Toa huduma nzuri, hakikisha mtu akiwa anatoka kwao anasema aloo kwa mo anatoa huduma kabambe, kuliko wale wengine. Kwetu Kuna maduka ya dawa kama 4, lkn huwezi amini Kuna duka la dawa ukienda we mwenyewe unafeel amani, basi Kila mtu anampa sifa. Na si kwamba yule mwengine hapati rizki, anapata vile vile kulingana na mola alivyompangia, na ana lugha mbovu balaa, kama ulienda unaumwa sana usipoangalia unakufa kabisa kabla ya huduma [emoji16][emoji16][emoji16] kwa jinsi alivyo na mijineno makali, hiyo ndiyo bihashara sasa, ni full ushindani.