min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mpigwe block kabisa nyumbu wa lumumba mnakera sana😁JF cha mtoto..
Clubhouse kuna room wana ku remove na kuku block kabisa usiposema unamuunga mkono TL 😃.
I wish TL afungue Kanisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpigwe block kabisa nyumbu wa lumumba mnakera sana😁JF cha mtoto..
Clubhouse kuna room wana ku remove na kuku block kabisa usiposema unamuunga mkono TL 😃.
I wish TL afungue Kanisa
Wanaharakati siyo Viongozi?Kwa Lissu hamtopata kiongozi.
Mtapata mwanaharakati tu.
Drama hazitoisha.
But have at it coz I’m loving it 😀.
Hajawahi kupigania Uhuru huyo 😂Kwani hujui kuwa siasa ni harakati?
Ukweli ndiyo maccm mnaita uropokaji, utapataje moral authority ya kukemea maovu ya CCM na serikali wakati unafumbia maovu yanayofanyika kwenye chama chako? Ukimsaka nyoka anza miguuni kwako.Wanachopendea kwa Lissu ni ule uropokaji wake tu.
Ili mradi katika kuropoka huko anakuwa anawasema CCM au Mbowe, hata kama uongo, wao watameza kila kitu na kummwagia sifa tele.
Chama kukifanya bubu,butu na dhaifu kwa kuingia kwake makubaliano binafsi na ccm
Endelea kubeba box tu huko ulipo, madhila ya ccm tunayajua sisi na mbaya zaidi Mbowe anashirikiana nao kutuumiza.
Mi mwenyewe nimeishia darasa la nne.Hiki kizungu ni kikali sijaambulia chochote jamani.
We Ngabu kuwa na adabu unatuwekea mavizungu magumu kwani ulitusomesha wewe??
Unikome. Nimeishia La saba.
Cc: Lucas Mwashambwa chiembe ChoiceVariable Labella Extrovert
Mkuu mshahara wa hiyo kazi unaujua lakin?Huyo yuko ughaibuni anaosha vinyeo vya vizee vya kizungu.
Ni viongozi wa harakati zao.Wanaharakati siyo Viongozi?
Unashangaa nini kwa watu wanaojazana kwa watu kama Kiboko wa Wachawi?Wanachopendea kwa Lissu ni ule uropokaji wake tu.
Ili mradi katika kuropoka huko anakuwa anawasema CCM au Mbowe, hata kama uongo, wao watameza kila kitu na kummwagia sifa tele.
Kama shujaa Magufuli mkemia na mwalimu aliweza Tundu Lisu Wakili Msomi atafanya vizuri zaidiNi viongozi wa harakati zao.
Sasa mbona mlikuwa mnatoa povu wakati ule watu wakisema Mbowe ni King'ang'anizi wa Madaraka na atafanya chochote kuhakikisha anabaki madarakani?! Kuweni wakweli. Jinamizi la Mbowe mmelilea wenyewe kwa kupenda kutetea hata mambo ya kijinga kwa sababu tu yanafanywa na viongozi wenu! Hapa Nyani Ngabu anawashutumu kumfanya Tundu Lissu kama Mungu Mtu wenu wakati miezi michache iliyopita na kurudi nyuma ni Mbowe ndie alikuwa kama Mungu Mtu hadi nikawa ninashangaa mna uhalali gani mnavyotusema tunaomtetea Mwamba JPM! Hata Msigwa mlikuwa mnamuona adui kwa sababu tu alikuwa anaongea machafu ya Mbowe, na kala sana matusi ya wafuasi wa CHADEMA lakini ghafla tu leo hii mnaongea lugha ile ile ya Msigwa!! Tena bora hata Msigwa ambae bull's eyes yake ilikuwa directly FAM's head lakini Tundu Lissu sio tu FAM bali hata Mfumo wa CHADEMA! Leo hii mnamshangilia as if kaingia CHADEMA juzi tu hapa kumbe yupo miaka mingi tu, na alifumbia macho huo uozo hadi sasa alipoamua kuutumia kutafutia Uenyekiti!! Zitto Kabwe na akina Mkumbo walivyojaribu kuu-challenge uongozi wa Mbowe wote mkamuita Msaliti, na akaoga tani kwa tani za matusi! Hivi kuna tofauti gani ya Mbowe yule na huyu wa sasa? Na dalili zinaonesha endapo FAM angesoma alama za nyakati mapema na kutangaza miezi kadhaa iliyopita kwamba asingegombea uenyekiti basi haya yanayosemwa sasa wala tusingeyasikia!Sisi sio wajinga. Tulitangaza kumpinga Mbowe kabla hata hajatangaza hadharani kugombea. Tunajua kwanini anataka sana uenyekiti wa chama awamu hii na tunajua kwanini Lissu aliamua kugombea. Usijekudhani kuwa kuna siku itatokea nimuunge mkono Mbowe akiwa mwenyekiti baada ya uchaguzi wa mwezi huu.
Mbona alikua mnadhimu mkuu bungeni, alikua rais wa TLS je uliona visa vyovyote hada akaonekana hafai? Tupunguze ujuaji hata Trump ulisema hamna analojua ila akachaguliwa kwa kishindo. So tuache sisi tunaomtaka tukiona hafai si uchaguzi ujao tutamng'oa.Kwa Lissu hamtopata kiongozi.
Mtapata mwanaharakati tu.
Drama hazitoisha.
But have at it coz I’m loving it 😀.
Unaupimaje uongo? Mbona JPM alikua anasema uongo mwingi na uropokaji kibao ila bado mnamuita mzalendo na rais bora katika historia. Meaning uropokaji hauna correlation na utendaji.Wanachopendea kwa Lissu ni ule uropokaji wake tu.
Ili mradi katika kuropoka huko anakuwa anawasema CCM au Mbowe, hata kama uongo, wao watameza kila kitu na kummwagia sifa tele.
Ingawaje JPM hakuwa Mwanasiasa lakini vile vile hakuwa Mwanaharakati!! Tofauti kubwa kati ya wanaharakati na mtu aina ya JPM ni uwezekano wa kutumika! Ingawaje simuoni Lissu kama ni mtu anayeweza kununulika lakini kuna uwezekano akishinda akajaza wanaharakati wenzake huku akipata msukumo wa wanaharakati wengine walio nje ya mfumo wa kisiasa! Tatizo ni ile mentality ya wanaharakati ya kutaka abrupt changes na kuona wengine wote hawapo sahihi isipokuwa wao tu hali ambayo inawafanya wawe rahisi sana kutumika!Kama shujaa Magufuli mkemia na mwalimu aliweza Tundu Lisu Wakili Msomi atafanya vizuri zaidi
Uongozi ni karama 😂😂😂
Nimeangalia interview ya Mbowe.Mbona alikua mnadhimu mkuu bungeni, alikua rais wa TLS je uliona visa vyovyote hada akaonekana hafai? Tupunguze ujuaji hata Trump ulisema hamna analojua ila akachaguliwa kwa kishindo. So tuache sisi tunaomtaka tukiona hafai si uchaguzi ujao tutamng'oa.
Huyo Mbowe wako jana nmeangalia interview yake hakuna hata kitu kimoja amepanga kufanya
Thread nyingine bana, wala sielewi huyu author wa hii thread anataka nini. Kuwaita watu ati wafuasi wa Tundu Lisu, wewe mfuasi wa nani?Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.
Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.
Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.
You people are mindless bots in human form.
You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.
Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.
Really? Seriously? That’s what we’re doing now?
You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!
Where is your free thinking?
Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.
Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.
You are so far up your own fundaments.
Disgusting 🤮.
Ni vizuri tuwe na mwanaharakati siyo Mbowe aliyekaa madarakani miongo yote ileKwa Lissu hamtopata kiongozi.
Mtapata mwanaharakati tu.
Drama hazitoisha.
But have at it coz I’m loving it 😀.