Nyie wa kujiita kizazi cha Ismael si mlipewa maeneo yenu binafsi sasa mnahangaika nini na Israel

Nyie wa kujiita kizazi cha Ismael si mlipewa maeneo yenu binafsi sasa mnahangaika nini na Israel

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Agano la Mungu ilikuwa ni kiumbe kitakachotoka kwenye viuno vya Ibrahimu na Sarah. Ndio maana Ismael aliezaliwa na Ibrahimu na kijakazi wao hakupewa heshima ya agano la nchi ya ahadi ila Ismael alipewa baraka zake binafsi.

Ismael na mama yake waliamrishwa kwenda maeneo ya mbali na sio kukaa karibu na maeneo karibu na Isaka. Walienda maeneo ambayo leo ndio jamii ya kiarabu na kiislam ilipo.

Hata kipindi Ismael alirudi kwa ajili ya msiba wa baba yake akung'ang'ania chochote bali alirudi maeneo yake ambayo alianrishwa kwenda.

Sasa mimi nashangaa hawa jamaa sijui ni yale maumivu ya kuachwa katika urithi wa nchi ya ahadi hadi sasa wakalazismisha kuivamia Israel, kutengeneza ngome yao na kujenga msikiti eneo lilipokuwa hekalu la kuabudu alilojenga Solomon.

Leo wenye nchi yao ya ahadi wanarudi eti tena wakaanza kuwafanyia vurugu na vita, cha ajaabu tangia 1948 Israel imesimama tena. Hii ni kwa sababu ndio eneo lao maalum nyie mnalazimisha.
 
Nenda kasome tena,na kama hujui chochote bora ukae kimya.israel ni yakob mtoto wa isaka,mdogo wake na esau, jina Israeli alipewa na malaika gablael baada ya kupigana mieleka usiku kucha,na asbh ndio akaambiwa mimi ni malaika gablael, toka leo wewe hutaitwa tena yako,utaitwa Israel.
 
Nenda kasome tena,na kama hujui chochote bora ukae kimya.israel ni yakob mtoto wa isaka,mdogo wake na esau, jina Israeli alipewa na malaika gablael baada ya kupigana mieleka usiku kucha,na asbh ndio akaambiwa mimi ni malaika gablael, toka leo wewe hutaitwa tena yako,utaitwa Israel.
Acha mihemuko kama unapitia mlango wa nyuma wa gesti.

Ahadi ya Mungu ilianzia kwa Ibrahim hadi kufika kwa huyo Jacob bado ilikuwa ni mapito ya ahadi hio.
 
Acha mihemuko kama unapitia mlango wa nyuma wa gesti.

Ahadi ya Mungu ilianzia kwa Ibrahim hadi kufika kwa huyo Jacob bado ilikuwa ni mapito ya ahadi hio.
Watu weusi kwanini mnapenda kujipendekeza kwa mababu wa wayahud na waarab
 
Back
Top Bottom