Nyie Wamakonde Vipi?

Nyie Wamakonde Vipi?

Kingine nilichogundua uwongo kwao kawaida tu, yaan akikwambia atadanyia kazi jambo flani na asilifanyie pasipo sababu za msingi ukimhoji ye anachekelea tu. Wasiosima au kujichanfanya ndiyo wana ukabila, nadhan wanajihisi inferior. I like them though. Wadada bado sijawaoneni
Yes....waongo mnoo, mnaweza panga kitu kifanyike siku fulani, hakitafanyika halafu anachukulia simple anacheka cheka!

Najiuliza why wako hivi?
 
Yes....waongo mnoo, mnaweza panga kitu kifanyike siku fulani, hakitafanyika halafu anachukulia simple anacheka cheka!

Najiuliza why wako hivi?
Hahaaa, wanachukulia poa tu hakaf wanachekacheka kama siyo ishu vile. Nadhani ndiyo walivo tu
 
hao wa makonde mnavyowazungumzia ni kama mijusi fulan iv au viumbe vya tofaut ngoja nami nije kujionea
 
My dear Hawa kiuno chako aah daah... !! I lov konde girls.
 
Yes....waongo mnoo, mnaweza panga kitu kifanyike siku fulani, hakitafanyika halafu anachukulia simple anacheka cheka!

Najiuliza why wako hivi?
Uongo ndio asili ya binadamu toa point za maana kama huna appreciate them
 
NDO UREMBO HUO WE JITU LIMETOKA BARA HUKO LAZIMA USHANGAE NYIE C MMEZOEA VICHOCHORONI TU.

Sio kwa mzigo huo mkuu minilimwambia azipunguze zibaki tatu maana hayo madude kwa kuchakaza mashuka hayajambo
 
Huku umakondeni bana unaweza kuvunjika mbavu, kila mmoja anaongea kama nchekeshaji. Na mnavopenda kula nyie hata safari ya Buguruni Kkoo mnabeba wali kwenye rambo.....hahahaaaa. Hakyanani Ntwara vituko. Nani yuko huku umakondeni tusocialize sku mbili hizi wakuu? Ladies please, kampani za wanaume tupu hazinogi!
Karibu Makonde land ila usifanye uchafu kwa kuwa italeta madhara kwani ukipiga mke wa mtu tego ni kawaida sana, HUTOONA MAKABURI na ukienda kwenu utawambia Mtwara HAWAZIKANI WANALANA kumbe ukweli ni kwamba toka enzi na enzi Mtwara ina tamaduni ya kijiji kutenga maeneo ya mazishi na huwa mbali na makazi ya watu(scientific urban planning) kama 2-1km kwa wewe mgeni utazunguka kijiji hutoona makaburi unless mtu afe uende mazikoni. Utaratibu huu mikoani huko haukuwepo may be siku hizi kwani kila kaya ilikuwa na makaburi yake around(bush planning) hii ndo civilization nashukuru kanda yenu mmeanza kuiga. KARIBUTENA UKIENDA KAWAAMBIE MTWARA HAWAZIKANI.
 
Back
Top Bottom