Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Hata usipopiga, kifo kipo tu; utetezi wako nibatiliAngalia huyo mrema anaumwa kama nini ila alioa 77 naakawa anapiga inshu jamani wewe baba acha hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata usipopiga, kifo kipo tu; utetezi wako nibatiliAngalia huyo mrema anaumwa kama nini ila alioa 77 naakawa anapiga inshu jamani wewe baba acha hizo
SubUnataka kuongeza idadi ya michepuko?
Tatizo ni moyo, sio akili ya ubongoWeee mzee mbishi khaaa
Sisi wazee hatunaga shida; hebu weka namba yako mkuuWatakupa subiri
😃😃😃 Haya kila la kheri.Tatizo ni moyo, sio akili ya ubongo
ha ha ha, kama magari namba A yanazunguka mjini yakionekana mapya; hata kwa sisi wazee ni hivyo hivyo, part ziko imara kabisaIla private part zimezeeka
Nasubiri namba yako😃😃😃 Haya kila la kheri.
Hamna acha kusaga mifupa huna maji tena utalia ikikaza shauri yako ikaja kulegea shauri yakoha ha ha, kama magari namba A yanazunguka mjini yakionekana mapya; hata kwa sisi wazee ni hivyo hivyo, part ziko imara kabisa
Sisi wazee ndio tunajua kulea, maji yapo tele.Hamna acha kusaga mifupa huna maji tena utalia ikikaza shauri yako ikaja kulegea shauri yako
Hamnga 45 kwisha kila ufanyacho unahema kama kamkusi kaliko kabwa na mlangoSisi wazee ndio tunajua kulea, maji yapo tele.
[emoji23][emoji23][emoji23] 0766789....Nasubiri namba yako
Ni kweli, ila mnatutesa sana; kwa nini msitupatie, ila linapokuja suala la mahusiano unakuwa muwazi tu.Ukiona mtu kakunyima namba jua hauna nafasi kwake
Siyo lazima
Hiyo ni nadharia tu, njoo kwenye uhalisia, mambo tofauti; wapo wanaokimbia huku wameshikilia kufuli mkononi.Hamnga 45 kwisha kila ufanyacho unahema kama kamkusi kaliko kabwa na mlango
Acha uongoHiyo ni nadharia tu, njoo kwenye uhalisia, mambo tofauti; wapo wanaokimbia huku wameshikilia kufuli mkononi.
Hiyo ni ya central[emoji23][emoji23][emoji23] 0766789....
Ndio ukweli, kusema uongo ni mwikoAcha uongo
Haya ukiuwawa siku na yale matanki yako usije ukasema sijakuambiaNdio ukweli, kusema uongo ni mwiko
Tatizo mnatutenga sana sisi wazee; sisi ndio rubi tuliobakiaHaya ukiuwawa siku na yale matanki yako usije ukasema sijakuambia
RubiTatizo mnatutenga sana sisi wazee; sisi ndio rubi tuliobakia
Kuwa na mzee ni busara sanaRubi