Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utani tu mkuu iv nan akutumie hela bure bure kuna jera na gest uchaguzi wako pesa yako uipate vipUko serious mkuu,huwa natafuta sababu ya kuamini haya mambo ila sjawah pata huwa yanaweakness sana
Utaenda motoni ohooMinyama fulani makin sana
Mbona ujanistua jirani ase unaroho mbaya sanaHahaha
Wanadema leo ilikuwa last day.😁
Hivi USD 200millioni kwenye simu? Kwakuanzia hiyo akaunti yake Ina operate in Dollars?Sio mm mkuu ni bi mkubwa mmoja bonge white ndo kapokea apa Live usd 200M kwny simu
Hawa jamaa wana pesa sana mzee kutoa pesa halali hawashindwi,me hizi laki tano mara milioni wanazopokea watu via tigo pesa mara mpesa na wanaonesha kwny camera na muda wa kupokea,sasa sijui kuna kamati imeundwa ikasambazwa umo mkutanoniUnajua kama mganga au wale magician wanaweza Kubadilisha karatasi kuwa note Hawa nao si wale wale? Shetani anaweza fanya maajabu.. Cha msingi tumsubirie kama hizo hela watazitoa na kutumia kama kawaida... Niko pale nasubiria shuhuda😁😁
Kwanini miamala isifanyike na kwanaofuatilia kwenye TV majumbani kama wanavyosema "Pokea uponyaji, miujiza unayefuatilia maombi haya kwenye television"?😆😆Hawa jamaa wana pesa sana mzee kutoa pesa halali hawashindwi,me hizi laki tano mara milioni wanazopokea watu via tigo pesa mara mpesa na wanaonesha kwny camera na muda wa kupokea,sasa sijui kuna kamati imeundwa ikasambazwa umo mkutanoni
Dola 200M si pesa za bajeti ya nchi kwa miaka 2 au mitatu😂😂😂Kwenye harakati za kutumia remote control huku na huku nikaifikia channel ya Clouds nikakutana na tamasha huyu nabii huko viwanja vya leaders Club Dar.
Watu wanapokea miamala ya miujiza kwenye simu zao mmoja apa kapokea 43,000/= mmoja ndo kanikata asee yeye kapokea dola 200M etc
Anachosema huyu Nabii kwamba hizo pesa wanazopokea zimetokana na pesa zinapotea baharini, yeye anazitoa huko anawapa hawa waumini kama muamala, pesa zingine kashika anazigawa ovyo.
Imenibiddi niingie Dstv app ninaona hapa watu wanapokea mahela.
Je hizo msg zinasoma hela imetoka wapi?
Hebu freeze vid ya muamala kisha zoom tuone nani anatuma hizo hela
Kuna moja niliiona vzur 30k kutoka kwa abdulizack tigo pesaImenibiddi niingie Dstv app ninaona hapa watu wanapokea mahela.
Je hizo msg zinasoma hela imetoka wapi?
Hebu freeze vid ya muamala kisha zoom tuone nani anatuma hizo hela?
Bro, n kwamba huelewi au unajitoa akili.? Sasa jamaa kosa lake ni lipo wakati kasema kuwa kuna mama kapokea hy 200m usd ya miujiza sasa bado tuu unataka kuumiza kichwa kwenye vitu ambavyo ww mwnyw unaona kabisa haiwezekani.?Nakwambia hivi, huijui 200m USD ni nini.
Hiyo ni hela ya mkopo inapewa Tanzania nzima, si hela ya kutumiwa mtu kwenye simu.
Kwanza hela kubwa kama hiyo haiwezi kupita kwenye mitandao ya simu bila ya ku trigger Anti-Money Laundering breaks.
Kampuni nzima ya Vodacom imepata faida ya dola milioni 18.6. Sasa huyo dada katumiwa zaidi ya mara kumi ya faida yote ya Vodacom kwa mwaka, kwenye muamala mmoja?
![]()
Vodacom Tanzania rebounds with Sh44.6 billion annual net profit
Vodacom Tanzania has posted a net annual profit of Sh44.6 billion, reversing losses as data and mobile money grew rapidly in the wake of declining revenue from voice calls.www.thecitizen.co.tz
Wewe mzee na wadubai kama wamefika nyumbani kwakoWajinga ndiyo waliwao, watu tupo na wageni wa Dubai saa hizi tunachoma kondoo, huko leaders wanakwenda mapoyoyo tu.
Mbona mimi nilianza kabisa kwa kusema huu utakuwa ni mzaha, hujasoma au hujui kusoma kwa ufahamu?Bro, n kwamba huelewi au unajitoa akili.? Sasa jamaa kosa lake ni lipo wakati kasema kuwa kuna mama kapokea hy 200m usd ya miujiza sasa bado tuu unataka kuumiza kichwa kwenye vitu ambavyo ww mwnyw unaona kabisa haiwezekani.?
Moto wa weng fresh litakua vibe na mwanetu chino wanamanUtaenda motoni ohoo