My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Dola 200M as in 200 million?Kwny harakati za kutumia remote control huku na huku nikaifikia channel ya Clouds nikakutana na tamasha huyu nabii huko viwanja vya leaders Club Dar
Watu wanapokea miamala ya miujiza kwny simu zao mmoja apa kapokea 43k mmoja ndo kanikata asee yeye kapokea dola 200M etc
Anachosema huyu Nabii kwmb izo pesa wanazopokea zimetokana na pesa zinapotea baharini yeye anazitoa huko anawapa hawa waumini km muamala,pesa zngne kashika anazigawa ovyo
Kwa mara ya kwanza nimecheka muujiza kha.Kwny harakati za kutumia remote control huku na huku nikaifikia channel ya Clouds nikakutana na tamasha huyu nabii huko viwanja vya leaders Club Dar
Watu wanapokea miamala ya miujiza kwny simu zao mmoja apa kapokea 43k mmoja ndo kanikata asee yeye kapokea dola 200M etc
Anachosema huyu Nabii kwmb izo pesa wanazopokea zimetokana na pesa zinapotea baharini yeye anazitoa huko anawapa hawa waumini km muamala,pesa zngne kashika anazigawa ovyo
USD MZEE kwny simu watu shaz Leaders wengne wanashangaa pesa zinawafata mikononi mwaoDola 200M as in 200 million?
Kwenye simu?
Za Zimbabwe au US?
Uko unachek mana wako Live,ofcos kuna vitukoKwa mara ya kwanza nimecheka muujiza kha.
Note: Hakuna pesa ya bure namna hiyo hapa ulimwenguniKwny harakati za kutumia remote control huku na huku nikaifikia channel ya Clouds nikakutana na tamasha huyu nabii huko viwanja vya leaders Club Dar
Watu wanapokea miamala ya miujiza kwny simu zao mmoja apa kapokea 43k mmoja ndo kanikata asee yeye kapokea dola 200M etc
Anachosema huyu Nabii kwmb izo pesa wanazopokea zimetokana na pesa zinapotea baharini yeye anazitoa huko anawapa hawa waumini km muamala,pesa zngne kashika anazigawa ovyo
Kuna mambo mengine hata kukanusha haina maana, nafikiri huelewi 200M USD ni nini na/ au unafanya mzaha tu.USD MZEE kwny simu watu shaz Leaders wengne wanashangaa pesa zinawafata mikononi mwao
Sio mm mkuu ni bi mkubwa mmoja bonge white ndo kapokea apa Live usd 200M kwny simuKuna mambo mengine hata kukanusha haina maana, nafikiri huelewi 200M USD ni nini na/ au unafanya mzaha tu.
Hahahah ni noma sana yaniWajinga tu mtu anadanganywa ndani ya Mwezi huu July et watapta kazi kanisa Zima
Nkabaki nkiwa nacheka tu nkanyanyuka nkaenda kwenye glossary ya karibu nkala zangu beer mbili nkawasha Boxer yangu nkaenda kutecheza draft na Wana kijiweni
Jamaa shabiki wa nabii anakwambia miracles are popping like popcorn ππIli wasahau DP?
π€£π€£π€£Wajinga tu mtu anadanganywa ndani ya Mwezi huu July et watapta kazi kanisa Zima
Nkabaki nkiwa nacheka tu nkanyanyuka nkaenda kwenye glossary ya karibu nkala zangu beer mbili nkawasha Boxer yangu nkaenda kutecheza draft na Wana kijiweni
Titanic chini ya maji pesa za kazi ganiMiamala nje nje pesa za waliokufa na Titanic ziko Leaders ***** watu wanapokea miamala kinoma huyu kapokea laki tano yan unakutana na message ya miamala
π€£π€£π€£π€£πJamaa shabiki wa nabii anakwambia miracles are popping like popcorn ππ
Nakwambia hivi, huijui 200m USD ni nini.Sio mm mkuu ni bi mkubwa mmoja bonge white ndo kapokea apa Live usd 200M kwny simu