Nyie Wachaga hii ni sifa sasa

Ujinga huu walitaka kuniletea Shemeji zangu(Mimi msukuma nimeoa mchaga) Nikawaambia hawa wanangu ni kina ngosha. Kama kusafiri wataenda Mwanza sio Moshi. Hasa kipindi hiki.
 
Ujinga huu walitaka kuniletea Shemeji zangu(Mimi msukuma nimeoa mchaga) Nikawaambia hawa wanangu ni kina ngosha. Kama kusafiri wataenda Mwanza sio Moshi. Hasa kipindi hiki.
Lakini hata hivyo hawaendi Mwanza wanabaki Dar siku zote. Jijengee utaratibu wa kuwa na likizo na kwenda kuwasalimia wazazi ndugu jamaa na marafiki angalau mara moja kwa mwaka. Najua wasukuma wengi walio mjiji wanaogopa kwenda kijijini kwasababu nyingi lakini kubwa ni ndumba zilizopo usukumani.
 
Mkuu acha uongo alafu punguza sifa.
Usafiri wote umejaa ndg,mimi binafsi nitadabda fuso tu hakuna jinsi maana kuna taratibu fulani za kichama natakiwa kwenda kuzitekeleza ofisi kuu moshi mjini.
 
Wazazi wote wawili ni wastaafu. Wametulia zao Mbezi beach wanakula pension yao. Watoto wote tumetawanyika. Msimu huu ndio tunakusanyika kwa wazazi kuwakutanisha watoto wetu na kuwachangamsha wazee. Sasa nipeleke watoto Mwanza au Moshi kwa nani wakati wenye wajukuu wanakula upepo wa bahari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…