Nyie wafuasi wa Tundu Lissu

Nyie wafuasi wa Tundu Lissu

Mimi sio mfatiliaji wa siasa ila hata vichwa vya nyuzi za humu ndo vinaonyesha kuna watu Lisu kawashika akili mpaka wanashindwa kufikiri sawasawa
Na pia kuna watu Mbowe kawashika makalio kabisa kama hii simbilisi hapa chini.
 

Attachments

  • GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg
    GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg
    58.9 KB · Views: 2
Kwa Lissu hamtopata kiongozi.

Mtapata mwanaharakati tu.

Drama hazitoisha.

But have at it coz I’m loving it 😀.
Naona hofu zako kwa Lissu hazijaisha maana kipindi cha mungu wako mwendazake aliwapeleka mputa sana.

Tulia tu. Msiempenda ndo huyo anakuja
 
Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.

Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.

Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.

You people are mindless bots in human form.

You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.

Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.

Really? Seriously? That’s what we’re doing now?

You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!

Where is your free thinking?

Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.

Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.

You are so far up your own fundaments.

Disgusting 🤮.
Uliza wameelewa?
 
Mbona alikua mnadhimu mkuu bungeni, alikua rais wa TLS je uliona visa vyovyote hada akaonekana hafai? Tupunguze ujuaji hata Trump ulisema hamna analojua ila akachaguliwa kwa kishindo. So tuache sisi tunaomtaka tukiona hafai si uchaguzi ujao tutamng'oa.

Huyo Mbowe wako jana nmeangalia interview yake hakuna hata kitu kimoja amepanga kufanya
Mleta mada hana lolote la maana.

N chuki zake tu dhidi ya Tundu Lissu kutokana na kumpeleka mputa sana muhuni wake wa chato magufuli ndo mana hadi leo ana phobia ya Lissu
 
Wanachopendea kwa Lissu ni ule uropokaji wake tu.

Ili mradi katika kuropoka huko anakuwa anawasema CCM au Mbowe, hata kama uongo, wao watameza kila kitu na kummwagia sifa tele.
Wewe unajulikana ni CCM, tena ile CCM ya Magu, hivyo hata siku moja hautakaa umuelewe Lissu..

Kwa maana CCM kwa sasa mnaona bora muendelee na Mbowe kuliko Lissu..
 
Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.

Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.

Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.

You people are mindless bots in human form.

You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.

Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.

Really? Seriously? That’s what we’re doing now?

You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!

Where is your free thinking?

Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.

Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.

You are so far up your own fundaments.

Disgusting 🤮.
Kunywa dawa kwa usahihi
 
I hope it won't be like what they say about the dog that caught the bus.

Amandla...
 
Mleta mada hana lolote la maana.

N chuki zake tu dhidi ya Tundu Lissu kutokana na kumpeleka mputa sana muhuni wake wa chato magufuli ndo mana hadi leo ana phobia ya Lissu
Povu la nini?
 
Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.

Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.

Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.

You people are mindless bots in human form.

You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.

Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.

Really? Seriously? That’s what we’re doing now?

You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!

Where is your free thinking?

Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.

Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.

You are so far up your own fundaments.

Disgusting 🤮.
Naona baada ya kuleta story za kumtetea dhalimu na kupewa kubwa yako, sasa unajiliza kama binti wa kihaya. Ni hivi, dhalimu magu hasafishiki, hutaki jinyonge.
 
Naona hofu zako kwa Lissu hazijaisha maana kipindi cha mungu wako mwendazake aliwapeleka mputa sana.

Tulia tu. Msiempenda ndo huyo anakuja
Amejaa chuki huyu Msukuma lakini atambue Lissu alishaandikiwa atakuwa Mwenyekiti Chadema na Rais wa nchi, ATAKE ASITAKE
 
Kwa Lissu hamtopata kiongozi.

Mtapata mwanaharakati tu.

Drama hazitoisha.

But have at it coz I’m loving it [emoji3].
Wewe mwenyewe ni mwanaharakati,Kila mwanadamu ni mwanaharakati

Mkuu unafahamu maana ya activist

Activist kila binadamu anazaliwa nayo

Hakuna mwanadamu asiyetaka Social or Political change

Tawala duniani tangu enzi zimepigana vita kutaka Social and political change

Sasa Social change ni inborn character ya kila mwanadamu
 
Back
Top Bottom