Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Nisiseme mengi, nimekaa pale na Jack Daniels yangu nawasubiri mguse 30s muanze kutulilia tuwaoe.

Nna madem fln wanne 30s and above hv wote wako mikoa tofauti, siwezi waita michepuko sababu huwa napozea nikiwa maeneo hayo na kuwalipa japo kwa status zao huwezi jua kama wanauza. Wataalam tunaweza ita wanafanya High profile prostitution.

Sasa toka mwaka huu uanze wawili kati yao (mmoja wa Dar na mwngne wa Moro) wananiletea habari za kutaka niwaoe, wote wanajua mie bachela, wamekomaa kuwahi goli hadi kuna muda nablock sababu washajiozesha kwangu bila hata hiari yangu.

Juzi nlikua Moro, huyo wa moro nmekuta kanichinjia jogoo kabisa na kawaida baada ya kukaa siku kadhaa kawaida huwa namuachia kama 200k hadi 500k sometimes ila this time kaikataa kabisa anakomaa awe mke halali. Moyoni nikacheka tu.

Nyie vibinti under 30 tukitaka kuwaweka ndani punguzeni nyodo, heshimu sana mwanaume anaetaka kukuoa kwa hali hii ya sasa.
 
f2c27c5d-27d6-4ad5-b31c-f8ada863f1d8.jpg
 
mwanamke akiwa kwenye umri wa 30s Teslarati anakuwaje mkuu? mbona rika hilo bado ni rika la kijana.
Hapana chief, mwanamke graph yake ipo opposite, kama hajitunzi in 30s basi anaanza kupoteza kila uzuri alokua nao.

Kama anajitunza basi bei ya kujitunza inakua kubwa sana.

Kuna boss wetu mmoja kampeleka mke wake dubai akakate utumbo, mke yupo kati ya 30 na 35 hivi.

Hujui kwa nini wanawake wengi wanamuonea wivu zari? Kumantain ule uzuri sio cheap, wengi hawawezi na ndo chanzo cha hate
 
Back
Top Bottom