Nyie Wachaga hii ni sifa sasa

Najivunia kuwa mchaga. Msitufananishe na vikundi vya hovyo hovyo. Hakuna uchumi kama wa mchaga wengine omba omba tu.
 
hongera kwa kufagilia kabila lako in indirect way
 
Kwani hamna boti au pantoni zinazoenda moshi? Labda hizo zinaweza kukusaidia,
 

Sio kweli PrecisionAIR leo ilikuwa almost tupu acha uongo aisee


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata za mbeya zimejaa zote.
Kazi kujisifia tu na ujinga wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…