Nyie niitieni George

Nyie niitieni George

Joined
Mar 6, 2015
Posts
70
Reaction score
221
Jamani leo katika pita pita zangu katika mtandao wa LinkedIn. Mekutana na mtu anaitwa George n. Sijui ndo love at first sight sijui ndo Niko mpweke.

Nyie nimeview profile ya George jamani am still viewing George's pic, and there's no way naweza mwambia ntaonekana kamalaya basi meishia tu kusave pic ake na kuiangilia.

Nyie niitieni George mwambieni he's making me sleepless [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Jamani leo katika pita pita zangu katika mtandao wa LinkedIn
Mekutana na mtu anaitwa George n,
Sijui ndo love at first sight sijui ndo Niko mpweke
Nyie nimeview profile ya George jamani am still viewing George's pic, and there's no way naweza mwambia ntaonekana kamalaya basi meishia tu kusave pic ake na kuiangilia
Nyie niitieni George mwambieni he's making me sleepless [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hahaha
JamiiForums-1215618144_360x378.jpg
 
Dada tuliza moyo ufanye maamuzi mazuri we nenda hovyo mapenzi sio chai dada!,mi sikukatazi ila kuwa makini penye hisia weka na akili.[emoji28]

Kwa Mara ya kwanza nungunungu nimetoa ushauri mpk moyo wangu umesema yes..[emoji23]
Sawa mdogo angu ila George jamani
Nyie George aaaaaaaa
 
Back
Top Bottom