Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U.S.A baby acha umbea nakingereza chako kingiHii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.
Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.
Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.
You people are mindless bots in human form.
You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.
Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.
Really? Seriously? That’s what we’re doing now?
You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!
Where is your free thinking?
Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.
Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.
You are so far up your own fundaments.
Disgusting 🤮.
Sawa anaropoka mbona hamna hoja yake inayojibiwa kwa usahihi na Mbowe,Mbowe akiongea ni bla bla tu hakuna majibu sahihiWanachopendea kwa Lissu ni ule uropokaji wake tu.
Ili mradi katika kuropoka huko anakuwa anawasema CCM au Mbowe, hata kama uongo, wao watameza kila kitu na kummwagia sifa tele.
Kama hujaelewa si upite kimya kimya tu.Thread nyingine bana, wala sielewi huyu author wa hii thread anataka nini. Kuwaita watu ati wafuasi wa Tundu Lisu, wewe mfuasi wa nani?
🇺🇸U.S.A baby acha umbea nakingereza chako kingi
🤣🤣Mara paap lisu katimkia ccm 😄
Ova
kibabu cha hovyo🇺🇸
Sifa kuu ya maCCM ni uongo.View attachment 3194639
Nipo Simiyu hapa napeleka ng’ombe mnadani.
Hapa Kidinda, Simiyu kila Jumanne huwa kuna mnada wa mifugo. Karibu.
Halafu yeye anapanda ndege anaenda alkoolew nyinyi mnabaki kupigana huyo siyo kiongozi kichani hakuk sawaWafuasi wa Tundu Lissu ni kama wafuasi wa Pastor Mackenzie yule wa Kenya. Wanaamini kila uongo Lissu anaoutoa.
Pastor Mackenzie alikuwa ni mgonjwa wa akili kama alivyo Lissu, Mackenzie alizika watu wakiwa hai akiwaambia wanaenda kwa Yesu ni kama anavyofanya sasa Lissu anawadanganya wafuasi wake anaiua Chadema ili kupata upinzani mpya. Mwisho wa yote atawaacha kwenye mataa wakiwa wamepoteza walichokijenga kwa miaka mingi.
We naye huna logic wa hoja.Kwa Lissu hamtopata kiongozi.
Mtapata mwanaharakati tu.
Drama hazitoisha.
But have at it coz I’m loving it 😀.
Machumia tumbo yasiyo kuwa na hiyana na huruma na nchii na uchawa mtupu ,ndo yanayo mpinga lissu na akili zao ziko paralyzed they can't think correct.Sifa kuu ya maCCM ni uongo.
Sifa kuu ya wampingao Lissu ni uongo.
Wewe ni muongo kama yalivyo maCCM na Pro-Mbowe.
Time will tell.Wafuasi wa Tundu Lissu ni kama wafuasi wa Pastor Mackenzie yule wa Kenya. Wanaamini kila uongo Lissu anaoutoa.
Pastor Mackenzie alikuwa ni mgonjwa wa akili kama alivyo Lissu, Mackenzie alizika watu wakiwa hai akiwaambia wanaenda kwa Yesu ni kama anavyofanya sasa Lissu anawadanganya wafuasi wake anaiua Chadema ili kupata upinzani mpya. Mwisho wa yote atawaacha kwenye mataa wakiwa wamepoteza walichokijenga kwa miaka mingi.
Alisema lissu anataka mabalozi "wasimamie" uchaguzi wakati Lissu alisema mabalozi wawe "waangalizi". One of many lies innit ila kisa aliongea kistaarabu basi anaonekana mkweli? Hivi kweli Mbowe hana anachonufaika na chadema hadi aking'ang'anie?Nimeangalia interview ya Mbowe.
I must say he acquitted himself very admirably.
He was cool, calm, and collected. Never called anyone outside of their name.
Great narrative mkuu Nyani Ngabu !!! Hawa watu wamekuwa obsessed sana na TAL. Nahofu wengi watapata sonona baada ya tarehe 21/01Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.
Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.
Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.
You people are mindless bots in human form.
You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.
Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.
Really? Seriously? That’s what we’re doing now?
You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!
Where is your free thinking?
Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.
Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.
You are so far up your own fundaments.
Disgusting 🤮.
We ndo mshenzi kabisa ,Tundu lissu taked 33 bullets na Bado hajaogopa aja acha siasa,Halafu yeye anapanda ndege anaenda alkoolew nyinyi mnabaki kupigana huyo siyo kiongozi kichani hakuk sawa
Great narrative ipi? Mnaleta LOGICAL FALLACY.Great narrative mkuu Nyani Ngabu !!! Hawa watu wamekuwa obsessed sana na TAL. Nahofu wengi watapata sonona baada ya tarehe 21/01
Mkuu si uandike tu kiswahili mwanzo mwisho?Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.
Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.
Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.
You people are mindless bots in human form.
You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.
Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.
Really? Seriously? That’s what we’re doing now?
You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!
Where is your free thinking?
Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.
Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.
You are so far up your own fundaments.
Disgusting 🤮.