Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Mizizi imengolewa tayariWazazi wote wawili ni wastaafu. Wametulia zao Mbezi beach wanakula pension yao. Watoto wote tumetawanyika. Msimu huu ndio tunakusanyika kwa wazazi kuwakutanisha watoto wetu na kuwachangamsha wazee. Sasa nipeleke watoto Mwanza au Moshi kwa nani wakati wenye wajukuu wanakula upepo wa bahari?
Mkuu mbona umekuja kunisema huku .....Nimekuja home nikakuta jirani yetu mchaga kabeba watoto wote kawapeleka Rombo, kamuacha mumewe mgogo maskini hana sauti juu ya mke. Ukilinganisha uwezo wao kiuchumi ni maskini, wanakula mlo mmoja kwa siku (ninachosema namaanisha). Na ni tabia endelevu hii kila mwaka anafanya hivi. Mume ambaye kwao Dodoma anamchukuaga mtoto mmoja na kwenda nae na hakawii kule, huyu mke anakusanya wote. Mke kama huyu si bora niwe single tu
Sent from my PBCM30 using Tapatalk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ongo kama toto!!!Ongo kama toto hili jamaa
ukiona mtu hataki kujenga kwao huyo ni mjinga na mpumbavu ,mm ni mgogo ,unaishi vizur mjini ukienda kwenu nyumba kama banda la mabata tubadilikeWewe mbona unawapangia watu wajenge kwao?
Ulizia na magari ya Posta yanayobeba magazeti........huo ndio usafiri wa fasta kwa wachaga!wakuu kwema?
nimepata safari ya ghafla ya kwenda Moshi ambapo nilitakiwa kuhudhururia shughuli fulani huko kesho kutwa,cha ajabu nimeenda hapo ubungo nimekuta mabasi yote yamejaa mpaka tarehe 24 mwezi huu.
Nikajipa matumaini ngoja nikakate ticket ya train, napo nimekuta train iko fully mpaka tarehe 24 mwezi huu, basi nikasema ngoja nivunje kibubu ili walau nichukue mwewe, lakini napo kila nikiangalia air Tanzania, Precision air na auric air na zenyewe ziko fully hadi tarehe 24. Hapo ikabidi nikae chini kwanza nitafakari, hawa ndugu zetu wachaga huko kwao wanaenda kufanya nini kikubwa mpaka usafiri unakua wa shida namna hii?
Nikaona nimpigie jamaa angu fulani hivi kumuulizia kama anaweza kuniunganisha na agent yoyote wa mabasi akaniambia maagent anaowajua wote nao wamesharudi kwao moshi, basi nikaona nidandie usafiri wowote tu, kwa hiyo sasa hivi niko hapa rombo kimara navizia Fuso zinazoelekea huko ili niondoke.
Aisee nyie wachaga noma sana.
Wazazi wote wawili ni wastaafu. Wametulia zao Mbezi beach wanakula pension yao. Watoto wote tumetawanyika. Msimu huu ndio tunakusanyika kwa wazazi kuwakutanisha watoto wetu na kuwachangamsha wazee. Sasa nipeleke watoto Mwanza au Moshi kwa nani wakati wenye wajukuu wanakula upepo wa bahari?
Nikweli ndani ya mwaka mmoja wanakwenda makwao Mara moja tu tena wanakaa si zaidi ya siku ishirini tu, je wangekuwa wanaenda makwao kama jamii nyingine c tunge pata tabuMwaka una miezi 12. Kwenda nyumbani December tu kwa pamoja hakuna tofauti na kitendo maarufu pale North Mara.
Asante sanaa kwa kunisapot waambie hao jamaa wasiishi Kama bundiukiona mtu hataki kujenga kwao huyo ni mjinga na mpumbavu ,mm ni mgogo ,unaishi vizur mjini ukienda kwenu nyumba kama banda la mabata tubadilike
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutambika mzee Baba, hakuna kingine sherehe za kuchinja na kufanya kafarawakuu kwema?
nimepata safari ya ghafla ya kwenda Moshi ambapo nilitakiwa kuhudhururia shughuli fulani huko kesho kutwa,cha ajabu nimeenda hapo ubungo nimekuta mabasi yote yamejaa mpaka tarehe 24 mwezi huu.
Nikajipa matumaini ngoja nikakate ticket ya train, napo nimekuta train iko fully mpaka tarehe 24 mwezi huu, basi nikasema ngoja nivunje kibubu ili walau nichukue mwewe, lakini napo kila nikiangalia air Tanzania, Precision air na auric air na zenyewe ziko fully hadi tarehe 24. Hapo ikabidi nikae chini kwanza nitafakari, hawa ndugu zetu wachaga huko kwao wanaenda kufanya nini kikubwa mpaka usafiri unakua wa shida namna hii?
Nikaona nimpigie jamaa angu fulani hivi kumuulizia kama anaweza kuniunganisha na agent yoyote wa mabasi akaniambia maagent anaowajua wote nao wamesharudi kwao moshi, basi nikaona nidandie usafiri wowote tu, kwa hiyo sasa hivi niko hapa rombo kimara navizia Fuso zinazoelekea huko ili niondoke.
Aisee nyie wachaga noma sana.
Uwezi kulazisha watu wengine wawe wanaenda makwao kila mwishoni mwa mwakaNmewakumbusha tuu maana nyie ni vilaza Bila kuamshwa usingizin hamtajenga kwenu Ndiyo maana hamtaki kwenda huko
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhUwezi kulazisha watu wengine wawe wanaenda makwao kila mwishoni mwa mwaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawezana wao kwa wao maana wanawake wa kichaga ni wajeuri hatari...ila kwa mkurya wanakaa maana mkurya ni katiliUkitaka kufa haraka oa mchaga