Nyie 'wala wake za watu'

Muhimu ni kutokagua simu zake na pia kumuomba MUNGU asikuonyeshe.
Haiwezekani wanaume elf 1 wakose wote, achilia ma ex zake kipi kipya kwao, kama ashatoa mimba zake kibao kabla ujamuoa atamnyima vipi ex wake akimuomba.
Muhimu ni kujichunga usiende jela kisa mapenzi.
Labda uoe malaika.

Kesha usiku kucha, mpe pesa KILA saa ataliwa tu.
 
Reading this has me titilated😍😍😍😍
Naombea shemeji acheat jamani uje unipee mbususu mie...faq me harder niisikie 🤣🤣🤣🤣
 
Hii sasa ndio akili
 
sijawahi kutamani mke wa mtu kabisa, na hata nikijua huwa nakacha fasta na ndio maana kila nayekutana nae huwa nauliza umeolewa ama la? akijibu ndio, ni block moja kali , ila hawa wengine sijui uchumba, sijui nina wangu, nimezaa naye, sinaga habari na hizo depo mi napita na zote hamna nayoacha kula. . .

kuna mmoja hivi alikataa kata kata, nilikuja kugundua baadae baada ya kumaliza kila kitu tena kwa rafiki yake, nilimkacha papo hapo.

Hiyo haimanishi kuwa Mke wangu huko mbeleni kama hatojielewa watu hawatoishi, bali ni misimamo yangu na nafanya hivyo sio kisa wangu asiliwe. chochote kitachotokea huko mbeleni ntapambana na hali yangu. ila mke wa mtu NO
 
Reading this has me titilated[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Naombea shemeji acheat jamani uje unipee mbususu mie...faq me harder niisikie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahhahaha usiniombee hayo maana hasira yangu naweza wapa mtaa mzima ndiyo iishe.
 
Ilo jicho sasa
 
Na kuna watu watabisha
 
wee mimi namuomba Mungu anionyeshe ili nimteme chap.
 
Tuendelee hivyo mkuu na mimi mke wa mtu hapana kwa kweli
sio kwamba ili wa kwangu asiliwe bali sitaki huo ujinga wa kula mke wa mtu
 
Kwani amebakwa? unajua huo udhaifu wenu wa kushidwa kuwapiga mpini wake zenu msimalizie hasira kwa wahuni wasio na hatia. Wake zenu ndo wanataka shughuli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…