Nyie wafuasi wa Tundu Lissu

Nyie wafuasi wa Tundu Lissu

Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.

Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.

Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.

You people are mindless bots in human form.

You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.

Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.

Really? Seriously? That’s what we’re doing now?

You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!

Where is your free thinking?

Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.

Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.

You are so far up your own fundaments.

Disgusting 🤮.
U.S.A baby acha umbea nakingereza chako kingi
 
Wanachopendea kwa Lissu ni ule uropokaji wake tu.

Ili mradi katika kuropoka huko anakuwa anawasema CCM au Mbowe, hata kama uongo, wao watameza kila kitu na kummwagia sifa tele.
Sawa anaropoka mbona hamna hoja yake inayojibiwa kwa usahihi na Mbowe,Mbowe akiongea ni bla bla tu hakuna majibu sahihi
 
Wafuasi wa Tundu Lissu ni kama wafuasi wa Pastor Mackenzie yule wa Kenya. Wanaamini kila uongo Lissu anaoutoa.

Pastor Mackenzie alikuwa ni mgonjwa wa akili kama alivyo Lissu, Mackenzie alizika watu wakiwa hai akiwaambia wanaenda kwa Yesu ni kama anavyofanya sasa Lissu anawadanganya wafuasi wake anaiua Chadema ili kupata upinzani mpya. Mwisho wa yote atawaacha kwenye mataa wakiwa wamepoteza walichokijenga kwa miaka mingi.
Halafu yeye anapanda ndege anaenda alkoolew nyinyi mnabaki kupigana huyo siyo kiongozi kichani hakuk sawa
 
Kwa Lissu hamtopata kiongozi.

Mtapata mwanaharakati tu.

Drama hazitoisha.

But have at it coz I’m loving it 😀.
We naye huna logic wa hoja.

Anza kufanya distinguish btn Kiongozi na Mwanaharakati,

Akina Nelson Mandela walikuwa wanaharakati,
Fidel Castro,Kwame Nkurma, same case hata Nyerere, badae wakawa good leaders tu

#Toa upumbavu wako na uchawa.
 
Wafuasi wa Tundu Lissu ni kama wafuasi wa Pastor Mackenzie yule wa Kenya. Wanaamini kila uongo Lissu anaoutoa.

Pastor Mackenzie alikuwa ni mgonjwa wa akili kama alivyo Lissu, Mackenzie alizika watu wakiwa hai akiwaambia wanaenda kwa Yesu ni kama anavyofanya sasa Lissu anawadanganya wafuasi wake anaiua Chadema ili kupata upinzani mpya. Mwisho wa yote atawaacha kwenye mataa wakiwa wamepoteza walichokijenga kwa miaka mingi.
Time will tell.
 
Nimeangalia interview ya Mbowe.

I must say he acquitted himself very admirably.

He was cool, calm, and collected. Never called anyone outside of their name.
Alisema lissu anataka mabalozi "wasimamie" uchaguzi wakati Lissu alisema mabalozi wawe "waangalizi". One of many lies innit ila kisa aliongea kistaarabu basi anaonekana mkweli? Hivi kweli Mbowe hana anachonufaika na chadema hadi aking'ang'anie?

Kingine hakusema CHOCHOTE juu ya anachokusudia kufanya akipewa uenyekiti. Yaani no plans, no strategies ni business as usual sasa ametupa sababu gani ya kuendelea na uenyekiti?

That man is a sold out itakuja kuwa realised when it's too late
 
Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.

Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.

Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.

You people are mindless bots in human form.

You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.

Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.

Really? Seriously? That’s what we’re doing now?

You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!

Where is your free thinking?

Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.

Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.

You are so far up your own fundaments.

Disgusting 🤮.
Great narrative mkuu Nyani Ngabu !!! Hawa watu wamekuwa obsessed sana na TAL. Nahofu wengi watapata sonona baada ya tarehe 21/01
 
Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.

Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.

Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.

You people are mindless bots in human form.

You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.

Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.

Really? Seriously? That’s what we’re doing now?

You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!

Where is your free thinking?

Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.

Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.

You are so far up your own fundaments.

Disgusting 🤮.
Mkuu si uandike tu kiswahili mwanzo mwisho?
 
Mimi sio mfatiliaji wa siasa ila hata vichwa vya nyuzi za humu ndo vinaonyesha kuna watu Lisu kawashika akili mpaka wanashindwa kufikiri sawasawa
 
Back
Top Bottom