SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Anamenywa?Nyani Ngabu Baada ya kutoka U.S.A kubeba box....Na kutia Kambi kigamboni....vipi ile biashara yako unaendelea nayo? Ile ya kumenya na
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamenywa?Nyani Ngabu Baada ya kutoka U.S.A kubeba box....Na kutia Kambi kigamboni....vipi ile biashara yako unaendelea nayo? Ile ya kumenya na
Mbowe must go !!Semeni vyote lakini ajenda kuu ni kumng'oa Mwamba.
Hata kiti akipewa Ntobi hakuna noma.
Na pia kuna watu Mbowe kawashika makalio kabisa kama hii simbilisi hapa chini.Mimi sio mfatiliaji wa siasa ila hata vichwa vya nyuzi za humu ndo vinaonyesha kuna watu Lisu kawashika akili mpaka wanashindwa kufikiri sawasawa
Naona hofu zako kwa Lissu hazijaisha maana kipindi cha mungu wako mwendazake aliwapeleka mputa sana.Kwa Lissu hamtopata kiongozi.
Mtapata mwanaharakati tu.
Drama hazitoisha.
But have at it coz I’m loving it 😀.
Chawa wa Mbowe ni akili ndogo kama boss wao.Sasa kama hufatilii umejuaje lissu kawashikia watu akili,
Please do your homework, mpikie mume,osha vyombo ,hakikisha watoto wamekunywa chai.
Uliza wameelewa?Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.
Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.
Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.
You people are mindless bots in human form.
You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.
Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.
Really? Seriously? That’s what we’re doing now?
You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!
Where is your free thinking?
Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.
Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.
You are so far up your own fundaments.
Disgusting 🤮.
Mleta mada hana lolote la maana.Mbona alikua mnadhimu mkuu bungeni, alikua rais wa TLS je uliona visa vyovyote hada akaonekana hafai? Tupunguze ujuaji hata Trump ulisema hamna analojua ila akachaguliwa kwa kishindo. So tuache sisi tunaomtaka tukiona hafai si uchaguzi ujao tutamng'oa.
Huyo Mbowe wako jana nmeangalia interview yake hakuna hata kitu kimoja amepanga kufanya
Wewe unajulikana ni CCM, tena ile CCM ya Magu, hivyo hata siku moja hautakaa umuelewe Lissu..Wanachopendea kwa Lissu ni ule uropokaji wake tu.
Ili mradi katika kuropoka huko anakuwa anawasema CCM au Mbowe, hata kama uongo, wao watameza kila kitu na kummwagia sifa tele.
Kunywa dawa kwa usahihiHii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.
Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.
Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.
You people are mindless bots in human form.
You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.
Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.
Really? Seriously? That’s what we’re doing now?
You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!
Where is your free thinking?
Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.
Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.
You are so far up your own fundaments.
Disgusting 🤮.
Povu la nini?Mleta mada hana lolote la maana.
N chuki zake tu dhidi ya Tundu Lissu kutokana na kumpeleka mputa sana muhuni wake wa chato magufuli ndo mana hadi leo ana phobia ya Lissu
Unaenda chato lini? Vipi kibali cha kuishi ughaibuni kimeisha nini?Povu la nini?
Kwani tofauti ya kiongozi na mwanaharakati ni nn?Kwa Lissu hamtopata kiongozi.
Mtapata mwanaharakati tu.
Drama hazitoisha.
But have at it coz I’m loving it 😀.
Naona baada ya kuleta story za kumtetea dhalimu na kupewa kubwa yako, sasa unajiliza kama binti wa kihaya. Ni hivi, dhalimu magu hasafishiki, hutaki jinyonge.Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.
Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.
Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.
You people are mindless bots in human form.
You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.
Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.
Really? Seriously? That’s what we’re doing now?
You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!
Where is your free thinking?
Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.
Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.
You are so far up your own fundaments.
Disgusting 🤮.
Bibie….tafadhali sana.Naona baada ya kuleta story za kumtetea dhalimu na kupewa kubwa yako, sasa unajiliza kama binti wa kihaya. Ni hivi, dhalimu magu hasafishiki, hutaki jinyonge.
Amejaa chuki huyu Msukuma lakini atambue Lissu alishaandikiwa atakuwa Mwenyekiti Chadema na Rais wa nchi, ATAKE ASITAKENaona hofu zako kwa Lissu hazijaisha maana kipindi cha mungu wako mwendazake aliwapeleka mputa sana.
Tulia tu. Msiempenda ndo huyo anakuja
Wewe mwenyewe ni mwanaharakati,Kila mwanadamu ni mwanaharakatiKwa Lissu hamtopata kiongozi.
Mtapata mwanaharakati tu.
Drama hazitoisha.
But have at it coz I’m loving it [emoji3].