Nyie wa Dar hampo Leaders mpokee miamala ya miujiza ya huyu Nabii?

Nyie wa Dar hampo Leaders mpokee miamala ya miujiza ya huyu Nabii?

Unajua kama mganga au wale magician wanaweza Kubadilisha karatasi kuwa note Hawa nao si wale wale? Shetani anaweza fanya maajabu.. Cha msingi tumsubirie kama hizo hela watazitoa na kutumia kama kawaida... Niko pale nasubiria shuhuda😁😁
Hawa jamaa wana pesa sana mzee kutoa pesa halali hawashindwi,me hizi laki tano mara milioni wanazopokea watu via tigo pesa mara mpesa na wanaonesha kwny camera na muda wa kupokea,sasa sijui kuna kamati imeundwa ikasambazwa umo mkutanoni
 
Hawa jamaa wana pesa sana mzee kutoa pesa halali hawashindwi,me hizi laki tano mara milioni wanazopokea watu via tigo pesa mara mpesa na wanaonesha kwny camera na muda wa kupokea,sasa sijui kuna kamati imeundwa ikasambazwa umo mkutanoni
Kwanini miamala isifanyike na kwanaofuatilia kwenye TV majumbani kama wanavyosema "Pokea uponyaji, miujiza unayefuatilia maombi haya kwenye television"?😆😆
 
Kwenye harakati za kutumia remote control huku na huku nikaifikia channel ya Clouds nikakutana na tamasha huyu nabii huko viwanja vya leaders Club Dar.

Watu wanapokea miamala ya miujiza kwenye simu zao mmoja apa kapokea 43,000/= mmoja ndo kanikata asee yeye kapokea dola 200M etc

Anachosema huyu Nabii kwamba hizo pesa wanazopokea zimetokana na pesa zinapotea baharini, yeye anazitoa huko anawapa hawa waumini kama muamala, pesa zingine kashika anazigawa ovyo.
Dola 200M si pesa za bajeti ya nchi kwa miaka 2 au mitatu😂😂😂
 
Imenibiddi niingie Dstv app ninaona hapa watu wanapokea mahela.

Je hizo msg zinasoma hela imetoka wapi?

Hebu freeze vid ya muamala kisha zoom tuone nani anatuma hizo hela
Imenibiddi niingie Dstv app ninaona hapa watu wanapokea mahela.

Je hizo msg zinasoma hela imetoka wapi?

Hebu freeze vid ya muamala kisha zoom tuone nani anatuma hizo hela?
Kuna moja niliiona vzur 30k kutoka kwa abdulizack tigo pesa
 
Nakwambia hivi, huijui 200m USD ni nini.

Hiyo ni hela ya mkopo inapewa Tanzania nzima, si hela ya kutumiwa mtu kwenye simu.

Kwanza hela kubwa kama hiyo haiwezi kupita kwenye mitandao ya simu bila ya ku trigger Anti-Money Laundering breaks.

Kampuni nzima ya Vodacom imepata faida ya dola milioni 18.6. Sasa huyo dada katumiwa zaidi ya mara kumi ya faida yote ya Vodacom kwa mwaka, kwenye muamala mmoja?

Bro, n kwamba huelewi au unajitoa akili.? Sasa jamaa kosa lake ni lipo wakati kasema kuwa kuna mama kapokea hy 200m usd ya miujiza sasa bado tuu unataka kuumiza kichwa kwenye vitu ambavyo ww mwnyw unaona kabisa haiwezekani.?
 
Bro, n kwamba huelewi au unajitoa akili.? Sasa jamaa kosa lake ni lipo wakati kasema kuwa kuna mama kapokea hy 200m usd ya miujiza sasa bado tuu unataka kuumiza kichwa kwenye vitu ambavyo ww mwnyw unaona kabisa haiwezekani.?
Mbona mimi nilianza kabisa kwa kusema huu utakuwa ni mzaha, hujasoma au hujui kusoma kwa ufahamu?
 
Rubish kabisaa
Watu mmeweka kijiwe hapa mnajadili habari zakufikirika....

Mods pigeni bani huu uzi na watu wake wote wanaoamini huu upuuzi kwa ukosefu wa afya ya akili,
Empty Set kabisa.
 
Back
Top Bottom