Nyie Wachaga hii ni sifa sasa

Nyie Wachaga hii ni sifa sasa

Nimekuja home nikakuta jirani yetu mchaga kabeba watoto wote kawapeleka Rombo, kamuacha mumewe mgogo maskini hana sauti juu ya mke. Ukilinganisha uwezo wao kiuchumi ni maskini, wanakula mlo mmoja kwa siku (ninachosema namaanisha). Na ni tabia endelevu hii kila mwaka anafanya hivi. Mume ambaye kwao Dodoma anamchukuaga mtoto mmoja na kwenda nae na hakawii kule, huyu mke anakusanya wote. Mke kama huyu si bora niwe single tu

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
Sasa ungetaka waende dodoma kama mzee hana boma akawaweke wapi kwa jirani asikuambie mtu hakuna kitu kizuri na chenye baraka kama kula sikukuu na familia raha ya ajabu halafu cha kushanga huyo aliyeenda kula kwao akirudi ni mwendo wa kukimbiza sie tunaokomaa shida mwanzo mwisho ukipata tumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazazi wote wawili ni wastaafu. Wametulia zao Mbezi beach wanakula pension yao. Watoto wote tumetawanyika. Msimu huu ndio tunakusanyika kwa wazazi kuwakutanisha watoto wetu na kuwachangamsha wazee. Sasa nipeleke watoto Mwanza au Moshi kwa nani wakati wenye wajukuu wanakula upepo wa bahari?
Kifupi wewe unaonekana umesoma lakini bado ni mshamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usafiri wote umejaa ndg,mimi binafsi nitadabda fuso tu hakuna jinsi maana kuna taratibu fulani za kichama natakiwa kwenda kuzitekeleza ofisi kuu moshi mjini.

Chama gani hiko hakina magari mpaka mtumwa wake apande fuso kwenda kutekeleza shughuli za kichama? Unamiliki majukumu ya aina gani hadi wakupandishe fuso hao wa chamani kwako?
 
Sasa ungetaka waende dodoma kama mzee hana boma akawaweke wapi kwa jirani asikuambie mtu hakuna kitu kizuri na chenye baraka kama kula sikukuu na familia raha ya ajabu halafu cha kushanga huyo aliyeenda kula kwao akirudi ni mwendo wa kukimbiza sie tunaokomaa shida mwanzo mwisho ukipata tumia

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani sasa wewe ndo unaongea kinyume cha uhalisia. Huyu mama baba yake alikufa kabla hata mtoto hajamtambua, mtoto huyo akalelewa ujombani na sasa ndo huwa anaenda uko ujombani ambapo wana uwezo wa wastani. Shida ni kubeba watoto wote wanne kwenda nao ukizingatia uchumi wa familia mdogo. Mumewe kwao Dodoma wazazi wote wapo lakini huwa anaepusha usumbufu wa kwenda na watoto wote maana mke huwa hataki kwenda kwao mumewe. Siwapangii kutoka katika hii familia kuna kitu kama mimi nisingeweza

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
 
Kifupi wewe unaonekana umesoma lakini bado ni mshamba

Sent using Jamii Forums mobile app
Ashakwambia wazazi wako jijini wanakula maisha. A classic family yenye uwezo kulingana na alivosema, sasa ulitaka aende kuwaona wazazi gani uko mkoani? Kila mtu anamfata mzazi wake au kuna wengine wanaenda ilimradi wameenda mkoani. Mshamba ni nani kati ya anayeacha wazazi Dar na kwenda kukaa tu mkoani na yule anayeamua kuwafata wazazi walipo. Mbona mnataka kuondoa uhalisia wa mambo kwa justifications za kawaida hivi

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
 
Safi Sana hongera aise
Vp unawashauri nn hao wanaosema wanawake wakichaga hawafai kuolewa mkuu ebu sema neno Kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Nachoweza kuwaambia ni kwamba kabila ya mtu haihusiani na tabia ya mtu.Stop generalization. Dunia imebadilika. Zamani tulikuwa tukisema wachaga kwa pesa hawana mchezo.Lakini siku hizi mpaka wamakonde wanaijua pesa. Tulisema mapenzi yamezaliwa Tanga, Lakini leo hii mpaka Wamang'ati wanajua mapenzi. Kwa hiyo linapokuja suala la kuoa wasiwabague wanawake wa kichaga. Na kwa kuongezea tu. Ukimpata mke aliyelelewa toka uchagani hutokaa ujilaumu maisha yako yote.
 
Back
Top Bottom