mambo zenu humu ndani,jamani yamenifika hapaaaa naomba ushauri wenu.
Huyu mwanaume wangu nimeanza kudate nae mwaka jana mwezi wa nne.
Katika kipindi hicho hadi sasa nimegundua yafuatayo:

[emoji117]aliniambia hapendi mtu yoyote ajue about us(am very okay with that mana hata mimi kwa kiasi fulani sipendi, ila sio kwamba ndo niweke nguvu zangu kwenye kufanya mahusiano haya yawe siri....ikitokea mtu akagundua sio kesi kwangu mimi)...ila ye kwa upande flani anakua kama hapendi(though hakasiriki)

[emoji117]anasema me wa kishua so hana haja ya kunipa msaada wa fedha..(kila siku hua namwambia me sio wa kishua but anajitoa ufahamu anang'ang'ania msimamo wake...hata hivyo sijawahi kumwomba hela hata siku moja...sijui anajihami idk)

[emoji117]idk but me namwona kama selfish...anaweza akalalamika shida me nkamsaidia but me nkiwa na shida simwoni hata kunifariji(anadai ye sio mwongeaji sana)...ni kweli ila sitaki kuamini mtu anashindwa hata kutoa maneno ya faraja kwa mpenzi wake et kisa sio mwongeaji

[emoji117]anadai hajui kubembeleza...so kama anataka ufanye kitu fulan akakataa anakuacha...sometimes kitu kinahitaji at least aniconvince but ndo hivo its like anasusa idk

[emoji117]hajawahi kuongelea about our future na akiongelea jua ni about sex tu

[emoji117]ana tabia ya visasi

Sometimes naona ananipenda but nkifikiria hivyo vitu nakua nadoubt idk maybe am just being paranoid

Sijawahi mwona ana dalili zozote za kucheat ila sina uhakika asilimia zote

Sitaki kumjudge vibaya so guys mawazo yenu ni muhimu than you can imagine.
Umeamua kuleta huku sawa tutaona
 
By the way huyo jamaa simlaumu sema wew itakuwa wakishua kiasi flani ndo maana jamaa anakuita hivyo... Piaa jamaa aliamini kuwa na wew hatapata maumivu ya Vizingaa japo naee hata Kujiongeza hajuiii... Kingine ukiona mtu anajitahidi kufanya mahusiano yenu yawe ya siri sana jua Ana mtuu anaempendaa sana sana kuliko wew na hataki ajuee... so piga moyo kondee na usiseme sijui hacheat... Dada hujatujuaa Wanaumee nadhaniii... HUJATUJUAAAAA BADOOOO...
 
-KWA KIGEZO CHA KUA WA KISHUA,yeye atakua hajiamini kwa kuhisi atakupa shiling ngapi hadi ulizike ,lakini hii kwa mwanume hatakiwi kuwaza hivyo,kwa maana mwanamke hata angekua tajiri ,ukimpa hata kazawadi kadogo analizika.

KWA KIGEZO CHA KUSHINDWA KUKUPA USHAURI KWENYE SHIDA.
hapa ndipo kwenye tatizo kubwa kwa watu wanao/waliosoma no wasiosoma,inawezekana kwa kujiona wewe ni msomi labda kuliko yeye ,kila akitaka kukushauri wewe unazalau ushauli wake,au unaonyesha alichosema tayari ushakijua.hii inamfanya akose kijiamini zaidi na kujiona yeye hana anachojua zaidi yako.

JIFUNZE KUMSIKILIZA HATAKAMA ANACHIKUSHAULI TAYA UNAKIJUA ZAIDI YAKE.

-KITU CHA ZIADA KWAKO:-kama huyo jamaa elimu yake ni ndogo kabisa,basi hii itamfanya akose kujiamini zaidi maana hata wewe kwa sababu utajiona msomi utaogopa kumtambulisha kwa malafiki zako kua ,anaelimu gani,anafanyakazi wapi.kwa kigezo hiki hata yeye atakua kwenye mapenzi na wewe mguu nje mguu ndani, anajua kuna sikumoja nitaachwa tu.

Maana hatahivyo sifa zenu wasichana wa vyuo hamuaminiki.
 
Mambo zenu humu ndani,jamani yamenifika hapaaaa naomba ushauri wenu.
Huyu mwanaume wangu nimeanza kudate nae mwaka jana mwezi wa nne.
Katika kipindi hicho hadi sasa nimegundua yafuatayo:

[emoji117]aliniambia hapendi mtu yoyote ajue about us(am very okay with that mana hata mimi kwa kiasi fulani sipendi, ila sio kwamba ndo niweke nguvu zangu kwenye kufanya mahusiano haya yawe siri....ikitokea mtu akagundua sio kesi kwangu mimi)...ila ye kwa upande flani anakua kama hapendi(though hakasiriki)

[emoji117]anasema me wa kishua so hana haja ya kunipa msaada wa fedha..(kila siku hua namwambia me sio wa kishua but anajitoa ufahamu anang'ang'ania msimamo wake...hata hivyo sijawahi kumwomba hela hata siku moja...sijui anajihami idk)

[emoji117]idk but me namwona kama selfish...anaweza akalalamika shida me nkamsaidia but me nkiwa na shida simwoni hata kunifariji(anadai ye sio mwongeaji sana)...ni kweli ila sitaki kuamini mtu anashindwa hata kutoa maneno ya faraja kwa mpenzi wake et kisa sio mwongeaji

[emoji117]anadai hajui kubembeleza...so kama anataka ufanye kitu fulan akakataa anakuacha...sometimes kitu kinahitaji at least aniconvince but ndo hivo its like anasusa idk

[emoji117]hajawahi kuongelea about our future na akiongelea jua ni about sex tu

[emoji117]ana tabia ya visasi

Sometimes naona ananipenda but nkifikiria hivyo vitu nakua nadoubt idk maybe am just being paranoid

Sijawahi mwona ana dalili zozote za kucheat ila sina uhakika asilimia zote

Sitaki kumjudge vibaya so guys mawazo yenu ni muhimu than you can imagine.
mwanamke ana asilimia 10 ila kwa mwanume ni 90 lakini mwanaume anaweza kubadilishwa hata kuongozwa ndani ya mapenzi na asilimia zake 90.ikiwa utasimama kama mpenzi bora katika misimamo ya kumuongoza.
tatizo wadada wasiku hizi sijui tokea mmezaliwa mnakuwa hamfundi na mashangazi zenu hata mama zenu jinsi ya kujua wewe ni nani kwa mwanaume.mpaka msubili ndoa muanze kicheni part.
ukifanya hivi mbona hata badilika kwa mda mfupi.
hayo ni mawazo yangu
 
Sawa...kwa mfano nifanyeje
Mpotezee sometimes, usiwasiliane nae kwa mda,be busy na ishu zako,ongea/date na wanaume wengine (not sex),go out wt the girls... Inshort wekeza zaidi ktk maendeleo yako kuliko mahusiano kwa sasa...usijiongeze, Don't make plans with him,acha aanzishe yeye,be laid back and watch how he manages his 50% of the relationship
 
The secret to keeping the fire alive in a relationship is being on and off.... Japo hapo kati mambo ni mengi...and it works kama wote mnapendana and want to stay together
 
Kwa uliyoeelezea hapo juu huyo mwanaume hakupendi, kwanini mtu yoyote asijue labda kama nyie ni wanafunzi otherwise ana mtu so anaogopa yasije mfikia.

Kuhusu hela sio mbaya san asipokupa ila kama mtu wako inapendeza siku moja moja akupe ingawa si lazima sana.

Upo kwake kwa ajili ya sex kwanini aongelee mambo ndoa, stuka.

Kwa kifupi hana mapenzi na wewe,jiongeze.
acha kumuongopea mwenzio...hyo kakutana na mtu anatabia za ajabu tu
 
Nakushauri umfatilie kwa ukaribu kwa nini hapendi watu wajue mahusiano yenu. ukishajua hilo tuh. haya mengine hayatakusumbua
 
Anamsoma toka mwaka jana mwezi wa nne? Anamtumia tu dada wa watu.
sorry,,,, hivi kwanini mnapenda kusema " anamtumia"!!..kwani msichana ni mashine useme inatumiwa kufyeka majani.....hajambaka,,,katongozwa amekubali....wanaburudisha na mahaba yao......kikubwa na cha kuelewa....bila kuziweka kwa pamoja fikra zenu....ndo haya unayoacoments hapa......muulize abt future in serious way,,,,uliza kwa kumaanisha....kama hamna majibu mwambie ukweli,,,,,ila muda ni muhimu kuzingatia.....angalau si chini ya 2yrs......jitunze msichana,,,,,
 
Mambo zenu humu ndani,jamani yamenifika hapaaaa naomba ushauri wenu.
Huyu mwanaume wangu nimeanza kudate nae mwaka jana mwezi wa nne.
Katika kipindi hicho hadi sasa nimegundua yafuatayo:

[emoji117]aliniambia hapendi mtu yoyote ajue about us(am very okay with that mana hata mimi kwa kiasi fulani sipendi, ila sio kwamba ndo niweke nguvu zangu kwenye kufanya mahusiano haya yawe siri....ikitokea mtu akagundua sio kesi kwangu mimi)...ila ye kwa upande flani anakua kama hapendi(though hakasiriki)

[emoji117]anasema me wa kishua so hana haja ya kunipa msaada wa fedha..(kila siku hua namwambia me sio wa kishua but anajitoa ufahamu anang'ang'ania msimamo wake...hata hivyo sijawahi kumwomba hela hata siku moja...sijui anajihami idk)

[emoji117]idk but me namwona kama selfish...anaweza akalalamika shida me nkamsaidia but me nkiwa na shida simwoni hata kunifariji(anadai ye sio mwongeaji sana)...ni kweli ila sitaki kuamini mtu anashindwa hata kutoa maneno ya faraja kwa mpenzi wake et kisa sio mwongeaji

[emoji117]anadai hajui kubembeleza...so kama anataka ufanye kitu fulan akakataa anakuacha...sometimes kitu kinahitaji at least aniconvince but ndo hivo its like anasusa idk

[emoji117]hajawahi kuongelea about our future na akiongelea jua ni about sex tu

[emoji117]ana tabia ya visasi

Sometimes naona ananipenda but nkifikiria hivyo vitu nakua nadoubt idk maybe am just being paranoid

Sijawahi mwona ana dalili zozote za kucheat ila sina uhakika asilimia zote

Sitaki kumjudge vibaya so guys mawazo yenu ni muhimu than you can imagine.
Mmefika wapi sasa my dear..!!??
 
Back
Top Bottom