Yes....waongo mnoo, mnaweza panga kitu kifanyike siku fulani, hakitafanyika halafu anachukulia simple anacheka cheka!Kingine nilichogundua uwongo kwao kawaida tu, yaan akikwambia atadanyia kazi jambo flani na asilifanyie pasipo sababu za msingi ukimhoji ye anachekelea tu. Wasiosima au kujichanfanya ndiyo wana ukabila, nadhan wanajihisi inferior. I like them though. Wadada bado sijawaoneni
JF hakuna mfano wakeBaaah Bwana wewe
Ukiona hivyo Mmakonde wa Mikindani.Kuna mtu mmoja yupo humu ni mmakonde halaf yeye anajiita mwarabu...[emoji23][emoji23]
Na chamaki nchangaHahaha wazee wa Njomba Nchumali
Hahaaa, wanachukulia poa tu hakaf wanachekacheka kama siyo ishu vile. Nadhani ndiyo walivo tuYes....waongo mnoo, mnaweza panga kitu kifanyike siku fulani, hakitafanyika halafu anachukulia simple anacheka cheka!
Najiuliza why wako hivi?
Uwongo wa kurithiHahaaa, wanachukulia poa tu hakaf wanachekacheka kama siyo ishu vile. Nadhani ndiyo walivo tu
Uongo ndio asili ya binadamu toa point za maana kama huna appreciate themYes....waongo mnoo, mnaweza panga kitu kifanyike siku fulani, hakitafanyika halafu anachukulia simple anacheka cheka!
Najiuliza why wako hivi?
NDO UREMBO HUO WE JITU LIMETOKA BARA HUKO LAZIMA USHANGAE NYIE C MMEZOEA VICHOCHORONI TU.Huko kumkuta mrembo na shanga arobaini kiunoni kawaida
Wanune unadhani Tarime hiyo we vp hapo ni civilised areaHahaaa, wanachukulia poa tu hakaf wanachekacheka kama siyo ishu vile. Nadhani ndiyo walivo tu
NDO UREMBO HUO WE JITU LIMETOKA BARA HUKO LAZIMA USHANGAE NYIE C MMEZOEA VICHOCHORONI TU.
bhaaaaaaaaaaBaaah Bwana wewe
Karibu Makonde land ila usifanye uchafu kwa kuwa italeta madhara kwani ukipiga mke wa mtu tego ni kawaida sana, HUTOONA MAKABURI na ukienda kwenu utawambia Mtwara HAWAZIKANI WANALANA kumbe ukweli ni kwamba toka enzi na enzi Mtwara ina tamaduni ya kijiji kutenga maeneo ya mazishi na huwa mbali na makazi ya watu(scientific urban planning) kama 2-1km kwa wewe mgeni utazunguka kijiji hutoona makaburi unless mtu afe uende mazikoni. Utaratibu huu mikoani huko haukuwepo may be siku hizi kwani kila kaya ilikuwa na makaburi yake around(bush planning) hii ndo civilization nashukuru kanda yenu mmeanza kuiga. KARIBUTENA UKIENDA KAWAAMBIE MTWARA HAWAZIKANI.Huku umakondeni bana unaweza kuvunjika mbavu, kila mmoja anaongea kama nchekeshaji. Na mnavopenda kula nyie hata safari ya Buguruni Kkoo mnabeba wali kwenye rambo.....hahahaaaa. Hakyanani Ntwara vituko. Nani yuko huku umakondeni tusocialize sku mbili hizi wakuu? Ladies please, kampani za wanaume tupu hazinogi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aseeeMi mwenyewe mmakonde japo baba na mama sio wamakonde ila wazazi wao wote ni wamakonde
Hiyo mtwara ni Madina sio mji wa Pombe huo sio machame huko mkuu hahaaaBah! Bana wewe alo kasema hivo muwongo haatari bah! Tena nchawi sana, mi kuchukia bah! Naondoka bah! Nyi nbaki nkinywa,