Nyie wafuasi wa Tundu Lissu

Nyie wafuasi wa Tundu Lissu

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.

Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.

Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.

You people are mindless bots in human form.

You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.

Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.

Really? Seriously? That’s what we’re doing now?

You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!

Where is your free thinking?

Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.

Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.

You are so far up your own fundaments.

Disgusting 🤮.
 
Nadhani wako sawa mkuu, vita ya kumtoa sultan Ayatollah nkurunzinza Mbowe siyo ndogo, inahitaji kila spanana itumike, si umeona presha ilivyo mzee anatoa kila aina ya mlio. Hata TAL akifanikiwa kukalia hicho kiti na yeye akaanza kukengeuka atapigwa tu spana.
 
Sisi sio wajinga. Tulitangaza kumpinga Mbowe kabla hata hajatangaza hadharani kugombea. Tunajua kwanini anataka sana uenyekiti wa chama awamu hii na tunajua kwanini Lissu aliamua kugombea. Usijekudhani kuwa kuna siku itatokea nimuunge mkono Mbowe akiwa mwenyekiti baada ya uchaguzi wa mwezi huu.
 
Sisi sio wajinga. Tulitangaza kumpinga Mbowe kabla hata hajatangaza hadharani kugombea. Tunajua kwanini anataka sana uenyekiti wa chama awamu hii na tunajua kwanini Lissu aliamua kugombea. Usijekudhani kuwa kuna siku itatokea nimuunge mkono Mbowe akiwa mwenyekiti baada ya uchaguzi wa mwezi huu.
Kwa Lissu hamtopata kiongozi.

Mtapata mwanaharakati tu.

Drama hazitoisha.

But have at it coz I’m loving it 😀.
 
Its human nature to hold onto something for hope...

Raia wengi kwa sasa hope yao kubwa ni kwa CHADEMA, na CHADEMA inayoongozwa na Lissu, asiposhinda raia watatafuta mahali kwingine pa kujishikiza...
Wanachopendea kwa Lissu ni ule uropokaji wake tu.

Ili mradi katika kuropoka huko anakuwa anawasema CCM au Mbowe, hata kama uongo, wao watameza kila kitu na kummwagia sifa tele.
 
Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.

Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.

Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.

You people are mindless bots in human form.

You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.

Tundu Lissu ni kichwa….Lissu hamung’unyi maneno….Lissu hakopeshi…..usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.

Really? Seriously? That’s what we’re doing now?

You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!

Where is your free thinking?

Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.

Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.

You are so far up your own fundaments.

Disgusting 🤮.
With due respect....Lissu sio malaika..ila kwa kinachoendelea leo ni wazi Freeman ameharibu sana jitihada za wenzake...kawazunguka kwa kipindi kirefu..usisahau kuna watu walipoteza maisha...huu ni unyama mbaya sana...
Kama ilivyo kwa JPM ambae alipinga Covid-19 huku watu wakiangamia...
 
Wafuasi wa Tundu Lissu ni kama wafuasi wa Pastor Mackenzie yule wa Kenya. Wanaamini kila uongo Lissu anaoutoa.

Pastor Mackenzie alikuwa ni mgonjwa wa akili kama alivyo Lissu, Mackenzie alizika watu wakiwa hai akiwaambia wanaenda kwa Yesu ni kama anavyofanya sasa Lissu anawadanganya wafuasi wake anaiua Chadema ili kupata upinzani mpya. Mwisho wa yote atawaacha kwenye mataa wakiwa wamepoteza walichokijenga kwa miaka mingi.
 
Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.

Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.

Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.

You people are mindless bots in human form.

You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.

Tundu Lissu ni kichwa….Lissu hamung’unyi maneno….Lissu hakopeshi…..usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.

Really? Seriously? That’s what we’re doing now?

You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!

Where is your free thinking?

Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.

Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.

You are so far up your own fundaments.

Disgusting 🤮.
"You are so up your own fundaments"
Kiingereza cha mbeba mabox Ulaya 😂
 
With due respect....Lissu sio malaika..ila kwa kinachoendelea leo ni wazi Freeman ameharibu sana jitihada za wenzake...kawazunguka kwa kipindi kirefu..usisahau kuna watu walipoteza maisha...huu ni unyama mbaya sana...
Kama ilivyo kwa JPM ambae alipinga Covid-19 huku watu wakiangamia...
Mbowe kawazungukaje wenzie?
 
Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.

Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.

Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.

You people are mindless bots in human form.

You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.

Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.

Really? Seriously? That’s what we’re doing now?

You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!

Where is your free thinking?

Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.

Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.

You are so far up your own fundaments.

Disgusting 🤮.
Wewe mtu mbad sana Ngabu 😛
 
Mbowe kawazungukaje wenzie?
Chama kukifanya bubu,butu na dhaifu kwa kuingia kwake makubaliano binafsi na ccm
Kuna kosa au makosa hapo? Manake isije ukawa unacheka huku ukiwa hujui hata kinachokuchekesha nini.

You could very well be in over your head and so far up your own fundament.
Endelea kubeba box tu huko ulipo, madhila ya ccm tunayajua sisi na mbaya zaidi Mbowe anashirikiana nao kutuumiza.
 
Back
Top Bottom